Hivi huwa mnashangaa nini?

Hivi huwa mnashangaa nini?

that manzi

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
385
Reaction score
1,246
Habari za jumapili wana jf,

naomba kuwauliza wenye magari yenu hivi mkiwa mnapita kwenye vituo mkakuta watu wamesimama huwa mnagueza shingo zenu kushangaa nini?

mnahisi kuna watu mnawajua?
mnaangalia kama kuna watu mnaweza kuwapa lift?
au mnatushangaaa kwanini hatuna magari? au tunaonekana mga kama vikatuni😂

mje mnijibu😂
 
Habari za jumapili wana jf,

naomba kuwauliza wenye magari yenu hivi mkiwa mnapita kwenye vituo mkakuta watu wamesimama huwa mnagueza shingo zenu kushangaa nini?

mnahisi kuna watu mnawajua?
mnaangalia kama kuna watu mnaweza kuwapa lift?
au mnatushangaaa kwanini hatuna magari? au tunaonekana mga kama vikatuni😂

mje mnijibu😂
Tunawashangaa waisraeli hapo kituoni...miaka 40 kwa mguu😁
 
Habari za jumapili wana jf,

naomba kuwauliza wenye magari yenu hivi mkiwa mnapita kwenye vituo mkakuta watu wamesimama huwa mnagueza shingo zenu kushangaa nini?

mnahisi kuna watu mnawajua?
mnaangalia kama kuna watu mnaweza kuwapa lift?
au mnatushangaaa kwanini hatuna magari? au tunaonekana mga kama vikatuni😂

mje mnijibu😂
Tunataka kuona kama mnetuona na kama ilikuwa bado basi mjue kuwa ni mimi nimepita
 
Hahahahaaa, tunajiuliza tusimsme tuwasalimie ile kijapan kiheshima kama 'namaste' au tupige honi tu.

Tunachagua honi, lakini tena tunaanza kuwaza je wakihisi nnawapigia kelele, au nataka abiria??😆🤫

mara shwaah tushafika mbali na haijalishi tena tutachagua kipi, ndo tushachelewa aaaaaaargh!
 
Habari za jumapili wana jf,

naomba kuwauliza wenye magari yenu hivi mkiwa mnapita kwenye vituo mkakuta watu wamesimama huwa mnagueza shingo zenu kushangaa nini?

mnahisi kuna watu mnawajua?
mnaangalia kama kuna watu mnaweza kuwapa lift?
au mnatushangaaa kwanini hatuna magari? au tunaonekana mga kama vikatuni😂

mje mnijibu😂
Wewe kwanini unashangaa gari la mtu, mpaka unajua amegeuza shingo, kwanini unashangaa gari lake?
Unahisi unamjua dereva? Au unaangalia kama anaweza kukupa lift?
Au unashangaa kwanini anamiliki gari?
 
Back
Top Bottom