FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Waislam tuna nguzo 6 za imani yetu, unazielewa?Kiburi si imani....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waislam tuna nguzo 6 za imani yetu, unazielewa?Kiburi si imani....
Ninaziishi....unataka kudai kuwa KIBURI/KINYUME chake nacho ni nguzo ?!!!!Waislam tuna nguzo 6 za imani yetu, unazielewa?
Kwanini nidai wakati sijakopesha?Ninaziishi....unataka kudai kuwa KIBURI/KINYUME chake nacho ni nguzo ?!!!!
Humbleness is our way....I don't see on you the one calling herself a follower of the "khattama tu nabiyyina wa nubuwa".....KIBRI...Kwanini nidai wakati sijakopesha?
Thinking ya walio wengi humu i afadhali ya darasa la saba unalolidharau.Hata tweeter sio hivyo aisee, yaani ukiona handle za watu humu ndani na Jinsi wanavyoandika thread [emoji3468] zao utawadhania ni moboss wakurugenzi wa makampuni flani!
Juzi si nmekutana na dada mmoja hivi wa humu JF [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani Kwa hapa JF anaheshimika sana watu wanamchukulia kama mtu mzito sana, mixer vingereza vingi. Juzi nmeomba kumeet nae aisee, ni kachoka mbaya na kazi anayofanya ni aibu aisee ngoja niishie hapa.
Hapa JF haitakiwi kua serious sana, wengi humu wanaingia kama kuigiza tuu.
Ooh, good for you.Humbleness is our way....I don't see on you the one calling herself a follower of the "khattama tu nabiyyina wa nubuwa".....KIBRI...
.Ooh, good for you.
Mbona Membe anamdai Musiba wakati hajamkopesha!!??Kwanini nidai wakati sijakopesha?
Kamuulize Membe na msiba, mie inanihusu nini?Mbona Membe anamdai Musiba wakati hajamkopesha!!??
Natumia uzoefu tu mkuu.Mbona unajua kusoma na kuandika vzur
Hata tweeter sio hivyo aisee, yaani ukiona handle za watu humu ndani na Jinsi wanavyoandika thread [emoji3468] zao utawadhania ni moboss wakurugenzi wa makampuni flani!
Juzi si nmekutana na dada mmoja hivi wa humu JF [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani Kwa hapa JF anaheshimika sana watu wanamchukulia kama mtu mzito sana, mixer vingereza vingi. Juzi nmeomba kumeet nae aisee, ni kachoka mbaya na kazi anayofanya ni aibu aisee ngoja niishie hapa.
Hapa JF haitakiwi kua serious sana, wengi humu wanaingia kama kuigiza tuu.
Wwe waulize kwa niaba yangu,Mimi simu zangu hawapokei Bi Hajati!Kamuulize Membe na msiba, mie inanihusu nini?
Samahani, siwezi kuwauliza chochote ambacho hakinihusu na sikifahamu.Wwe waulize kwa niaba yangu,Mimi simu zangu hawapokei Bi Hajati!
Tuliochoka kimaisha, na tusio na elimu wenye kazi za aibu mbona tupo, na mimi ni mmoja wao.Hata tweeter sio hivyo aisee, yaani ukiona handle za watu humu ndani na Jinsi wanavyoandika thread [emoji3468] zao utawadhania ni moboss wakurugenzi wa makampuni flani!
Juzi si nmekutana na dada mmoja hivi wa humu JF [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani Kwa hapa JF anaheshimika sana watu wanamchukulia kama mtu mzito sana, mixer vingereza vingi. Juzi nmeomba kumeet nae aisee, ni kachoka mbaya na kazi anayofanya ni aibu aisee ngoja niishie hapa.
Hapa JF haitakiwi kua serious sana, wengi humu wanaingia kama kuigiza tuu.