Hivi huku Mbweni wanaishi Watanzania? Haya majengo sio poa

Ki IQ si sahihi kutaja jina la mtu yeyote ambaye kwenye mada yako hayupo na wewe karibu na hawezi kujitetea; pia ata tunapoanzisha nyuzi na kutaja majina ya watu ni makosa makubwa ya kiufundi
Hebu leta ushahidi wa ku support hii hoja yako uchwara🤔.
Au ndo uki kariri iq, una tamba nayo popote??
 
Kuwa serious wewe ! Nyumba ya mil 70 uilinganishe na ya mil 300 kweli? Au unafikiri hao wa mil 300 hawazijui hizo kampuni za ujenzi?
 
Ki IQ si sahihi kutaja jina la mtu yeyote ambaye kwenye mada yako hayupo na wewe karibu na hawezi kujitetea; pia ata tunapoanzisha nyuzi na kutaja majina ya watu ni makosa makubwa ya kiufundi
Bruh hebu acha kupoteza muda na hizi porojo zako hao watu karibu kila siku huwa wanatajwa katika mijadala inayohusu utajiri na umiliki wa pesa na mali, kama ambavyo katika mijadala inayohusu siasa na uongozi wa nchi hii huwezi kukosa majina ya kina Kikwete na Makamba nk, ningekuwa nimewataja kwenye ishu tofauti na hizo kweli ningekuwa nimetoka nje ya mada ila hii mada imehusisha mambo ya utajiri na umiliki wa mali
 
Wakikufungulia mashtaka uchomoki, tuache mazoea
 
Mkuu 70M kwa mbweni ni ndogo. Vifaa vya ujenzi naona vimechangamka bei. Yaani kwa Sasa hivi ukitaka tu kupaua bati za maana na mbao nzuri kwa nyumba ndogo ni milioni 13.
Kwa uzoefu wangu kwa maisha ya sasa akiwa na 180m alafu akapata kijana wa Uclas/ardhi University akashinda naye saiti anatoa kitu kizuri. Vinginevyo watoto wake Wataishi kinyonge sana na hapo akumbuke haishii kwenye nyumba kuna magari pia. Apambane tu hakuna namna nina uhakika ataweza ajipe moyo.

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
Hapo
Huo ndio uelekeo wa hela zinazopigwa huko serikalini
Ndio utaelewa kwanini Mungu aliruhusu Tofauti za wanadamu woote kuanzia familia unayozaliwa njoo, Rangi, Taifa, bara, Kabila nk..
Njoo mpka toauti ya hospitali watu wanazozaliwa ila mwisho watafanana kwenye kifo. Unaweza shangaa ila Hilo ni jambo la kumshukuru sana Maana kama wangeweza kurecharge miaka ya kuishi nahisi kuna watu wangekufa wanatukana na kulaani. Maana hawana pesa za kuongeza vifurushi. Hapo Ubinafsi na Tamaa ya mwanadamu vimegota.
 

Daah! Hapo kwenye watoto kuishi kinyonge mkuu ndio naumia
 
Wakikufungulia mashtaka uchomoki, tuache mazoea
Basi wangeshawafungulia mashitaka watu wengi sana, au unadhani wakipita humu mitandaoni hawaoni majina yao yakitajwa karibu kila siku, hata wao wenyewe sidhani kama wanachukia kutajwa kwa mazuri au kutumika kama mifano kwenye mada zinazohusu utajiri

Kama kuna sheria nimevunja iweke hapa, mimi ninachojua ni kosa kumtaja mtu kwa mabaya au kwenye tuhuma za kutenda kosa fulani bila kuwa na ushahidi, hapo ana haki ya kukushitaki kwa sababu unakuwa umemchafua ila mimi hakuna mahali nilipomchafua

Acha porojo weka hapa hicho kifungu cha sheria nilichovunja
 
Ni suala la muda tu,sinza iliyokuwa inaonekana ya ushuani, ikoje siku hizi
 
Ulishawahi kujiuliza kwa nini vituo huwa vinatozwa faini au kufungiwa, kutokana na maudhui fulani? waongee wengine mmiliki awajibishwe? Kuna mengi hufanyika ambayo wewe huwezi kujua zaidi ya mmiliki wa forum. Mtu aliye elimika hawezi kutaja taja majina ya watu hovyo.
 
njoo nikupe kingine hiki kiwanja kwa milioni 25 nipigie 0759170794
 
Kwakweli pesa ni kioo, nikiwa na billion 1 inanitosha kushusha mjengo apo mbweni?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…