dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
Na sijamaliza la tatu nilisoma nusu tuMwachiluwi kaishia la tatuππ
ππmnanifananisha sana na hao madogo ye34nbe na Binadamu Mtakatifu
Hio nyash Kwa avatar ni vipiππWee no mpuuz SAS unamtangaza kuwa ulikutana na ili uje umuanike
jikaze narudia tena jikazeHio nyash Kwa avatar ni vipiππ
ππMm ndo maana siongeagi kiingereza Huwa kinanipotea nikiwa sijalewaπππUkiandika message ya kingereza wanakuja kama wote mpaka PM wengine wanaponda wengine wanaomba watafsiriwe. .
La saba ni wengi sana. Mmoja Kani text "LIVE ME ALONE I DOESN'T AGREE YOU JOCKING"π€£π€£π€£ Nimecheka mbaya
kuna watu hawawez kuongea kingereza vizuri ila wanaandika vizuri sana. Kuna watu wanaongea vizuri sana ila hawajui kabisa kuandika kingerezaπππMm ndo maana siongeagi kiingereza Huwa kinanipotea nikiwa sijalewaπππ
Sisi tuloidhia la nne B ,tukiwa pekeyetu kichwani kidhungu linakuja kabisa lkn ukitoa sauti kinakuja kimatumbiπππkuna watu hawawez kuongea kingereza vizuri ila wanaandika vizuri sana. Kuna watu wanaongea vizuri sana ila hawajui kabisa kuandika kingerezaπ
Sasa hata hujataka kujifunza tu. Vitu vingine unajifunza kama hobbies tena ikiwezekana unajifinz lugha hata tatu hivi πSisi tuloidhia la nne B ,tukiwa pekeyetu kichwani kidhungu linakuja kabisa lkn ukitoa sauti kinakuja kimatumbiπππ
ππKiingereza Cha kuombea maji kipo ππSasa hata hujataka kujifunza tu. Vitu vingine unajifunza kama hobbies tena ikiwezekana unajifinz lugha hata tatu hivi π
Binafsi nataka mwakani ninifunze lugha mpya either Spanish au FrenchππKiingereza Cha kuombea maji kipo ππ
Hongera sana mm habar za kusoma soma nshachoka kwanza akili zenyew SinaππBinafsi nataka mwakani ninifunze lugha mpya either Spanish au French
Ucjari Dear [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
hapo unawaza habari za kuolewa au watoto sio bureππHongera sana mm habar za kusoma soma nshachoka kwanza akili zenyew Sinaππ
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] usiniambie.Mimi naamini utakua mrembo sio kama Hawa wadada waongo waongo[emoji16][emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sisi tuloidhia la nne B ,tukiwa pekeyetu kichwani kidhungu linakuja kabisa lkn ukitoa sauti kinakuja kimatumbi[emoji23][emoji23][emoji23]
ππAah wapi kuolewa mie bado nakula ugali kwanza home sijafukuzwa πhapo unawaza habari za kuolewa au watoto sio bureππ
Aunt πππ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
haha π ila wew ni mzuri acha tu ukorofiππAah wapi kuolewa mie bado nakula ugali kwanza home sijafukuzwa π