Hivi humu JF kuna aliyeishia la 7 kweli?


JF wote Matajiri...wana simu za milioni 4 ,wanapush maRange ,wamejenga maghorofa
JF Wote wanakaa Prime Areas.....Masaki ,Oysterbay ,Mbweni,Shanty town ,Njiro
JF Wote wasomi.
JF Wote washaishi au Wanaishi UK,US
JF Wote Ni Ma HB au PC Kali.
JF Wote ni wazee wa VITENGO aka UHASAMA wa TAIFA.
 
We unatafuta 'PERSONALITIES' za wadau au 'ELIMU' hapa JF? ... Kishimbe wa Kishimbe anaweza kuwa si chochote Katika jamii inayotuza mafisadi, lakini hiyo haimfanyi anywee na kuacha kujaribu kuirekebisha Dunia, ... japo kwa kuchangia JF!
 
ndio nimejua watu hawana upendo zamani ulikuwa unatumia hata shemeji yako akusaidie kazi za hapa na pale.

yani nahisi naanza kubadilika rangi nakuwa mweusi😀
ndo maana sitaki kabisa kuoa wala kua na mtoto. Najua drama zake.... ila labda nikikua nitabadilika 😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…