Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Michezo ni uchumi, ajira, utalii, uwekezaji na biashara. Kwa hiyo Mhe. Rais anachofanya ni kitu kikubwa mno. Umewahi kujiuliza ni watu milioni ngapi ndani na nje ya Afrika walitazama final ya Yanga Vs Alger? Yanga Tanzania huoni faida yoyote? 🙏🙏🙏Je tuseme Tanzania tuna pesa nyingi ambazo hazina matumizi yoyote ?
Kwani hayo siyo matumizi? Au matumizi ni nini?Je tuseme Tanzania tuna pesa nyingi ambazo hazina matumizi yoyote ?
Nakazia
Kuna kitu nilitaka kusema ila Roho inagomaJe tuseme Tanzania tuna pesa nyingi ambazo hazina matumizi yoyote ?
Una umri Gani??Kwani hayo siyo matumizi? Au matumizi ni nini?
Asante sana mkuu!
Ni mtu mzima ila yupo MEMKWAUna umri Gani??
Haya ndo mambo yetu Watanzania kila kitu kujua, kupinga etc.Michezo ni uchumi, ajira, utalii, uwekezaji na biashara. Kwa hiyo Mhe. Rais anachofanya ni kitu kikubwa mno. Umewahi kujiuliza ni watu milioni ngapi ndani na nje ya Afrika walitazama final ya Yanga Vs Alger? Yanga Tanzania huoni faida yoyote? 🙏🙏🙏
Je tuseme Tanzania tuna pesa nyingi ambazo hazina matumizi yoyote ?
Nimeandika nikafuta jibu lako!Una umri Gani??
Jibu swali hayo mengine baadaye. Nyie ndo darasani mlikuwa mnakwenda chaka kwa ujinga wenu. Swali liko wazi wewe unaanza kujibu swali linalokuka kichwani mwakoMichezo ni uchumi, ajira, utalii, uwekezaji na biashara. Kwa hiyo Mhe. Rais anachofanya ni kitu kikubwa mno. Umewahi kujiuliza ni watu milioni ngapi ndani na nje ya Afrika walitazama final ya Yanga Vs Alger? Yanga Tanzania huoni faida yoyote? [emoji120][emoji120][emoji120]
Kwa hiyo?Ni mtu mzima ila yupo MEMKWA
Tupe nukta tuinuktueKwa hiyo?