Hivi huu upuuzi kwenye kazi za ofisini utaisha lini?

Hivi huu upuuzi kwenye kazi za ofisini utaisha lini?

Nilikuwa natembea na Co worker..bos akamshusha cheo....eti kwa sabab ananitaka..wanaume nyie mafisi
Mama. Edina vita ya mapenzi na boss haijawahi kumwacha .tu salama kazin

M ilifka nahama.lodge tofauti nahisi boss anakuja kuomba dstv sijui cctv anikague aisee achatu

Nkaona soln n kumenyana guest zisizonamajina kabisa kama atanifuma sawa

Nkajihadhari na msg yaan nilimnunulia line take special ina nida jina la mwanamke akisms napiga

Kilichokuwa kikinitesa yaan nikikugonga lazima nikuachie lvebyt sasa sijui akiulizwa alikuwa anantaja ama sielewi
RIP ma Boss
 
Nilikuwa natembea na Co worker..bos akamshusha cheo....eti kwa sabab ananitaka..wanaume nyie mafisi....suku moja nilimtamkia..nikikuvuliq nguo ya ndani labda sio mimi..labda iwe ndoto. Bosi mjinga sana
Hizi neema mbona wengine huwa tunazisikia tu, kama si chai huyo Jamaa alikuwa na kismat sana

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Naamini mwishooo utaongea ukweli hayamambooo ya kutaka kushare na boss mizigooo haijawahi kukaa salama mkuu

Niliwahi kuwa kampun moja ya airline nkanza kushare mzigo na boss bila.kujijua bahati mbaya same boss nakunywa nae pale kinondon those days gagla ikaanzishwa karatasi ya performance mkisafiri nakurudi anandika vgud a.a gud ama poor loh mkuu kama umezamia huko toka hakuna rangi niliacha kuona...ofisin

Mpaka nkaomba likizo nirudi nikiwa sawa kipindj cha likizo nkimwona naomba radhi mkuu chochote kibaya tu.mefanyjana nisamehee m mdogo sana bado nahitaji maisha ....
Itaendelea
Boss agusiki
Hapa sijakupata vizuri yaani aliweza kusema utendaji wako ni poor wakati ukweli unaonekana au ni vipi yani?
 
V
Nilikuwa natembea na Co worker..bos akamshusha cheo....eti kwa sabab ananitaka..wanaume nyie mafisi....suku moja nilimtamkia..nikikuvuliq nguo ya ndani labda sio mimi..labda iwe ndoto. Bosi mjinga sana
Vipi lakini boss alifanikiwa lengo lake la kukuvua au alishindwa mazima and the rest was history with u'r Co-worker...!?
 
Kutokana na experience za kazi, nilipoanza kusoma nikaona boss ana tatizo ila niliposoma zaidi nikaona wote mna matatizo.

Kiufupi wote mna superiority complex na ego ya kutosha. Yeye anatumia cheo chake kujiona bora zaidi yako na wewe unatumia social life kujiona bora zaidi yake

Mwisho wa siku, makazini ndivyo palivyo kwa hiyo mwenye akili zaidi ya mwenzake ataisoma akili ya mwenzake na kumchezesha muziki vile apendavyo. Sasa kaa jitafakari ni nani anaechezewa akili kati yenu
 
Hapa sijakupata vizuri yaani aliweza kusema utendaji wako ni poor wakati ukweli unaonekana au ni vipi yani?
Yaaah yaan napenda kazi mkuu sasa tulipojuana gafla nikisafiri niko nae kurudi anajaza poor mara gud nikiwa na wengine naenda na excellent ikafika nkaomba anetupanga asinipange na boss lakini wapi alipo yupo...nkaitwa. a hr nkajieleza waangalie za wengine wakavuta pale hr alikuwa kijana alafu mcheshi akaniuliza dogo uneingia 🔞 za boss nn nkaenda straight kaka nimekoma achatu hii vita n nje ya ofisi.....

Nikaomba palepale likizo na nilikjwa sijaenda 2yrs akaniambia ushauri mzuri huyu nenda nae sawa likizo mtafutee kaa nae sehemu mwombe radhi ndani ya mwezi nkaiifanyia kazi

Ilinsaidia sana na jamaa mtu wa totoz na kinywaji nkamset mhudumu mmoja ana makalio akituona atoe huduma zote juu yangu

Kufika boss akashtuka aisee huyudada mbona mkarimu sana leo nikiwa alone hawi hivi tukaanza kucheka nikamwambia boss hivyo mamboyako bana tukapiga soga nkaingiza msamaha akachukua namba ya mhudumu nkajua kaisha huyu....

Nimerudi kazini zile rte za hela nipooo na boss gafla wakasitisha mafomu yao ya kujaza kama mko darasaniii nikaelewana na mume mwenza maisha yakaendelea mpaka anakufa niliumia sana
RIP BOSS KOROBOI...
 
Kua makini na hao unaowaita Kampani yako,
Hao ndio wanaotoa habari zako kwa huyo Boss,

You have to stop letting other people's opinions control you,

Live the life u love,love the life u live.
Shida hata wakimpelekea stori zozote juu yangu ikiwa ni nje ya kazi je inaathiri chochote kwenye kazi yangu? Maana hata nikiwa nao hao wadau tunaongea mambo yetu tu na mitikasi zingine za kimaisha baas.
 
Bojour wazeeee.......!!!!

Watu wengine makomwe sana.....

Sawa pombe nakunywa ila ni baada ya kazi na kesho on time nimefika jitu linaenda kwenye uongozi wa juu kutangaza aaaah jamaa mitungi saaana wakati sijawahi kufika job nimelewa. au kunywa muda wa kazi. Na uchafuzi wake huu lengo nifukuzwa kazi. Huu ni uchawi grade one na uchawi hauendi kwa mentali(In profesa Jay's voice)

Jitu linanitangaza na kunichafua hivyo wakati nalo usiku tunakutana viwanja ila mi nakuwa na kampani yangu yeye anakula mpweke roho inamuuma kisa ni bosi na hana company alafu mimi surbodnate tu kampani kibao na Ina watu wenye uwezo kuniliko kwahiyo meza yetu huwa nachafukaa balaaaa mavinyaj ya gharama nikiingia viwanja Mimi ni alwatan kuliko yeye.

Nikaona isiwe shida labda kampani yangu inamtisha boss nikawa nahama viwanja mradi tu nisiende pale anapopapenda lakini anauliza watu jamaa Jana alikuwa ananywea wapi mtungi mradi tu anifatilie maisha yangu ya nje ya kazi

Imefika hatua hata kama kuna safari zenye viposho vya hapa na pale jamaa yuko radhi watu wengine waende hata mara nne nne tena ambao kiuwezo na uwajibikaji nimewazidi vizuri hapo Mimi sijaenda hata safari moja(Nazungumzia safari za mikoani maana ndiyo zina posho kubwa) lakini Mimi nauchuna tu kama vile sioni na sijawahi kuhoji Wala nini......I'm just living my life.

Ila hanipati hata kidogo namchora tu mbaya zaidi ni kijana yuko early 40s wala sio mzee ila ana uzee mwingi.

Jana blue monday jioni flani tulivu baada ya kusign out job kanikuta site nafunga king'amuzi cha VALEUR kubwa pembeni na pisi kadhaa kanikata jicha kali sana Mimi ndiyo kwaaaanza namwita mtu wa jikoni alete mdudu kilo mbili na limao za kucheba.

Wewe ni bosi ofisini tuu.... Huku mtaani na sisi ni ma Alwattan vilevile a.k.a SENIOR KONTAWA OF THE STREAT.

Stay Tuned Boss..... Unapopita napaona....
shida / changamoto ya akili ni kubwa sana kwa sasa nchini tanzania
 
Shida hata wakimpelekea stori zozote juu yangu ikiwa ni nje ya kazi je inaathiri chochote kwenye kazi yangu? Maana hata nikiwa nao hao wadau tunaongea mambo yetu tu na mitikasi zingine za kimaisha baas.
Wewe jamaa uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana, sidhani kama ni kweli unafanya kazi au ni visa vya kutunga.
 
Haya mambo magumu sana Mkuu. Nipo na co-worker wangu na ni junior kwangu ila mshamba sana nafanya kazi mimi yeye anakimbilia kwa boss kuripoti na anasema kafanya yeye. Jana nimwahi zangu mapema ananiuliza vp mzee kuna shida gani mbona umewahi sana, nikamjibu kwani tunapangiana muda kuingia kazini hakujibu kitu. Kweli mchawi sio lazima aloge.
 
Back
Top Bottom