Hivi hizi kampuni za kukopesha zinaruhusiwa kukamata mali za wadaiwa wao? Akina mama wanalia kila kona ya Tanzania.

Hivi hizi kampuni za kukopesha zinaruhusiwa kukamata mali za wadaiwa wao? Akina mama wanalia kila kona ya Tanzania.

Kwa sasa ukiwa na vijipesa kidogo na uthubutu basi unaweza vunja sheria yeyote ya nchi.

Anaepaswa kukemea hata hajui kinachoendelea as long as yake yanamnyookea. Yeye kauli yake moja tu, 'na hili mkalishughulikie'.

Kwa dalili zilizopo hizi taasisi zote za mikopo ya kausha damu zina baraka ya walioshika hatamu, hivyo hakuna chochote watachofanywa hao wanaovunja sheria.

Suluhisho ni dogo tu, usikope kwenye hizo taasisi kinyume na hapo kubali kuweka maisha yako rehani. Maana jamaa wakija kudai wana mpaka mamlaka ya kuua achilia mbali kuchukua samani zako.
Na huu ndio ukweli wenyewe kabisaa. Mkuu mwenyewe anacho jua ni kusafiri tu majuu kwa mazungu
 
Acha walie sana, wanakopa kwa ajili kushona magauni..
 
Wengi nadhani wanakuwa wameandika dhamana zao kuwa ni vitu vya ndani..ndo mana vinachukuliwaga
 
Back
Top Bottom