Kindeena
JF-Expert Member
- Sep 27, 2017
- 11,462
- 21,124
"inamuuma kisa ni bosi na hana company alafu mimi surbodnate tu kampani kibao na Ina watu wenye uwezo kuniliko kwahiyo meza yetu huwa nachafukaa balaaaa mavinyaj ya gharama nikiingia viwanja Mimi ni alwatan kuliko yeye."
👆👆
Wewe mwenyewe una uswahili mwingi kuliko huyo boss wako.
Una kampani mbovu na bado unaiona nzuri kwako.
👆👆
Wewe mwenyewe una uswahili mwingi kuliko huyo boss wako.
Una kampani mbovu na bado unaiona nzuri kwako.