Hivi hizi dini za Kikristo ni za kweli?

Hivi hizi dini za Kikristo ni za kweli?

Al imran 19

Bila ya shaka Dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu. Na walio pewa Kitabu hawakukhitalifiana ila baada ya kuwajia ujuzi, kwa sababu ya uhasidi ulio kuwa baina yao. Na anaye zikataa Ishara za Mwenyezi Mungu basi hakika Mwenyezi Mungu ni Mwepesi wa kuhisabu.
 
Qur an .al maida 116
Na pale Mwenyezi Mungu atakapo sema: Ewe Isa bin Maryamu(yesu)!Ati wewe uliwaambia watu: Nifanyeni mimi na mama yangu kuwa ni miungu badala ya Mwenyezi Mungu? (Na Isa) (yesu)atasema: Subhanaka, Wewe umetakasika! Hainifalii mimi kusema ambayo si haki yangu. Ikiwa nilisema basi bila ya shaka umekwisha yajua. Wewe unayajua yaliyo ndani ya nafsi yangu, lakini mimi siyajui yaliyo katika nafsi yako. Hakika Wewe ndiye Mjuzi mkubwa wa yaliyo fichikana.

Ndugu zangu wasio waislam nakuusieni msimshirikishe mungu na chochote yesu hawezi ata kuumba mbu jamani
 
Ni maswali wanajamii wajiulize hasa wale wanao amini Ukristo, tumeshuhudia kina nabii Bushiri/Kakobe/Tb Joshua/Lwakatare/yule wa Dodoma/Mwingira/mzee wa Upako/Gwajima/Massanja/Flora/wale walevi Afrika Kusini n.k. n.k.
Ukija KKT au Katoliki ni michango, kutengana na ubadhirifu wa sadaka kwenda mbele..!
Hivi kwanini wanaidhihaki hii dini?! Kwa Waislamu kesi hizi ni chache, wao na mtume wao poa tu, mdogo mdogo, ila Wakristo ni vituko kukicha tazama ya hawa USA sasa...
View attachment 703418 View attachment 703419 View attachment 703420 View attachment 703421 View attachment 703422
Worshippers take assault rifles to church as they vow to protect US gun laws Worshippers take assault rifles to church as they vow to protect US gun laws
Toka lini dini za amani zikahusisha kubeba silaha za kivita Kanisani?! Kama siyo kujaribiana na hata watoto wetu tunaowabambika hizi Dini kuanza kutuuliza kama kweli Imani zetu zina mshiko au la ?! Kunani lakini?!
Hizi dini zilizoletwa na meli sisi waafrika hazituhusu.
Ni kwa vile Waislam watu wengi hawawafuatilii hata wao wa sects nyingi ukiachilia mbali Shia na Sunni bado wana vijikundi vingi mara wengine wanafunga swala kifuani wengine tumboni. Na wao wanaamini kati ya wote ni kundi moja tu litakaloingia peponi yani siyo Waislam wote.
 
Mkuu mi nimeelewa tu ile sehemu iliyoandikwa kwa kidhungu, hao wanapinga sheria ya bunduki nchini Marekani sio kwamba wameenda na silaha kanisani. Kitu kingine mkuu hizi dini ziache tu kama zilivyo kama huzielewi usijaribu kutafuta kuzielewa. Ntakupa mfano,Sehemu nyingi duniani inaaminiwa uislam ni dini yenye misingi ya itikadi kali, kwamba waumini wake wanalazimishwa kuishi katika mtindo fulani wa maisha, hapa nalenga ile tabia ya kuwaita wengine makafiri. Tukirudi nyuma sana miaka ya 1600 kuliwahi kuwa na vita iliyoitwa ZARA WAR, vita hii ilipiganwa baina ya wakristo na wasio na dini, wakristo walitumia uchinjaji kama adhabu kwa waliopinga kujiunga na dini yao, hayo mambo yalitokea zamani sana kiasi kwa sasa hakuna anaejali. Pointi yangu ni kuwa anaeona waislamu wabaguzi, magaidi akumbuke wanaishi katika moja ya hatua ziizopitiwa na ukristo.
 
Ni maswali wanajamii wajiulize hasa wale wanao amini Ukristo, tumeshuhudia kina nabii Bushiri/Kakobe/Tb Joshua/Lwakatare/yule wa Dodoma/Mwingira/mzee wa Upako/Gwajima/Massanja/Flora/wale walevi Afrika Kusini n.k. n.k.
Ukija KKT au Katoliki ni michango, kutengana na ubadhirifu wa sadaka kwenda mbele..!
Hivi kwanini wanaidhihaki hii dini?! Kwa Waislamu kesi hizi ni chache, wao na mtume wao poa tu, mdogo mdogo, ila Wakristo ni vituko kukicha tazama ya hawa USA sasa...
View attachment 703418 View attachment 703419 View attachment 703420 View attachment 703421 View attachment 703422
Worshippers take assault rifles to church as they vow to protect US gun laws Worshippers take assault rifles to church as they vow to protect US gun laws
Toka lini dini za amani zikahusisha kubeba silaha za kivita Kanisani?! Kama siyo kujaribiana na hata watoto wetu tunaowabambika hizi Dini kuanza kutuuliza kama kweli Imani zetu zina mshiko au la ?! Kunani lakini?!
Baki na imani yako mkuu kuhusu talaka ,michango na mengineyo hate kwenu kwenye uislam yapo Tena huko yapo mengi machafu unafiki ,wake wengi pasipo maelezo itikadi Kali ugaidi ufilaji kutoka kwa wale waarabu migorogoro ya sun na Shia nk

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Peleka ushenzi huko kwenye makambi..


Yani unataka kuniambia hicho kikundi kilichoanzishwa na mwanamke Ellen Gould White mke wa Bw James White, tena mkulima wa massachusset mwaka 1863 ndio dini...???

Yani unataka kuniambia hawa hawa SDA wanaopinga utatu Mtakaifu na Ufufuko wa Yesu ndio dini ya kweli...???

Yani unataka kuniambia hawa hawa SDA wahuni waliomsingizia Yesu kuwa kajificha mbinguni kwenye uchochoro eti anafanya hukumu ya upelelezi..??


Hebu wacha ushenzi wewe...
Huyu kweli mshenzi, Yale yale waliyoyatunga wanadamu werevu na kudai wamevuviwa na uwezo wa roho mtakatifu ndiyo anayoyaamini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukiristo ni njia yente mafundisho ya mungu wa ukweli. Na mafundisho hayo yako kwenye kitabu takatifu yaani biblia. Unapokwenda kanisani hufuati matendo ya mtu bali kusali na kujifunza mafundisho ya mungu. Usifuate matendo ya kiovu yanayofanywa na baadhi ga viongozi wa dini. Wengine wanatumiwa na shetani ili kuupaka matope ukristo. Shatani anajuwa ukristo ndiyo imani ya ukweli ya mungu, Hivyo anajaribu kuwapotosha walimwengu wasiiamini dini ya ukweli ya mungu.
Shetani kasingiziwa tu, hakuna kiumbe kama hicho duniani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dini ni mfumo wa maisha ya kila siku ambayo itamfanya mwanaadamu afanye matendo yote mema na kuwacha matendo yote mabaya

Wachana na hao akina nabii tito wewr jikite katika kufanya matendo mema tu na kuacha yooote mabaya hio ndo dini sahihi mkuu

Unaweza kuwa mkristo na usifanye matendo madhuri na vile vile unaweza kua muislamu na usifanye matendo mazur

But ukiwa unafanya matendo mazur bas hio ni zaid ya dini
Sio kweli, dini yaweza kuwa na mafundisho ya matendo mabaya tu na sio lazima mazuri tu. Dini ni mfumo wa imani, yoyote ile

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi naamini kuna supernatural power ambayo imepelekea kuwemo kwa dunia hii na kuwepo kwa viumbe hai akiwemo binadamu. Najua kuna source ya yote haya na ndio ninayoiamini

Ni mseminary mzuri tu mimi ila muda mwingi huwa nawaza nje ya boxvna kuona kuwa hizi dini zinatudanganya tu na kutunyonya. Ni propanganda zisizo na maana.
Mungu yupo ....100% tatizo watu hamna akili kubwa ya kutambua na kupima mambo na kuchakata logic...mfano wewe umeshindwa kujua tofauti ya uwepo wa mungu na dini ...maana hata pasipo dini mungu yupo ...tatizo lenu mnadhani dini ndiyo mungu mnasahau kuwa vipo viumbe vingi ambavyo aviwajibiki kidini ila ni mali ya mungu ...tena mungu angeweza kuumba binadamu pasipo kumpa dini bado angekuwa ni mungu tu ...mungu si mungu wa dini ...mungu ni mungu wa yote ...hiyo super nature ndiyo mungu mwenyewe kitu wanasayansi wanachobisha ni kwamba wao wanasema hiyo super nature haina ufahamu ni nguvu zisizo jitambua ila dini zinasema hiyo super nature inajitambua na ina ufahamu ,, tofauti hipo hapo .....tena kisayansi hiyo super nature wao wanaitambua kuwa ni (Energy) kidini ni (Spirit ) neno( ENERGY )NDIYO NENO( SPIRIT)
 
Ni maswali wanajamii wajiulize hasa wale wanao amini Ukristo, tumeshuhudia kina nabii Bushiri/Kakobe/TB Joshua, Lwakatare, yule wa Dodoma, Mwingira, Mzee wa Upako, Gwajima, Massanja, Flora, wale walevi Afrika Kusini n.k. n.k.

Ukija KKT au Katoliki ni michango, kutengana na ubadhirifu wa sadaka kwenda mbele. Hivi kwanini wanaidhihaki hii dini?! Kwa Waislamu kesi hizi ni chache, wao na mtume wao poa tu, mdogo mdogo, ila Wakristo ni vituko kukicha tazama ya hawa USA sasa.

Worshippers take assault rifles to church as they vow to protect US gun laws Worshippers take assault rifles to church as they vow to protect US gun laws.

Toka lini dini za amani zikahusisha kubeba silaha za kivita Kanisani? Kama siyo kujaribiana na hata watoto wetu tunaowabambika hizi dini kuanza kutuuliza kama kweli Imani zetu zina mshiko au la? Kunani lakini?

Bora ukristo kuliko dini ya Mwamedi... mwamedi Malaya yule..kaoa sana na kufila watoto wadogo
 
Al imran 19

Bila ya shaka Dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu. Na walio pewa Kitabu hawakukhitalifiana ila baada ya kuwajia ujuzi, kwa sababu ya uhasidi ulio kuwa baina yao. Na anaye zikataa Ishara za Mwenyezi Mungu basi hakika Mwenyezi Mungu ni Mwepesi wa kuhisabu.
Kenge wewe .dini ambayo mtume Muhammad alioa binti wa miaka 9..dini ambayo mfuga majini
 
Back
Top Bottom