Tony Laurent
JF-Expert Member
- Jan 5, 2011
- 5,606
- 7,032
Poa kabisa.Hauna tatizo Mkuu, Bora wewe unajijua kwamba vitu fulani huwezi nani ukweli ambao wengi wetu hatuukubali, Ukiwa mtulivu ndani yako basi utakua umefanikiwa kwa kiasi kikubwa kuliko kusikiza kelele zinazotoka nje yako.hivyo upo sawa maana kila mtu huzaliwa na toleo lake la pekee.
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Kwa maelezo yako umesema una 24yrs. Sasa ina maana umekuwa ukifanyakazi kwa huyo ndugu yako tangu ukiwa na miaka 12 au 13???6. Ninafanya kazi kwa ndugu for over 10 years now anilipi chochote nakila nikitaka
Sasaa utaendelea kujitolea mpk lini!?Me Ni kijana wa miaka 24 huu upole na uwoga nimekuanao kwa mda mrefu pia Nina huruma Sana .... changamoto
1. Nikiombwa Ela na ndugu au rafiki hua sijui kukataa kias kwamba adi wameshazoa hii utokana na usiri wangu nikisha msaidia mtu hua simtangazi inabaki kua Siri yangu nayeye .. ivyo Wana feel comfortable kuniomba Mara kwa Mara ..
Nitakuchek inbox mzeeKwa maelezo ya huyu mkuu inaonayesha ni Introvert lakini kawa Psychopath naona kuna vipengele tunafanana. Ila chamsingi ajitahidi kujamiiana na wanajamii he's not alone in this world akutane na watu itamsaidia
Mzee hujala toka juzi?Mi nmetaja nnachohitaji maana sijala Toka juzi...bora kuomba hiyo buku ukaiona ndogo, ukinipa ningenunua Viazi nikachemsha nkala leo Na kesho kuliko kukuomba buku Tano ya Kula mwezi ukaiona kubwa ukaishia mtini.
Bora kidogo kinachopatikana kuliko kikubwa kinachotamanika
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hiyo hali ya kisenge sana aisee tunaendana kwa kila kitu ila mimi nimeamua kujichanganya vijiweni nitoe uzwazwa huo maana nimekuwa na huruma ya kisenge mpaka kero nilifikia hatua mtu ananiomba hela na tumeonana mtandaoni hata simjui nampatia alafu harudishi tokea hapo nimeamua kuikimbia hii hali.
AsanteHongera sana.
Urafiki wa kawaida tu hao sina wengi naishiaga kuwatongoza tu.una marafiki wa kike?
Poa poa mate karibu!ntakuchek inbox mzee
Hata mimi nimeshindwa kuelewa inakuwaje mtu unafanya kazi kwa miaka 10 bila kulipwa?Wewe jamaa ni exotic species. Kwanza ni muongo muongo. Inawezekana vipi unafanya kazi kwa miaka 10 bila kulipwa? Je hizo hela unazoombwa na hao ndugu unatoa wapi? Au unaiba?
Acha uongo wako.
Ndiyo mkuu...nilikuwa nimeshazoea Pasi ndefu ya mlo mmoja Kwa siku ila Sasa Na yenyewe imeanza kunishindamzee hujala toka juzi?
ntumie number yako PMNdiyo mkuu...nilikuwa nimeshazoea Pasi ndefu ya mlo mmoja Kwa siku ila Sasa Na yenyewe imeanza kunishinda
Uliza watu wanaofanya kazi kwa ndugu .. watakwambia .. ulishawai kufanya kazi kwa mjomba ,Shangazi ,bamdogo , Kaka mkubwa ? Tena Mimi nilianza kufanya kazi nikiwa na miaka 13 nilishindwa kuendelea na form 2 .. kwakuw Bibi alikosa ada niliamua kujiunga na maktaba ya mkoa kwaiyo nilisoma Sana vitabu kila nilipokuw free kwaiyo issue yakuwa kweny vijiwe nilikuw Sina kabisaHata mimi nimeshindwa kuelewa inakuwaje mtu unafanya kazi kwa miaka 10 bila kulipwa?