Chief Kumbyambya
JF-Expert Member
- Jun 16, 2022
- 719
- 2,408
- Thread starter
- #21
Aisee ni wazo zuri sana hili ....We jamaa ni mpuuzi na una akili za kitoto
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee ni wazo zuri sana hili ....We jamaa ni mpuuzi na una akili za kitoto
Ndio sehemu nyingi kwenye ajira za kitanzania ziko hivyo ni upuuzi mtupu.Kwamba hii ni kawaida mahali pa kazi?
Huyo siyo Boss, ni senior tu kiposition kazini kwao.Kwanza mnaliwaje eneo ambalo na boss analewa? Ndiyo bar pekee mtaani kwenu?
SikutegemeaNdio sehemu nyingi kwenye ajira za kitanzania ziko hivyo ni upuuzi mtupu.
Mimi nimekutana na visa vingi sana mpaka nikasema kama kazi nitafanya nje ya Tanzania, lakini kwa Bongo sitaki tena kusikia habari za kuajiliwa.
Hayo cha mtoto tu, sasa ogopa uchawi, kuna watu ni hatari sana, ni wachawi balaa.Sikutegemea
Si walisema uchawi hauvuki bahari 🤣🤣Hayo cha mtoto tu, sasa ogopa uchawi, kuna watu ni hatari sana, ni wachawi balaa.
Mimi nimeshashuhudia mtu anamroga hadi mzungu kazini na juju linamuingia.
Lakini ndiyo ashakuwa juu ya mtoa mada. Ni boss wake tu insome how.Huyo siyo Boss, ni senior tu kiposition kazini kwao.
We ndiyo boss mwenyewe umekuja chap.We jamaa ni mpuuzi na una akili za kitoto
kuna watu wanafanya kazi vimiji vidogo bar za maana 2 tu au moja.Kwanza mnaliwaje eneo ambalo na boss analewa? Ndiyo bar pekee mtaani kwenu?
Hapo mnatakiwa mhamishwe wote au mmoja atafute kazi nyingine.Ndicho ninachofanya mtungi napiga mbele yake nalala saa tisa usiku na kesho job anawahi ili akute nimechelewa apate sababu ya kusema nachelewa sababu ya mitungi na kulala saa tisa usiku lakini cha ajabu hata awahi vipi ananikuta nishafika kitambo napiga stori na mlinzi nilkiwasubiri wao wafike hapo ndo anapochoka sasa kwamba huyu jamaa ni jini au niaje.😂😂
Tatizo la wabongo tumezoea kufanya kazi kama punda na kupeana pressure kibao siziso na ulazima eti ndo tunaonekana wachapa kazi.Kama mna clock in muda wa kazi na bado mna muda wa kuwaza na kusemea ya jana jioni bar... Either kazi zenu sio muhimu sana au hamnazo za kutosha.
Na kama baada ya kazi mna muda wa kufuatiliana viwanja, kazi zenu haziwapi changamoto ya kutosha.
Optimization is necessary in any case
Bosi mwingine mwenye nongwa.Kama mna clock in muda wa kazi na bado mna muda wa kuwaza na kusemea ya jana jioni bar... Either kazi zenu sio muhimu sana au hamnazo za kutosha.
Na kama baada ya kazi mna muda wa kufuatiliana viwanja, kazi zenu haziwapi changamoto ya kutosha.
Optimization is necessary in any case
Naamini mwishooo utaongea ukweli hayamambooo ya kutaka kushare na boss mizigooo haijawahi kukaa salama mkuuBojour wazeeee.......!!!!
Watu wengine makomwe sana.....
Sawa pombe nakunywa ila ni baada ya kazi na kesho on time nimefika jitu linaenda kwenye uongozi wa juu kutangaza aaaah jamaa mitungi saaana wakati sijawahi kufika job nimelewa. au kunywa muda wa kazi. Na uchafuzi wake huu lengo nifukuzwa kazi. Huu ni uchawi grade one na uchawi hauendi kwa mentali(In profesa Jay's voice)
Jitu linanitangaza na kunichafua hivyo wakati nalo usiku tunakutana viwanja ila mi nakuwa na kampani yangu yeye anakula mpweke roho inamuuma kisa ni bosi na hana company alafu mimi surbodnate tu kampani kibao na Ina watu wenye uwezo kuniliko kwahiyo meza yetu huwa nachafukaa balaaaa mavinyaj ya gharama nikiingia viwanja Mimi ni alwatan kuliko yeye.
Nikaona isiwe shida labda kampani yangu inamtisha boss nikawa nahama viwanja mradi tu nisiende pale anapopapenda lakini anauliza watu jamaa Jana alikuwa ananywea wapi mtungi mradi tu anifatilie maisha yangu ya nje ya kazi
Imefika hatua hata kama kuna safari zenye viposho vya hapa na pale jamaa yuko radhi watu wengine waende hata mara nne nne tena ambao kiuwezo na uwajibikaji nimewazidi vizuri hapo Mimi sijaenda hata safari moja(Nazungumzia safari za mikoani maana ndiyo zina posho kubwa) lakini Mimi nauchuna tu kama vile sioni na sijawahi kuhoji Wala nini......I'm just living my life.
Ila hanipati hata kidogo namchora tu mbaya zaidi ni kijana yuko early 40s wala sio mzee ila ana uzee mwingi.
Jana blue monday jioni flani tulivu baada ya kusign out job kanikuta site nafunga king'amuzi cha VALEUR kubwa pembeni na pisi kadhaa kanikata jicha kali sana Mimi ndiyo kwaaaanza namwita mtu wa jikoni alete mdudu kilo mbili na limao za kucheba.
Wewe ni bosi ofisini tuu.... Huku mtaani na sisi ni ma Alwattan vilevile a.k.a SENIOR KONTAWA OF THE STREAT.
Stay Tuned Boss..... Unapopita napaona....
Mkuu umenena vzr. Mimi nafanyakazi mpaka nahitaji kazi nyingne...officially za kibongo ndio utaona nyanza kulala na bosi....no nikimaliza kazi zangu kwa nn unibanebaneTatizo la wabongo tumezoea kufanya kazi kama punda na kupeana pressure kibao siziso na ulazima eti ndo tunaonekana wachapa kazi.
Huo ni ulimbukeni mwamba. Kuna maisha baada ya kazi kikubwa utimiza majukumu yako ya kazi ipasavyo(iheshimu kazi), then furahia maisha.
Naamini mwishooo utaongea ukweli hayamambooo ya kutaka kushare na boss mizigooo haijawahi kukaa salama mkuu
Niliwahi kuwa kampun moja ya airline nkanza kushare mzigo na boss bila.kujijua bahati mbaya same boss nakunywa nae pale kinondon those days gagla ikaanzishwa karatasi ya performance mkisafiri nakurudi anandika vgud a.a gud ama poor loh mkuu kama umezamia huko toka hakuna rangi niliacha kuona...ofisin
Mpaka nkaomba likizo nirudi nikiwa sawa kipindj cha likizo nkimwona naomba radhi mkuu chochote kibaya tu.mefanyjana nisamehee m mdogo sana bado nahitaji maisha ....
Itaendelea
Boss agusiki
Duh sasa mzungu anafanye 😄 kama namuona vile maluweluwe usingizi hapati ni kumeza tuu ValiumHayo cha mtoto tu, sasa ogopa uchawi, kuna watu ni hatari sana, ni wachawi balaa.
Mimi nimeshashuhudia mtu anamroga hadi mzungu kazini na juju linamuingia.
Ndio hivyo mkuu unaambiwa bongo bahati mbaya, waAfrica tuna ulimbukeni sana.Mkuu umenena vzr. Mimi nafanyakazi mpaka nahitaji kazi nyingne...officially za kibongo ndio utaona nyanza kulala na bosi....no nikimaliza kazi zangu kwa nn unibanebane