Hivi humu JF kuna aliyeishia la 7 kweli?

Hivi humu JF kuna aliyeishia la 7 kweli?

Ukiandika message ya kingereza wanakuja kama wote mpaka PM wengine wanaponda wengine wanaomba watafsiriwe. .
La saba ni wengi sana. Mmoja Kani text "LIVE ME ALONE I DOESN'T AGREE YOU JOCKING"🤣🤣🤣 Nimecheka mbaya
hahahaha😃😃😃😃😃
 
Kuna watu sijui wapoje, yaan kila kitu ni kuongea mengn yaache yaozee kifuani wanaume hua hatupo hvo sheikh!
 
Hata tweeter sio hivyo aisee, yaani ukiona handle za watu humu ndani na Jinsi wanavyoandika thread [emoji3468] zao utawadhania ni moboss wakurugenzi wa makampuni flani!

Juzi si nmekutana na dada mmoja hivi wa humu JF [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Yaani Kwa hapa JF anaheshimika sana watu wanamchukulia kama mtu mzito sana, mixer vingereza vingi. Juzi nmeomba kumeet nae aisee, ni kachoka mbaya na kazi anayofanya ni aibu aisee ngoja niishie hapa.

Hapa JF haitakiwi kua serious sana, wengi humu wanaingia kama kuigiza tuu.
Sasa kama hata faragha yenu umeshindwa kuiheshimu,wewe si walewale unao wasema🤔
 
Wewe umeishia chekechea, hebu angalia hiyo "heading" ya huu uzi wako ulivyoiandika. Sijui ulikuwa unaharakia kunyandua.🤣
Huyo tena hakufanikiwa ndio maana anamwaga upupu humu🤔
 
Mtu anajivunia kujua kiingereza lakini chaajabu hana nyuma wala mbele, hana ujanja wowote wa kutoka nje ya Tanzania alafu hana hata nguvu za kupandisha wazungu milimani walau hata aweze kukitumia kiingereza chake cha kuungaunga.

Inasikitisha sana!
 
Hata hao waliogundua Cape of Good Hope , wagunduzi wa vitu kama bulb, engine za magari siyo wasomi sana.

Na mara zote huwa sipendi kukutana na jf members, unless otherwise
 
Jf siku hizi ina member wa kipuuzi sana. Wew ndio ulikua unamchukulia kama mtu mzito humu jf, sidhani kama yeye aliwahi kukutamkia kwamba yeye ni mtu mzito. Na bado baada ya kuonana na wew akawa honest kwako! Lakn unachomlipa ni kumletea kejeri hapa jf.....!!!! Kama elimu ya chuo kikuu ndo inawafanya kuwa hivo kweny jamii basi bora niliishia la saba.
 
Jf siku hizi ina member wa kipuuzi sana. Wew ndio ulikua unamchukulia kama mtu mzito humu jf, sidhani kama yeye aliwahi kukutamkia kwamba yeye ni mtu mzito. Na bado baada ya kuonana na wew akawa honest kwako! Lakn unachomlipa ni kumletea kejeri hapa jf.....!!!! Kama elimu ya chuo kikuu ndo inawafanya kuwa hivo kweny jamii basi bora niliishia la saba.
umeongea kwa uchungu sana
 
Na kuna wanawake humu wanajiona wanakomenti vizuri, sijui kujiona wana status humu JF, mbaya zaidi kuna wanaume wengine humu wamkaa kishoga uzi ukipostiwa na mwanamke basi yanakuwa kama majibwa koko.


Nikiri kuna Dada mmoja tulifahamiana inbox, tukawa tunachat watsap pia tukachati mida mrefu huku nikiamini utelezi sikosi.


Si akatuma picha zake, na akashare akaunt yake ya IG na mimi nikampa Yangu ya IG

Mtumeeeeee!!!!!

tubakie hivhivi anonymous
Kwani wwe ulikua na picha gani kichwani kabla hamja onana!!??,ebu tuambie japo kidogo!!
 
Back
Top Bottom