Hivi huu upuuzi kwenye kazi za ofisini utaisha lini?

Mabosi wenye wivu, fitina, chuki, hila, n.k ndo walivyo! Yeye anadhani akiwa boss ndo atetemekewe na kila mtu! Mxiuuuh! Hao ni malofa! Ishi maisha yako mwamba ili mradi unatimiza vizuri majukumu ya ajira yako
Ni wale waliopewa nyadhfa bila sifa: hutamani wenye uwezo waondoke karibu yake
 
Wewe na boss wako wazanaki wanasema mafikanyanga. Bure kabisa. Umesahau kanuni muhim sana ya maisha. Don't outshine your boss. Na pia jifunze unyenyekevu utafika mbali sana.
 
The point of efficiency passed right over your head, didn't it?

Unahisi kwa wazungu ndio utaingia kazini na kuanza kuzungumzia ya bar jana?
 
Wewe na boss wako wazanaki wanasema mafikanyanga. Bure kabisa. Umesahau kanuni muhim sana ya maisha. Don't outshine your boss. Na pia jifunze unyenyekevu utafika mbali sana.
48 LAWS OF POWER nimesoma zote hiyo uliyoitaja hapo kuna mazingira yake ya kuiapply ila sio kwa huyu.
 
Du! Sio kwa michambo hiyo aisee! By the way, kumfukuza mtumishi wa umma kazi sio kazi ya lelemama.....lazima uwe na sababu nzito. Majungu tu hayamfukuzishi mtu kazi. Stay calm and enyoy your life mkuu.
 
Nakusoma tu kijana na hayo majivuno yako,ofisini unakuwaga mpole sana ila huku JF unatamba,
😂Kaka kama unanijua vile nakuwaga mpole sana kama mjinga vile huku nikichora tu rada za wanafiki na kupanga mikakati yangu madhubuti nawaepuka vipi hawa hayawani😂
 
Waswahili wanakera sana yani ngozi ya tako bloody fools. Mtu anaishi maisha yake unaanza kumuona anaringa mara jealousy zinaanza aisee ni vile tu bongo hamna bastola ila tungemalizana sana.
 
😂Kaka kama unanijua vile nakuwaga mpole sana kama mjinga vile huku nikichora tu rada za wanafiki na kupanga mikakati yangu madhubuti nawaepuka vipi hawa hayawani😂
Sio kama nakujua,ninakujua vizuri mazingira yako tu ya uelezaji yamenifanya nimekutambua na hukutegemea kama kuna mtu anaweza kukutanbua humu.Kama unabisha niambie nianze kutaja jina lako kisha ofisi unayofanyia kazi.Tena nakutaja humuhumu na watu wanashuhudia mtaalamu
 
Hahaha jamaa itabidi tuu akufate PM myajenge
 
Mgongeeni yai 🙂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…