Hivi humu JF kuna aliyeishia la 7 kweli?

Ukiandika message ya kingereza wanakuja kama wote mpaka PM wengine wanaponda wengine wanaomba watafsiriwe. .
La saba ni wengi sana. Mmoja Kani text "LIVE ME ALONE I DOESN'T AGREE YOU JOCKING"🀣🀣🀣 Nimecheka mbaya
πŸ˜‚πŸ˜‚Mm ndo maana siongeagi kiingereza Huwa kinanipotea nikiwa sijalewaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
πŸ˜‚πŸ˜‚Mm ndo maana siongeagi kiingereza Huwa kinanipotea nikiwa sijalewaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
kuna watu hawawez kuongea kingereza vizuri ila wanaandika vizuri sana. Kuna watu wanaongea vizuri sana ila hawajui kabisa kuandika kingerezaπŸ˜€
 
kuna watu hawawez kuongea kingereza vizuri ila wanaandika vizuri sana. Kuna watu wanaongea vizuri sana ila hawajui kabisa kuandika kingerezaπŸ˜€
Sisi tuloidhia la nne B ,tukiwa pekeyetu kichwani kidhungu linakuja kabisa lkn ukitoa sauti kinakuja kimatumbiπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Sisi tuloidhia la nne B ,tukiwa pekeyetu kichwani kidhungu linakuja kabisa lkn ukitoa sauti kinakuja kimatumbiπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Sasa hata hujataka kujifunza tu. Vitu vingine unajifunza kama hobbies tena ikiwezekana unajifinz lugha hata tatu hivi πŸ˜€
 
Sasa hata hujataka kujifunza tu. Vitu vingine unajifunza kama hobbies tena ikiwezekana unajifinz lugha hata tatu hivi πŸ˜€
πŸ˜€πŸ˜€Kiingereza Cha kuombea maji kipo πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Sisi tuloidhia la nne B ,tukiwa pekeyetu kichwani kidhungu linakuja kabisa lkn ukitoa sauti kinakuja kimatumbi[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…