Hivi huu ni upole au mimi ni boya?

Una tatizo kubwa zaidi ya unavyohisi.
Hii imeyokana na mazingira uliyokulia utotoni.
Ukimya ndo tatizo langu kubwa na pia mzito kutembelea watu kuwapigia sim kwenda maharusini kuudhuria kwenye issue flan zakijamii iyo ndo tatizo ninalotaka kulitatua .. cuz wakiniambia Nina kiburi hua najickia vibaya Sana hasa akiwa mtu ninae mueshim
 
Kama umeandika gazeti lote hili na bado hujui namna ya kubadilika kama utakavyo, basi hauna nia ya kubadilika
Nia ninayo [emoji3] ila am just totally cold fish
 
Sasaa utaendelea kujitolea mpk lini!?
Maisha yako ndio unatak yaishie hivyo!?
Thats the most uzwazwa akutumikishe 10yrs for free tu amka hangaika upate chako
Tatizo Ni brother Yan first born wetu kwaiyo business yake ikinikosa Kuna hatari yakushuka kiufanisi na sitaki ashuke kiuchumi maana alikotoka napajua na alipo najua na anapoelekea pia najua .. hua namuacha kwa mda nikiwa na Mambo fulan binafsi lakini akiwa nashida namimi hua nashindwa kumkatalia so najiku nampa company Tena..
 
Ndio nilianza kufanya nae kazi Nikiwa na 13 years old
 
Hakuna chochote
 
Upole sio kitu kibaya ila ukizidi unageuka uoga na utakuwa kondoo wa kila mtu.
Kila mtu atakuendesha na kukufanya anavyotaka pia watakutumia kisha watakuacha.
Upole wa aina hii huwa ni "Uboya" kama ulivyosema.

Pia upole au ukimya hauna mahusiano na aibu, aibu ni kitu tofauti kabisa na aibu mara nyingi huwa nayo wanawake.

Hayo mengine sio tatizo sana.
Tatizo ni wewe kufanya kazi kwa ajili ya mtu mwingine na yeye anaendela alafu wewe kubaki hapo'hapo, haijarishi huyo mtu ni nani yako.

Wewe ni mtu mzima na unatakiwa uanze kuangalia maisha yako binafsi na sio kusaidia watu tena bure.

Mkuu acha hiyo tabia mara moja kabla haujaja kujuta baadae.
 
Hizo tabia ninazo zaidi ya nusu yake.. kwenye kuongea mbele za watu hasa kijiweni. Maana ilikuwa kila nikitaka kuongea wengine wanaongea.
Ila kupambana nayo ni kujichanganya na uwe na mada ambazo ukiongea inabidi uanze na stori fupi fupi(story telling) tumia style hii. Tafuta vistori vya kijanja ambazo zina kama mafumbo hivi.. ziwe mpya kijiweni at least kwa wiki story mbili. Ukishawashika kwa hivyo next time ukiongea lazima usikilizwe na hiyo itakujengea confidence.
 
I feel you ... Asante Sana ila kwakuendeshwa hua siendeshwi Sana kwakuwa me Ni bingwa waku cut watu off nikishaona mtu ananizoea hua sinaga time nae nampotezea mazima Yan no second chance .. ndomana Nina circle ya watu wachache Sana Tena ambao hua wananiitaji Mimi na siyo Mimi kuwaitaji wao ..

Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
 
yani mkuu unafafa namimi kila kitu ila kwenye mziki me nmejiongeza nimekua tu producer
 
Unaposikiliza wimbo ukakutia huzuni mpaka ukalia ina maana huo wimbo unakukumbusha tukio la kuhuzunisha ambalo lilikutokea,

Kua muwazi usaidiwe,je ulipitia mateso ya aina yeyote katika maisha yako (mateso kama ya kunyanyaswa na ndugu au jamaa)

Jaribu kusahau matatizo yote uliyoyapitia kisha jichanganye na watu,mtu wa kukubadilisha wewe ni wewe mwenyewe.
 
Hujamwelewa vizuri nini huwa kinamliza, amesema gitaa likicharazwa vizuri hasa kwa nyimbo za wakongo, machozi humtoka hivyo hilo sio tatizo la kumbukizi la matatizo ya nyuma yaliyompata bali hiyo ni hisia ya ndani sana huwapata watu wengi hasa walokole wakisikia baadhi ya nyimbo za Zaburi na Tenzi za rohoni hutokwa na machozi hata makamasi mepesi, maana hupata hisia za ndani zaidi kwa hizo beats.

Wale team mond huwa hawana hisia kama hizo ktk muziki wa mond wao hupatwa na tamaa ya kugegeda ama kugegeda wakifuatilia uno la modi [emoji23][emoji23]
 
Kumbe ni uzwazwa.....Mimi pia nipo kama jamaa, nimejaribu kuacha nimeshindwa kabisa
 
Pole hata mie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…