King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Mbweni JKT kwa ukubwa huo hahizidi 80m kule kwa Mama viwanja vikubwa ndio 200m
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukihamia uwe tayari kuwa mbele mbele kwenye shughuli za kijamii, kuwa active kwenye WhatsApp group ya majirani, na ulinzi shirikishi
Ina sound good, [emoji122][emoji122]Usiuze wewe jenga kutokana na uwezo wako, watoto wako ndo watafaidi hicho kiwanja na watakushukuru kwa kununua huko.
Usiwe na mawazo ya kuwaza vitu vidogo uwezo wako huo mdogo, do big things.
Tena sisi ambao hatuna pesa, tuna pesa za kudunduliza ndo tunafanya big things.
Miaka mi 3 ilopita nilikutana na ramani mtandaoni nikasema nitajenga nyumba kama hii, ile ramani ni kaliiiiiii balaa akijenga tajiri akakufulu.
2021 hiyo nikaweka msingi tu, nikatulia wakaongea weee ,oh kujidai hii nyumba ataiwezea wapi? Nyumba kubwa kama kanisa yetu macho msingi utamaliza miaka 20[emoji1787] nyumba ina kona kama barabara [emoji28]
Mungu sio ldi juzi nikaenda nikanyanyua nikaipiga lenta mbili, ninavyoongea muda huu majirani hawanisalimii.
Soon naezeka afu natulia niwape nafasi ya kukaa vikao tena. Nahitaji bati kama 150. Maana kutokana na ile design zinakatwa sana.
Sina haraka nikipata laki 5 nafanya kidogo. Hela za kufanya kwa mkupuo sina ila lazima nifike malengo, haijalishi itachukua miaka mingapi.
Sasa wewe umeweza nunua kiwanja mil 32 utashindwa kujenga nyumba nzuri kisa majirani ji mataita?
Unatakiwa kuishi na hao hao la muhimu tafuta ramani nzuri.
Sisi ambao tunadunduliza ndo tunafanya vitu vikali usiogope. Kula kutokana na urefu wa kamba yako.
Mimi sijawahi kuwaza vitu vidogo ningekuwa na hela kama ninavyoona watu wanachezea hela ningefanyaga vitu vikubwa.
N.b usijinyime ukala vibaya kisa unaserv kwa ajili ya kujenga, kula vizuri fanya mazoezi, kunywa maji mengi sana, tumbo mdo tutaenda nalo kaburini, nyumba na magari vitabaki vikigombaniwa dunia.
Mbinguni hakuna hotel.
Yupo mtaa wa pili kutoka kiwanja changu kilipo.
Kazi yoyote tuu isiyotweza utu.Ya aje rafiki?
Hamna mtoto mjinga wa kuuza nyumba Masaki ili akaishi Chanika π labda kama umezaa na mzaramoWatoto watakataa kuchoreka watakuja kupauza tu.
πππππππ ndio bei zake hizoLast week, nilikuwa Mbweni hapo, karibu na shule ya Mwinyi, kuna jamaa mchoma mahindi hapo, ila kazi maalumu, amesema kuna kiwanja kinauzwa 100M, hapa nakaribia kuimalizia nami nikajenge kibanda cha mkaaa hapo hapo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Usifananishe Masaki na Mbweni utakuwa unajizima data.Hamna mtoto mjinga wa kuuza nyumba Masaki ili akaishi Chanika π labda kama umezaa na mzaramo
Mtoto wa Kishizow kabisa mtu wa maana kabisa!!! Vipi baba hajakupa hela yeyote mama? Hebu angalia pochi basi hio πππHaha ninyi ndio mnaponza wenzenu watu humu watadhani mimi kweli wa kishua halafu wakija kunifahamu nje ya jf wanakuta kumbe ni mpuuzi mmoja tu asiye na maajabu yoyote, mkuu trust me mimi siyo wa kishua Mbweni kuna mitaa ni uswahilini typical kama unabisha funga safari uje ujionee hiyo mitaa mwenyewe, mimi wala sina ushua wowote sisi ni masikini wenye unafuu tu wewe ndio unaonekana kwenu wa kishua ila unatuchora tu hapa ππ
Mbweni Value yake inaelekea huko huko after several years inakuwa kama Masaki tu sababu ya aina ya wakazi waliojenga huko.Usifananishe Masaki na Mbweni utakuwa unajizima data.
Masaki ni prime area nyumba unaweza kupangisha Kwa Kodi kubwΓ , Nani akapange nyumba Mbweni?
Hakuna kitu kama hiΓ§ho na haitokaa itokee.Mbweni Value yake inaelekea huko huko after several years inakuwa kama Masaki tu sababu ya aina ya wakazi waliojenga huko.
Naukumbuka huo uzi...Kuna mtu huku jf alishawahi kuweka Uzi analalamika. Yeye kajenga nyumba yake alafu kaizungushia fensi. Ila jirani yake kaja kujenga ghorofa, akiwa kibarazani kwake anayaona yote yanayoendelea kwa jamaa π π π
Anha sio kwa sasa rafiki, i can not promise anything by now baba lake.Kazi yoyote tuu isiyotweza utu.
Siwajui auntSasa Mbweni atahamishwa kwa lazima, mafogo unawajua shangazii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
uza figo moja ufanye mambo!!Habari za Sabato Wakuu!
Wiki nzima hii nilikuwa huku Mbweni, ninakijiplot changu. Sasa kwa hali niliyoikuta nimejikuta ninakata tamaa.
Aiseeh! Hawa majirani zangu sio Pouwa. Hii mijengo walioidondosha na wanaoidondosha sio Pouwa! Unaweza ukadhani upo kwenye filamu za kinaijeria.
Hapa nashauriwa niuze hiki kiwanja kwa sababu pesa ya kujenga vyuma kama vile haiwezekaniki bila kuwa aidha mwekezaji, Fisadi, muuza madawa, mfanyabiashara wa madini, Mwanasiasa mlafi, mzee wa dili haramu na katili, mzee wa kuzamisha wavuni mipira iliyokufa na Watu wa aina hiyo.
Magari yanayopita huku ni magari mazito, Chris Lukosi huita madungu jeshi.
Hivi kweli hawa wanaojenga huku Mbweni ni Watanzania kweli? Maana umaskini wa nchi yetu na hizi nyumba huku ni mbingu na ardhi.
Santeni
ππππππHawa ingekuwa enzi zetu za ujamaa tungewatia kashkashi waeleze wamepata wapi hela za kujenga hayo mahekalu
Wanakuelekezea maji ujifie wanunueNa ukijenga nyumba isiyoendana na zao, wanakuhamisha.
UFISADI UNAOSOMWA KWENYE REPORT YA CAG ndio huo Ujenzi unaouonaHabari za Sabato Wakuu!
Wiki nzima hii nilikuwa huku Mbweni, ninakijiplot changu. Sasa kwa hali niliyoikuta nimejikuta ninakata tamaa.
Aiseeh! Hawa majirani zangu sio Pouwa. Hii mijengo walioidondosha na wanaoidondosha sio Pouwa! Unaweza ukadhani upo kwenye filamu za kinaijeria.
Hapa nashauriwa niuze hiki kiwanja kwa sababu pesa ya kujenga vyuma kama vile haiwezekaniki bila kuwa aidha mwekezaji, Fisadi, muuza madawa, mfanyabiashara wa madini, Mwanasiasa mlafi, mzee wa dili haramu na katili, mzee wa kuzamisha wavuni mipira iliyokufa na Watu wa aina hiyo.
Magari yanayopita huku ni magari mazito, Chris Lukosi huita madungu jeshi.
Hivi kweli hawa wanaojenga huku Mbweni ni Watanzania kweli? Maana umaskini wa nchi yetu na hizi nyumba huku ni mbingu na ardhi.
Santeni