Hivi huu ni upole au mimi ni boya?

Hivi huu ni upole au mimi ni boya?

Una tatizo kubwa zaidi ya unavyohisi.
Hii imeyokana na mazingira uliyokulia utotoni.
Ukimya ndo tatizo langu kubwa na pia mzito kutembelea watu kuwapigia sim kwenda maharusini kuudhuria kwenye issue flan zakijamii iyo ndo tatizo ninalotaka kulitatua .. cuz wakiniambia Nina kiburi hua najickia vibaya Sana hasa akiwa mtu ninae mueshim
 
Sasaa utaendelea kujitolea mpk lini!?
Maisha yako ndio unatak yaishie hivyo!?
Thats the most uzwazwa akutumikishe 10yrs for free tu amka hangaika upate chako
Tatizo Ni brother Yan first born wetu kwaiyo business yake ikinikosa Kuna hatari yakushuka kiufanisi na sitaki ashuke kiuchumi maana alikotoka napajua na alipo najua na anapoelekea pia najua .. hua namuacha kwa mda nikiwa na Mambo fulan binafsi lakini akiwa nashida namimi hua nashindwa kumkatalia so najiku nampa company Tena..
 
Kwa maelezo yako umesema una 24yrs. Sasa ina maana umekuwa ukifanyakazi kwa huyo ndugu yako tangu ukiwa na miaka 12 au 13???

Hii haiingii akilini, but, anyways let me go to the point.
Wewe ni introvert person ambaye anakosa kitu inaitwa self-esteem. Aibu na kutokujiamini ndiyo tatizo lako kubwa.

Kitu kingine huna boundaries na ndiyo maana ukiombwa kitu huwezi kusema "hapana" hata kama hutaki kutoa hicho kitu.

Bwana mdogo una matatizo makubwa sana ya kisaikolojia na unahitaji msaada. You need counseling, hivyo nakushauri tafuta a professional psychiatrist akufanyie intensive counseling sababu yote uliyoyaeleza yanaviashiria vya mental illness, lakini tatizo lako linatibika.
Ndio nilianza kufanya nae kazi Nikiwa na 13 years old
 
Me Ni kijana wa miaka 24 huu upole na uwoga nimekuanao kwa mda mrefu pia Nina huruma Sana .... changamoto

1. Nikiombwa Ela na ndugu au rafiki hua sijui kukataa kias kwamba adi wameshazoa hii utokana na usiri wangu nikisha msaidia mtu hua simtangazi inabaki kua Siri yangu nayeye .. ivyo Wana feel comfortable kuniomba Mara kwa Mara ..

2. Nikiwa in public kuja kutoa neno uwa Ni issue Maranyingi nakua kimya tu nasikiliza sijui kujieleza kwakuongea Wala kujitetea ila .. nilishangaa siku niliodakwa me narafiki yangu mmoja na police tukapelekwa kituoni kosa tulipita eneo ambalo Kuna tukio la wizi lilitokea kwenye huo mtaa sasa bila kujua wakawa wanakamata vijana kwakuwaoji .. nilijikuta naongea na hao ma afande kwa ujasiri Tena kwa mtiririko wakujitetea adi wakanielewa sa nikajiuliza kumbe me sio muoga kias iki ! Sasa mbona nikiwa uraiyani nakuwa muoga muoga na mwenye aibu ?

3. Napenda kujifungia ndani nikitoka labda nikienda msalani au kutafuta chakula sipendi kuangaliana nawatu usoni naona aibu .. niliacha kwenda kanisani kwakuwa kinanda cha mahabudu kikipigwa tu najikuta nasikitika nahanza kulia ile Hali yakulialia kanisan iliniboa Sana .. ata nikisikia wimbo mzuri hua najikuta machozi yananilenga pengine adi kulia kabisa hususa nyimbo za rumba zaki Congo nikisikia guitar likinitachi tu naingiwa na uzuni ghafla ..

4 . Nikifika dukani kununua kitu au gengeni muhzaji atakae nikaribisha wakwanza ndie nitakae muunga atakama ana bidhaa ambazo azina quality ninayo itaka

5 . Marafiki zangu unipenda kwakua hua wakiwa nashida ya ushauri hua nawashauri nakuwapa plans ambazo zinakuwa on point Nina marafiki wachache Tena niwale wautotoni awafiki ata 6 ila ndo hao hao ..licha yakua nao Maranyingi hunilaumu Sana maana ata nikiwa na shida hua siwashirikishi ningumu Sana kujua Kama Nina shida mahna mda wote hua na smile tu nikiwa nao ata kuwaomba fedha sipendagi .. ata nikiwa na Ela uwezi jua na ata nikiishiwa pia uwezi kujua .. that's me

6. Ninafanya kazi kwa ndugu for over 10 years now anilipi chochote nakila nikitaka kuacha kazi hua anakua mkali Sana na sijawai kumuambia kua tatizo nikua anilipi naofia kwakuw akuna mtu yoyote anae muamini tofauti yangu ..

7: kipaji changu ni uimbaji nimuandishi mzuri Sana wa nyimbo ila nitakuaje msanii mkubwa akati Nina social anxiet !? Niliwai kwenda studio Producer akaniambia wewe unakipaji kikubwa ila umepoa Sana .. japo unaweza ji switch kidogo ukawa Kama alikiba .. nae hua anahali Kama yakwako ajui kujieleza nimkimya ila ndo kwavile amejikuta yupo on map hua anajikakamua .. labda nawew ujikakamue .

8: Sometimes hua nataman kuoa nibahada yakufanikisha kufungua ka office kangu mahana hua nakafunga funga kwakuwa bado nafanya kazi kwa uyu ndugu yangu pengine nikimuweka mwanamke anaweza ku run vizuri .. Nina ma ex wengi hii nikwakuwa nachagua chagua Sana Dem waku match nae .. kutokana na Hali yangu sipendi drama na napendaga nioe ila mtu yeyote wanyumbani asijue..na kama itashindikana nizalishe na mtu yeyote wa nyumbani asijue .. yan huyo ndo mimi .. napenda Sana vitu vya Siri Siri .

9: Kuna dada yangu mmoja aliwai kuniangalia kwa mda mrefu akaniambia Yani wewe nikisikiaga .. umeuwa au umefanya kitu chochote Cha ajabu sitobisha ilikuwa Ni zaman nilikuwa mdogo sikujua amemaanisha Nini ila iyo kauli hua naikumbuka Sana na adi Sasa naiyelewa ..

10. Nina group moja ya WhatsApp hua wananiita kivuruge Yani hua naongea nachangia mada Yani utadhani siyo Mimi kabisa wengine huniita comedian au mtangazaji ila kwenye real life Yan utaniona nimenywea Yani nakasura kangu kakipole .. adi nilitakaga kuvuta bangi ili nichangamke niwe Kama wengine ila nashukuru sikuile yule mama alikua kasha maliza mzigo wote nilivoondoka sikuwai Tena kurudi .. nanikaachana na ilo wazo . .

Mwisho : sometimes nataka nibadirike sijui Kama nitaweza Kama kunamtu Alikua na Hali Kama yangu aka badilika naomba anisaidie mbinu . . Kwenu wakuu
Hakuna chochote
 
Upole sio kitu kibaya ila ukizidi unageuka uoga na utakuwa kondoo wa kila mtu.
Kila mtu atakuendesha na kukufanya anavyotaka pia watakutumia kisha watakuacha.
Upole wa aina hii huwa ni "Uboya" kama ulivyosema.

Pia upole au ukimya hauna mahusiano na aibu, aibu ni kitu tofauti kabisa na aibu mara nyingi huwa nayo wanawake.

Hayo mengine sio tatizo sana.
Tatizo ni wewe kufanya kazi kwa ajili ya mtu mwingine na yeye anaendela alafu wewe kubaki hapo'hapo, haijarishi huyo mtu ni nani yako.

Wewe ni mtu mzima na unatakiwa uanze kuangalia maisha yako binafsi na sio kusaidia watu tena bure.

Mkuu acha hiyo tabia mara moja kabla haujaja kujuta baadae.
 
Hizo tabia ninazo zaidi ya nusu yake.. kwenye kuongea mbele za watu hasa kijiweni. Maana ilikuwa kila nikitaka kuongea wengine wanaongea.
Ila kupambana nayo ni kujichanganya na uwe na mada ambazo ukiongea inabidi uanze na stori fupi fupi(story telling) tumia style hii. Tafuta vistori vya kijanja ambazo zina kama mafumbo hivi.. ziwe mpya kijiweni at least kwa wiki story mbili. Ukishawashika kwa hivyo next time ukiongea lazima usikilizwe na hiyo itakujengea confidence.
 
Upole sio kitu kibaya ila ukizidi unageuka uoga na utakuwa kondoo wa kila mtu.
Kila mtu atakuendesha na kukufanya anavyotaka pia watakutumia kisha watakuacha.
Upole wa aina hii huwa ni "Uboya" kama ulivyosema.

Pia upole au ukimya hauna mahusiano na aibu, aibu ni kitu tofauti kabisa na aibu mara nyingi huwa nayo wanawake.

Hayo mengine sio tatizo sana.
Tatizo ni wewe kufanya kazi kwa ajili ya mtu mwingine na yeye anaendela alafu wewe kubaki hapo'hapo, haijarishi huyo mtu ni nani yako.

Wewe ni mtu mzima na unatakiwa uanze kuangalia maisha yako binafsi na sio kusaidia watu tena bure.

Mkuu acha hiyo tabia mara moja kabla haujaja kujuta baadae.
I feel you ... Asante Sana ila kwakuendeshwa hua siendeshwi Sana kwakuwa me Ni bingwa waku cut watu off nikishaona mtu ananizoea hua sinaga time nae nampotezea mazima Yan no second chance .. ndomana Nina circle ya watu wachache Sana Tena ambao hua wananiitaji Mimi na siyo Mimi kuwaitaji wao ..

Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
 
Me Ni kijana wa miaka 24 huu upole na uwoga nimekuanao kwa mda mrefu pia Nina huruma Sana .... changamoto

1. Nikiombwa Ela na ndugu au rafiki hua sijui kukataa kias kwamba adi wameshazoa hii utokana na usiri wangu nikisha msaidia mtu hua simtangazi inabaki kua Siri yangu nayeye .. ivyo Wana feel comfortable kuniomba Mara kwa Mara ..

2. Nikiwa in public kuja kutoa neno uwa Ni issue Maranyingi nakua kimya tu nasikiliza sijui kujieleza kwakuongea Wala kujitetea ila .. nilishangaa siku niliodakwa me narafiki yangu mmoja na police tukapelekwa kituoni kosa tulipita eneo ambalo Kuna tukio la wizi lilitokea kwenye huo mtaa sasa bila kujua wakawa wanakamata vijana kwakuwaoji .. nilijikuta naongea na hao ma afande kwa ujasiri Tena kwa mtiririko wakujitetea adi wakanielewa sa nikajiuliza kumbe me sio muoga kias iki ! Sasa mbona nikiwa uraiyani nakuwa muoga muoga na mwenye aibu ?

3. Napenda kujifungia ndani nikitoka labda nikienda msalani au kutafuta chakula sipendi kuangaliana nawatu usoni naona aibu .. niliacha kwenda kanisani kwakuwa kinanda cha mahabudu kikipigwa tu najikuta nasikitika nahanza kulia ile Hali yakulialia kanisan iliniboa Sana .. ata nikisikia wimbo mzuri hua najikuta machozi yananilenga pengine adi kulia kabisa hususa nyimbo za rumba zaki Congo nikisikia guitar likinitachi tu naingiwa na uzuni ghafla ..

4 . Nikifika dukani kununua kitu au gengeni muhzaji atakae nikaribisha wakwanza ndie nitakae muunga atakama ana bidhaa ambazo azina quality ninayo itaka

5 . Marafiki zangu unipenda kwakua hua wakiwa nashida ya ushauri hua nawashauri nakuwapa plans ambazo zinakuwa on point Nina marafiki wachache Tena niwale wautotoni awafiki ata 6 ila ndo hao hao ..licha yakua nao Maranyingi hunilaumu Sana maana ata nikiwa na shida hua siwashirikishi ningumu Sana kujua Kama Nina shida mahna mda wote hua na smile tu nikiwa nao ata kuwaomba fedha sipendagi .. ata nikiwa na Ela uwezi jua na ata nikiishiwa pia uwezi kujua .. that's me

6. Ninafanya kazi kwa ndugu for over 10 years now anilipi chochote nakila nikitaka kuacha kazi hua anakua mkali Sana na sijawai kumuambia kua tatizo nikua anilipi naofia kwakuw akuna mtu yoyote anae muamini tofauti yangu ..

7: kipaji changu ni uimbaji nimuandishi mzuri Sana wa nyimbo ila nitakuaje msanii mkubwa akati Nina social anxiet !? Niliwai kwenda studio Producer akaniambia wewe unakipaji kikubwa ila umepoa Sana .. japo unaweza ji switch kidogo ukawa Kama alikiba .. nae hua anahali Kama yakwako ajui kujieleza nimkimya ila ndo kwavile amejikuta yupo on map hua anajikakamua .. labda nawew ujikakamue .

8: Sometimes hua nataman kuoa nibahada yakufanikisha kufungua ka office kangu mahana hua nakafunga funga kwakuwa bado nafanya kazi kwa uyu ndugu yangu pengine nikimuweka mwanamke anaweza ku run vizuri .. Nina ma ex wengi hii nikwakuwa nachagua chagua Sana Dem waku match nae .. kutokana na Hali yangu sipendi drama na napendaga nioe ila mtu yeyote wanyumbani asijue..na kama itashindikana nizalishe na mtu yeyote wa nyumbani asijue .. yan huyo ndo mimi .. napenda Sana vitu vya Siri Siri .

9: Kuna dada yangu mmoja aliwai kuniangalia kwa mda mrefu akaniambia Yani wewe nikisikiaga .. umeuwa au umefanya kitu chochote Cha ajabu sitobisha ilikuwa Ni zaman nilikuwa mdogo sikujua amemaanisha Nini ila iyo kauli hua naikumbuka Sana na adi Sasa naiyelewa ..

10. Nina group moja ya WhatsApp hua wananiita kivuruge Yani hua naongea nachangia mada Yani utadhani siyo Mimi kabisa wengine huniita comedian au mtangazaji ila kwenye real life Yan utaniona nimenywea Yani nakasura kangu kakipole .. adi nilitakaga kuvuta bangi ili nichangamke niwe Kama wengine ila nashukuru sikuile yule mama alikua kasha maliza mzigo wote nilivoondoka sikuwai Tena kurudi .. nanikaachana na ilo wazo . .

Mwisho : sometimes nataka nibadirike sijui Kama nitaweza Kama kunamtu Alikua na Hali Kama yangu aka badilika naomba anisaidie mbinu . . Kwenu wakuu
yani mkuu unafafa namimi kila kitu ila kwenye mziki me nmejiongeza nimekua tu producer
 
Unaposikiliza wimbo ukakutia huzuni mpaka ukalia ina maana huo wimbo unakukumbusha tukio la kuhuzunisha ambalo lilikutokea,

Kua muwazi usaidiwe,je ulipitia mateso ya aina yeyote katika maisha yako (mateso kama ya kunyanyaswa na ndugu au jamaa)

Jaribu kusahau matatizo yote uliyoyapitia kisha jichanganye na watu,mtu wa kukubadilisha wewe ni wewe mwenyewe.
 
Unaposikiliza wimbo ukakutia huzuni mpaka ukalia ina maana huo wimbo unakukumbusha tukio la kuhuzunisha ambalo lilikutokea,

Kua muwazi usaidiwe,je ulipitia mateso ya aina yeyote katika maisha yako (mateso kama ya kunyanyaswa na ndugu au jamaa)

Jaribu kusahau matatizo yote uliyoyapitia kisha jichanganye na watu,mtu wa kukubadilisha wewe ni wewe mwenyewe.
Hujamwelewa vizuri nini huwa kinamliza, amesema gitaa likicharazwa vizuri hasa kwa nyimbo za wakongo, machozi humtoka hivyo hilo sio tatizo la kumbukizi la matatizo ya nyuma yaliyompata bali hiyo ni hisia ya ndani sana huwapata watu wengi hasa walokole wakisikia baadhi ya nyimbo za Zaburi na Tenzi za rohoni hutokwa na machozi hata makamasi mepesi, maana hupata hisia za ndani zaidi kwa hizo beats.

Wale team mond huwa hawana hisia kama hizo ktk muziki wa mond wao hupatwa na tamaa ya kugegeda ama kugegeda wakifuatilia uno la modi [emoji23][emoji23]
 
Hiyo hali ya kisenge sana aisee tunaendana kwa kila kitu ila mimi nimeamua kujichanganya vijiweni nitoe uzwazwa huo maana nimekuwa na huruma ya kisenge mpaka kero nilifikia hatua mtu ananiomba hela na tumeonana mtandaoni hata simjui nampatia alafu harudishi tokea hapo nimeamua kuikimbia hii hali.
Kumbe ni uzwazwa.....Mimi pia nipo kama jamaa, nimejaribu kuacha nimeshindwa kabisa
 
Me Ni kijana wa miaka 24 huu upole na uwoga nimekuanao kwa mda mrefu pia Nina huruma Sana .... changamoto

1. Nikiombwa Ela na ndugu au rafiki hua sijui kukataa kias kwamba adi wameshazoa hii utokana na usiri wangu nikisha msaidia mtu hua simtangazi inabaki kua Siri yangu nayeye .. ivyo Wana feel comfortable kuniomba Mara kwa Mara ..

2. Nikiwa in public kuja kutoa neno uwa Ni issue Maranyingi nakua kimya tu nasikiliza sijui kujieleza kwakuongea Wala kujitetea ila .. nilishangaa siku niliodakwa me narafiki yangu mmoja na police tukapelekwa kituoni kosa tulipita eneo ambalo Kuna tukio la wizi lilitokea kwenye huo mtaa sasa bila kujua wakawa wanakamata vijana kwakuwaoji .. nilijikuta naongea na hao ma afande kwa ujasiri Tena kwa mtiririko wakujitetea adi wakanielewa sa nikajiuliza kumbe me sio muoga kias iki ! Sasa mbona nikiwa uraiyani nakuwa muoga muoga na mwenye aibu ?

3. Napenda kujifungia ndani nikitoka labda nikienda msalani au kutafuta chakula sipendi kuangaliana nawatu usoni naona aibu .. niliacha kwenda kanisani kwakuwa kinanda cha mahabudu kikipigwa tu najikuta nasikitika nahanza kulia ile Hali yakulialia kanisan iliniboa Sana .. ata nikisikia wimbo mzuri hua najikuta machozi yananilenga pengine adi kulia kabisa hususa nyimbo za rumba zaki Congo nikisikia guitar likinitachi tu naingiwa na uzuni ghafla ..

4 . Nikifika dukani kununua kitu au gengeni muhzaji atakae nikaribisha wakwanza ndie nitakae muunga atakama ana bidhaa ambazo azina quality ninayo itaka

5 . Marafiki zangu unipenda kwakua hua wakiwa nashida ya ushauri hua nawashauri nakuwapa plans ambazo zinakuwa on point Nina marafiki wachache Tena niwale wautotoni awafiki ata 6 ila ndo hao hao ..licha yakua nao Maranyingi hunilaumu Sana maana ata nikiwa na shida hua siwashirikishi ningumu Sana kujua Kama Nina shida mahna mda wote hua na smile tu nikiwa nao ata kuwaomba fedha sipendagi .. ata nikiwa na Ela uwezi jua na ata nikiishiwa pia uwezi kujua .. that's me

6. Ninafanya kazi kwa ndugu for over 10 years now anilipi chochote nakila nikitaka kuacha kazi hua anakua mkali Sana na sijawai kumuambia kua tatizo nikua anilipi naofia kwakuw akuna mtu yoyote anae muamini tofauti yangu ..

7: kipaji changu ni uimbaji nimuandishi mzuri Sana wa nyimbo ila nitakuaje msanii mkubwa akati Nina social anxiet !? Niliwai kwenda studio Producer akaniambia wewe unakipaji kikubwa ila umepoa Sana .. japo unaweza ji switch kidogo ukawa Kama alikiba .. nae hua anahali Kama yakwako ajui kujieleza nimkimya ila ndo kwavile amejikuta yupo on map hua anajikakamua .. labda nawew ujikakamue .

8: Sometimes hua nataman kuoa nibahada yakufanikisha kufungua ka office kangu mahana hua nakafunga funga kwakuwa bado nafanya kazi kwa uyu ndugu yangu pengine nikimuweka mwanamke anaweza ku run vizuri .. Nina ma ex wengi hii nikwakuwa nachagua chagua Sana Dem waku match nae .. kutokana na Hali yangu sipendi drama na napendaga nioe ila mtu yeyote wanyumbani asijue..na kama itashindikana nizalishe na mtu yeyote wa nyumbani asijue .. yan huyo ndo mimi .. napenda Sana vitu vya Siri Siri .

9: Kuna dada yangu mmoja aliwai kuniangalia kwa mda mrefu akaniambia Yani wewe nikisikiaga .. umeuwa au umefanya kitu chochote Cha ajabu sitobisha ilikuwa Ni zaman nilikuwa mdogo sikujua amemaanisha Nini ila iyo kauli hua naikumbuka Sana na adi Sasa naiyelewa ..

10. Nina group moja ya WhatsApp hua wananiita kivuruge Yani hua naongea nachangia mada Yani utadhani siyo Mimi kabisa wengine huniita comedian au mtangazaji ila kwenye real life Yan utaniona nimenywea Yani nakasura kangu kakipole .. adi nilitakaga kuvuta bangi ili nichangamke niwe Kama wengine ila nashukuru sikuile yule mama alikua kasha maliza mzigo wote nilivoondoka sikuwai Tena kurudi .. nanikaachana na ilo wazo . .

Mwisho : sometimes nataka nibadirike sijui Kama nitaweza Kama kunamtu Alikua na Hali Kama yangu aka badilika naomba anisaidie mbinu . . Kwenu wakuu
Pole hata mie
 
Back
Top Bottom