that manzi
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 385
- 1,246
Habari za jumapili wana jf,
naomba kuwauliza wenye magari yenu hivi mkiwa mnapita kwenye vituo mkakuta watu wamesimama huwa mnagueza shingo zenu kushangaa nini?
mnahisi kuna watu mnawajua?
mnaangalia kama kuna watu mnaweza kuwapa lift?
au mnatushangaaa kwanini hatuna magari? au tunaonekana mga kama vikatuni😂
mje mnijibu😂
naomba kuwauliza wenye magari yenu hivi mkiwa mnapita kwenye vituo mkakuta watu wamesimama huwa mnagueza shingo zenu kushangaa nini?
mnahisi kuna watu mnawajua?
mnaangalia kama kuna watu mnaweza kuwapa lift?
au mnatushangaaa kwanini hatuna magari? au tunaonekana mga kama vikatuni😂
mje mnijibu😂