Dr Dre
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 2,664
- 2,810
ok.. ww huwa unamwabudu vp Mungu unayemwamini?mkuu vipi!!!!
nakwambia dini ni upuuzi halafu unaniuliza namuamini kupitia dini/upuuzi gani tena!!!!!!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ok.. ww huwa unamwabudu vp Mungu unayemwamini?mkuu vipi!!!!
nakwambia dini ni upuuzi halafu unaniuliza namuamini kupitia dini/upuuzi gani tena!!!!!!!!
namuamini kuwa ni munguok.. ww huwa unamwabudu vp Mungu unayemwamini?
unajua dini unazoziita upuuzi ni means za watu kumtafuta Mungu?namuamini kuwa ni mungu
au kuna jinsi nyingine ya kumuamini?
kakwambia nani,wapi mungu alisema wamtafute kwa kutumia dini?unajua dini unazoziita upuuzi ni means za watu kumtafuta Mungu?
you're talking nonsense brotherkakwambia nani,wapi mungu alisema wamtafute kwa kutumia dini?
naona unauliza swali badala ya kujibu swaliyou're talking nonsense brother
unajua nini maana ya Religion?
Sema hizo zinanitisha.sikui hiyo sipati jibDini iliyobaki inayofundisha mapenzi ya MUNGU na neno lililo hai na la kwel,dini inayofundisha kurudi na marejeo ya kristo mara pili,dini inayofundisha kuishi na kuzishika amri kumi za MUNGU kikamilifu,dini inayofundisha hukumu na haki za MUNGU, dini inayofundisha unabii wa kweli wa neno la MUNGU na dini inayofundisha ufufuo wa wenye haki pale kristo ataporudi akiwa na jopo la malaika ni SEVENTH DAY ADVENTIST CHURCH(S.D.A).
Njoo ujifunze neno la MUNGU katika kweli achana na madhehebu ya miujiza hayo yatakupoteza mpendwa,mshukuru MUNGU kwa kukupa mwanga wa kuyatambua hayo.
THE SECOND COMING OF JESUS CHRIST IS SURELY,BE PREPARED & BE READY![]()
![]()
Hujalazimishwa kuamini kua yesu mwana wa Mungu,pili pia hata sisi Mungu tunamwita baba.ina maana katuzaa? Ila katuumba yeye,hivyosisi ni watoto wake.na Mungu hakumzaa yesu isipokua kamteua na kumvalisha taji awe kiongozi wetu.acha ushabiki wa kimburulaUkiacha wasabato Wakristu wanaabudu siku ya jumapili (Sunday ) siku ya kuabudu jua zama za kale. Mfalme Constantine alipokea ukristu kibiashara, jumlisha akili yako uchanganye na ulichoambiwa na wamisionari. Huenda kuna baraza la siri lililoandaa ukristu kwani Mungu hana mtoto, hata kama ana mtoto asingemtoa sadaka kama binadamu wa leo wanavyofanya ili wafanikiwe
We kido umeongea point kubwa ndunguHapo umeona mswahili au mwafrica haowamekengeuka ....sio sahihi kulinganisha imani za watu...hata waislam tunaona huwa hamuuoni mwezi kwa pamoja ..mna vitu mnavopingana /ILA NIKUSAIDIE BDUGU YANGU
MWISHO WA YOTE WOTE TUNAMWABUDU MUNGU MMOJA HUKU ANAITWA YESU/EMANUEL....KULE ANAITWA MTUME SAWS ISSA BIN MARIAM... ambaye wakristo ndio yesu aliyezaliwa na MARIA KWA ROHO MTAKATIFU..
Tenda mema fuata amri kumi na wote tuitafute MBINGU.
Nimecheka sana nilipoisoma hii, kuanza leo ninaivua minyororo waliyoniridhisha wazazi wangu na nikaikubali bila kujiuliza, iwapo hao wazungu wenyewe waliotuletea hizi dini wameamua kuachana nazo, vipi sisi tulioletewa na kulazimishwa kuziamini kwa nguvu, ndiyo tunaojifanya washika dini zaidi yao?.Jibu langu ni Hilo![]()
Barikiwa sana ndugu.tupo sawa kiimaniDini ni mfumo wa maisha ya kila siku ambayo itamfanya mwanaadamu afanye matendo yote mema na kuwacha matendo yote mabaya
Wachana na hao akina nabii tito wewr jikite katika kufanya matendo mema tu na kuacha yooote mabaya hio ndo dini sahihi mkuu
Unaweza kuwa mkristo na usifanye matendo madhuri na vile vile unaweza kua muislamu na usifanye matendo mazur
But ukiwa unafanya matendo mazur bas hio ni zaid ya dini
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Dini iliyobaki inayofundisha mapenzi ya MUNGU na neno lililo hai na la kwel,dini inayofundisha kurudi na marejeo ya kristo mara pili,dini inayofundisha kuishi na kuzishika amri kumi za MUNGU kikamilifu,dini inayofundisha hukumu na haki za MUNGU, dini inayofundisha unabii wa kweli wa neno la MUNGU na dini inayofundisha ufufuo wa wenye haki pale kristo ataporudi akiwa na jopo la malaika ni SEVENTH DAY ADVENTIST CHURCH(S.D.A).
Njoo ujifunze neno la MUNGU katika kweli achana na madhehebu ya miujiza hayo yatakupoteza mpendwa,mshukuru MUNGU kwa kukupa mwanga wa kuyatambua hayo.
THE SECOND COMING OF JESUS CHRIST IS SURELY,BE PREPARED & BE READY![]()
![]()
Ongeza na Pool of sloamHebu pitia hata kwenye mitandao " the Four Christian Cults"
Kwa Kukutajia tukianza kwa mtiririko
1. Seventh Day Adventist
2. Jehova Witness
3. Mormon
4. Christian Scientology
We kishombi acha kupanic,mwenzio anakuuliza vizuri unaongea ovyo.ok kama una mwamini Mungu vizuri ila kumbuka imani bila matendo imekufa! Kama matendo yako yanaendana na imani basi barikiwa.ila kama mpuuzi basi ngojea adhabu yakokakwambia nani,wapi mungu alisema wamtafute kwa kutumia dini?
Mtandao??!Hebu pitia hata kwenye mitandao " the Four Christian Cults"
Kwa Kukutajia tukianza kwa mtiririko
1. Seventh Day Adventist
2. Jehova Witness
3. Mormon
4. Christian Scientology