Ahaa sawaHuwa tunafanya hesabu muda wote tutoe sh. Ngapi
Je haita athiri ratiba zilizobakia
Je nikimpa mapema si ataacha kuweka umakin kwemye story zetu na kuanza kuwaza kiasi nilicho mpa
Je nikimpa mapema si anaweza kusema hii ndogo niongezee nna shida hii na hii
Kumkomoa unampa mwishon kwenye kituo cha gari au boda, huwez kukumbana na utitiri wa maswali au lawama.
Mm nimezungumzia kwa niyaonayo katika jamii na watu walionizunguka , haimaanishi inanilenga Mimi Moja kwa mojaWanaofanya hivyo ni watoto sio wanaume kama sisi.
Mimi sikupindi ila nimeelezea tu jinsi unavyojali maadili ambayo mtu anatakiwa awe amefundishwa jinsi ya kubehave sehemu yoyote hio.
Sasa wewe ndio unatakiwa utumie akili kwenye kuchagua sio kila mwanaume anayekuja tu unakubali mwisho wake unakutana na vichaa. Kwanza why akupe elfu 5 siku ya date mbona ndogo sana au bado upo chuo?
Kaka kwema Ndugu yangu?Waache watoto mkuu hebu nitembelee kule
Shida kubwaYaani utakuta mtu amekutoa out mtaongea weeee, sasa muda wa kuondoka anakusindikiza mpka stand ndo unakuta anatoa elfu Tano au elfu kumi anakupa mbele ya kadamnasi itakusaidia nauli.
Khaa!! Yaani koteeee huko hukuona fursa ya kutoa hiyo nauli mpka usubirie mbele za watu ndo uitoe, ukiitoa wakati tupo wenyewe ingekuwaj?
Au mume anakuja nyumbani kabebelea matunda kwenye vifuko vile vyeupe, au kashikilia mkononi, kwani mifuko hakuna huko ulipotoka!?, Mpka uje unavinanga barabarani
Attach files
?
Utakuta wengine anatembea umbali mrefu na matunda yake mkononi.
Huwa mnafanya hivyo kwanini!? Mimi nimeshindwa kuwaelewa kbsaaa. Hebu tuelewesheni.
Naam baba..tuchekiane leo baadae babaKaka kwema Ndugu yangu?
Bila Shaka Ndugu yanguNaam baba..tuchekiane leo baadae baba
Pole kwanza tatizo lako kubwa una expectation kubwa mno, mawili humpend au hakupendi bado mnasomanaYaani utakuta mtu amekutoa out mtaongea weeee, sasa muda wa kuondoka anakusindikiza mpka stand ndo unakuta anatoa elfu Tano au elfu kumi anakupa mbele ya kadamnasi itakusaidia nauli.
Khaa!! Yaani koteeee huko hukuona fursa ya kutoa hiyo nauli mpka usubirie mbele za watu ndo uitoe, ukiitoa wakati tupo wenyewe ingekuwaj?
Au mume anakuja nyumbani kabebelea matunda kwenye vifuko vile vyeupe, au kashikilia mkononi, kwani mifuko hakuna huko ulipotoka!?, Mpka uje unavinanga barabarani?
Utakuta wengine anatembea umbali mrefu na matunda yake mkononi.
Huwa mnafanya hivyo kwanini!? Mimi nimeshindwa kuwaelewa kbsaaa. Hebu tuelewesheni.
wewe utakuwa mwanamke mfupi, make kila kitu huwa mnalazimisha kiwe na kasoroShida sio kutoa elfu Tano kwamba ndogo , kwanini hata kamaa ni milioni haumpi mkiwa wenyewe mpka ukamnange mtu barabarani!?.
Kwanini umpe mbele za watu unataka kuonesha nini??Pesa yangu halafu unanipangia jinsi ya kuiwasilisha... Unaumwa nini..???
Kwa hiyo unatakaje kama ni mfupiwewe utakuwa mwanamke mfupi, make kila kitu huwa mnalazimisha kiwe na kasoro
Dah!!kwamba kifuniko kakichafua akupe hela ya sabuni ukakifueMwingine hata ya kukupa ya sabuni ukafulie kile kifuniko hakupi
Kama haitaki Hela si asipokeeeKwanini umpe mbele za watu unataka kuonesha nini??
π€£π€£π€£ Tulia wewee πMnavyopenda hela
Hiyo inaitwa show off hatutakiKama haitaki Hela si asipokeee
Nyie ndo wale mnaochagua wanaume mwanaume anayejitoa Kwa lolote lile sidhan kama ni aibu Bali ni kujal Sasa wewe ulitaka akupe hela ya nauli wap au sh ngap au Kwa sababu ni elf 5? Mtu akubebe matunda Toka huko alikotoka Kwa ajil yako halaf ww ndo uone aibu khaaaa unajiweka kwenye uclassic gan dadaYaani utakuta mtu amekutoa out mtaongea weeee, sasa muda wa kuondoka anakusindikiza mpka stand ndo unakuta anatoa elfu Tano au elfu kumi anakupa mbele ya kadamnasi itakusaidia nauli.
Khaa!! Yaani koteeee huko hukuona fursa ya kutoa hiyo nauli mpka usubirie mbele za watu ndo uitoe, ukiitoa wakati tupo wenyewe ingekuwaj?
Au mume anakuja nyumbani kabebelea matunda kwenye vifuko vile vyeupe, au kashikilia mkononi, kwani mifuko hakuna huko ulipotoka!? Mpka uje unavinanga barabarani?
Utakuta wengine anatembea umbali mrefu na matunda yake mkononi.
Huwa mnafanya hivyo kwanini!? Mimi nimeshindwa kuwaelewa kbsaaa. Hebu tuelewesheni.
Kwani akiyaweka hayo matunda kwenye mfuko anapungukiwa nini!?. Kwahy Kila akipita Kila mtu eehee, Leo ameleta ndizi, enhee yule dada kapewa kiasi flani , kama sio kunangana ni nini!?.Nyie ndo wale mnaochagua wanaume mwanaume anayejitoa Kwa lolote lile sidhan kama ni aibu Bali ni kujal Sasa wewe ulitaka akupe hela ya nauli wap au sh ngap au Kwa sababu ni elf 5? Mtu akubebe matunda Toka huko alikotoka Kwa ajil yako halaf ww ndo uone aibu khaaaa unajiweka kwenye uclassic gan dada