raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Unakuta ndio huyo huyo mwenye kampuni wafanyakazi wote mpo ndani ya ofisi moja basi balaa tupu 😄Hamna ofisi hapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unakuta ndio huyo huyo mwenye kampuni wafanyakazi wote mpo ndani ya ofisi moja basi balaa tupu 😄Hamna ofisi hapo
Alitafuta ligi mwenyewe kuwa yeye ni ni Alwatani kwa hiyo acha bosi amfuatilie vizuri.Ofisi boss anauliza yule alikuwa anakunywa wapi jana duuh hatari sana hiyo
Ni wale waliopewa nyadhfa bila sifa: hutamani wenye uwezo waondoke karibu yakeMabosi wenye wivu, fitina, chuki, hila, n.k ndo walivyo! Yeye anadhani akiwa boss ndo atetemekewe na kila mtu! Mxiuuuh! Hao ni malofa! Ishi maisha yako mwamba ili mradi unatimiza vizuri majukumu ya ajira yako
Wewe na boss wako wazanaki wanasema mafikanyanga. Bure kabisa. Umesahau kanuni muhim sana ya maisha. Don't outshine your boss. Na pia jifunze unyenyekevu utafika mbali sana.Bojour wazeeee!
Watu wengine makomwe sana.
Sawa pombe nakunywa ila ni baada ya kazi na kesho on time nimefika jitu linaenda kwenye uongozi wa juu kutangaza aaaah jamaa mitungi saaana wakati sijawahi kufika job nimelewa. au kunywa muda wa kazi. Na uchafuzi wake huu lengo nifukuzwa kazi. Huu ni uchawi grade one na uchawi hauendi kwa mentali(In profesa Jay's voice)
Jitu linanitangaza na kunichafua hivyo wakati nalo usiku tunakutana viwanja ila mi nakuwa na kampani yangu yeye anakula mpweke roho inamuuma kisa ni bosi na hana company alafu mimi surbodnate tu kampani kibao na Ina watu wenye uwezo kuniliko kwahiyo meza yetu huwa nachafukaa balaaaa mavinyaj ya gharama nikiingia viwanja Mimi ni alwatan kuliko yeye.
Nikaona isiwe shida labda kampani yangu inamtisha boss nikawa nahama viwanja mradi tu nisiende pale anapopapenda lakini anauliza watu jamaa Jana alikuwa ananywea wapi mtungi mradi tu anifatilie maisha yangu ya nje ya kazi
Imefika hatua hata kama kuna safari zenye viposho vya hapa na pale jamaa yuko radhi watu wengine waende hata mara nne nne tena ambao kiuwezo na uwajibikaji nimewazidi vizuri hapo Mimi sijaenda hata safari moja(Nazungumzia safari za mikoani maana ndiyo zina posho kubwa) lakini Mimi nauchuna tu kama vile sioni na sijawahi kuhoji Wala nini. I'm just living my life.
Ila hanipati hata kidogo namchora tu mbaya zaidi ni kijana yuko early 40s wala sio mzee ila ana uzee mwingi.
Jana blue monday jioni flani tulivu baada ya kusign out job kanikuta site nafunga king'amuzi cha VALEUR kubwa pembeni na pisi kadhaa kanikata jicha kali sana Mimi ndiyo kwaaaanza namwita mtu wa jikoni alete mdudu kilo mbili na limao za kucheba.
Wewe ni bosi ofisini tuu. Huku mtaani na sisi ni ma Alwattan vilevile a.k.a SENIOR KONTAWA OF THE STREAT.
Stay Tuned Boss. Unapopita napaona.
The point of efficiency passed right over your head, didn't it?Tatizo la wabongo tumezoea kufanya kazi kama punda na kupeana pressure kibao siziso na ulazima eti ndo tunaonekana wachapa kazi.
Huo ni ulimbukeni mwamba. Kuna maisha baada ya kazi kikubwa utimiza majukumu yako ya kazi ipasavyo(iheshimu kazi), then furahia maisha.
48 LAWS OF POWER nimesoma zote hiyo uliyoitaja hapo kuna mazingira yake ya kuiapply ila sio kwa huyu.Wewe na boss wako wazanaki wanasema mafikanyanga. Bure kabisa. Umesahau kanuni muhim sana ya maisha. Don't outshine your boss. Na pia jifunze unyenyekevu utafika mbali sana.
Aise mkuu hivi umenielewa vizuri kweli?The point of efficiency passed right over your head, didn't it?
Unahisi kwa wazungu ndio utaingia kazini na kuanza kuzungumzia ya bar jana?
Niliachana nae. Ila boss 🙌 sitaki hata kumuonaVipi baada ya Co worker wako kushushwa cheo uliendelea nae?
48 LAWS OF POWER nimesoma zote hiyo uliyoitaja hapo kuna mazingira yake ya kuiapply ila sio kwa huyu.
Du! Sio kwa michambo hiyo aisee! By the way, kumfukuza mtumishi wa umma kazi sio kazi ya lelemama.....lazima uwe na sababu nzito. Majungu tu hayamfukuzishi mtu kazi. Stay calm and enyoy your life mkuu.Bojour wazeeee!
Watu wengine makomwe sana.
Sawa pombe nakunywa ila ni baada ya kazi na kesho on time nimefika jitu linaenda kwenye uongozi wa juu kutangaza aaaah jamaa mitungi saaana wakati sijawahi kufika job nimelewa. au kunywa muda wa kazi. Na uchafuzi wake huu lengo nifukuzwa kazi. Huu ni uchawi grade one na uchawi hauendi kwa mentali(In profesa Jay's voice)
Jitu linanitangaza na kunichafua hivyo wakati nalo usiku tunakutana viwanja ila mi nakuwa na kampani yangu yeye anakula mpweke roho inamuuma kisa ni bosi na hana company alafu mimi surbodnate tu kampani kibao na Ina watu wenye uwezo kuniliko kwahiyo meza yetu huwa nachafukaa balaaaa mavinyaj ya gharama nikiingia viwanja Mimi ni alwatan kuliko yeye.
Nikaona isiwe shida labda kampani yangu inamtisha boss nikawa nahama viwanja mradi tu nisiende pale anapopapenda lakini anauliza watu jamaa Jana alikuwa ananywea wapi mtungi mradi tu anifatilie maisha yangu ya nje ya kazi
Imefika hatua hata kama kuna safari zenye viposho vya hapa na pale jamaa yuko radhi watu wengine waende hata mara nne nne tena ambao kiuwezo na uwajibikaji nimewazidi vizuri hapo Mimi sijaenda hata safari moja(Nazungumzia safari za mikoani maana ndiyo zina posho kubwa) lakini Mimi nauchuna tu kama vile sioni na sijawahi kuhoji Wala nini. I'm just living my life.
Ila hanipati hata kidogo namchora tu mbaya zaidi ni kijana yuko early 40s wala sio mzee ila ana uzee mwingi.
Jana blue monday jioni flani tulivu baada ya kusign out job kanikuta site nafunga king'amuzi cha VALEUR kubwa pembeni na pisi kadhaa kanikata jicha kali sana Mimi ndiyo kwaaaanza namwita mtu wa jikoni alete mdudu kilo mbili na limao za kucheba.
Wewe ni bosi ofisini tuu. Huku mtaani na sisi ni ma Alwattan vilevile a.k.a SENIOR KONTAWA OF THE STREAT.
Stay Tuned Boss. Unapopita napaona.
😂Kaka kama unanijua vile nakuwaga mpole sana kama mjinga vile huku nikichora tu rada za wanafiki na kupanga mikakati yangu madhubuti nawaepuka vipi hawa hayawani😂Nakusoma tu kijana na hayo majivuno yako,ofisini unakuwaga mpole sana ila huku JF unatamba,
Kweli kabisa kakaDu! Sio kwa michambo hiyo aisee! By the way, kumfukuza mtumishi wa umma kazi sio kazi ya lelemama.....lazima uwe na sababu nzito. Majungu tu hayamfukuzishi mtu kazi. Stay calm and enyoy your life mkuu.
Kwa zama hizi, hili jambo lina uatata mno: Aliyekuwa boss wangu wakati napata ajira alisoma urusi, nilipoajiriwa alisalimu amri kwakuwa kila alichokuwa akifanya aligunduwa niko smart zaidi kuliko yeyeDon't outshine your boss
Sio kama nakujua,ninakujua vizuri mazingira yako tu ya uelezaji yamenifanya nimekutambua na hukutegemea kama kuna mtu anaweza kukutanbua humu.Kama unabisha niambie nianze kutaja jina lako kisha ofisi unayofanyia kazi.Tena nakutaja humuhumu na watu wanashuhudia mtaalamu😂Kaka kama unanijua vile nakuwaga mpole sana kama mjinga vile huku nikichora tu rada za wanafiki na kupanga mikakati yangu madhubuti nawaepuka vipi hawa hayawani😂
Hahaha jamaa itabidi tuu akufate PM myajengeSio kama nakujua,ninakujua vizuri mazingira yako tu ya uelezaji yamenifanya nimekutambua na hukutegemea kama kuna mtu anaweza kukutanbua humu.Kama unabisha niambie nianze kutaja jina lako kisha ofisi unayofanyia kazi.Tena nakutaja humuhumu na watu wanashuhudia mtaalamu
Mgongeeni yai 🙂Bojour wazeeee!
Watu wengine makomwe sana.
Sawa pombe nakunywa ila ni baada ya kazi na kesho on time nimefika jitu linaenda kwenye uongozi wa juu kutangaza aaaah jamaa mitungi saaana wakati sijawahi kufika job nimelewa. au kunywa muda wa kazi. Na uchafuzi wake huu lengo nifukuzwa kazi. Huu ni uchawi grade one na uchawi hauendi kwa mentali(In profesa Jay's voice)
Jitu linanitangaza na kunichafua hivyo wakati nalo usiku tunakutana viwanja ila mi nakuwa na kampani yangu yeye anakula mpweke roho inamuuma kisa ni bosi na hana company alafu mimi surbodnate tu kampani kibao na Ina watu wenye uwezo kuniliko kwahiyo meza yetu huwa nachafukaa balaaaa mavinyaj ya gharama nikiingia viwanja Mimi ni alwatan kuliko yeye.
Nikaona isiwe shida labda kampani yangu inamtisha boss nikawa nahama viwanja mradi tu nisiende pale anapopapenda lakini anauliza watu jamaa Jana alikuwa ananywea wapi mtungi mradi tu anifatilie maisha yangu ya nje ya kazi
Imefika hatua hata kama kuna safari zenye viposho vya hapa na pale jamaa yuko radhi watu wengine waende hata mara nne nne tena ambao kiuwezo na uwajibikaji nimewazidi vizuri hapo Mimi sijaenda hata safari moja(Nazungumzia safari za mikoani maana ndiyo zina posho kubwa) lakini Mimi nauchuna tu kama vile sioni na sijawahi kuhoji Wala nini. I'm just living my life.
Ila hanipati hata kidogo namchora tu mbaya zaidi ni kijana yuko early 40s wala sio mzee ila ana uzee mwingi.
Jana blue monday jioni flani tulivu baada ya kusign out job kanikuta site nafunga king'amuzi cha VALEUR kubwa pembeni na pisi kadhaa kanikata jicha kali sana Mimi ndiyo kwaaaanza namwita mtu wa jikoni alete mdudu kilo mbili na limao za kucheba.
Wewe ni bosi ofisini tuu. Huku mtaani na sisi ni ma Alwattan vilevile a.k.a SENIOR KONTAWA OF THE STREAT.
Stay Tuned Boss. Unapopita napaona.