Hivi huwa unajibuje akikwambia ''I love you'' mbele ya wazazi wako?

Nakuapia Kwa jina lake yeye ni ukweli kabisa,
Halafu mama yangu kanishinda miaka 16 Tu

Bado kuna habari kinga haimalizi hamu, Bado kuna hatari mpenzi ukimwacha na hamu.
na kweli kuna hatari mpenzi ukimwacha na hamu
 
Kwahiyo suala la privacy halipo kati yenu?
Au ni sahihi watu wengine kusikia maongezi yenu binafsi yahusuyo mapenzi yenu?
Nadhani umesema kusema Ilove mbele ya mzee au sijakuelewa vizuri? hapo hakuna jambo la privacy sijui kwa wengine lakini kumwambia mumewangu i love u Habibi sio tatizo ungesema labda nime fanya kitu cha ajabu lakini kusema ilove u sio neno..
 
Oh sweet love u more mwaaa
Miss chagga hapa umedanganya aisee... Manake umeandika kwa sauti ya mahaba tena ile ya kulegea kwa kudekadeka... Sidhani kama ungetoa sauti kama hiyo
 
hakuna aisee ni ukweli kabisa. lol hamu hamu ni kitu ingine bhana, halafu iwe imechokozwa

teh teh
Mhuuu inachokozwaje hiyo bibie

Bado kuna habari kinga haimalizi hamu, Bado kuna hatari mpenzi ukimwacha na hamu.
 
Mhuuu inachokozwaje hiyo bibie

Bado kuna habari kinga haimalizi hamu, Bado kuna hatari mpenzi ukimwacha na hamu.
kwa kutoimaliza, hatari ulosema ya mpenzi kuachwa na hamu anaachwaje? usinichokoze ujueeeee
 
kwa kutoimaliza, hatari ulosema ya mpenzi kuachwa na hamu anaachwaje? usinichokoze ujueeeee
Akuu kwann nikuchokoze, mm nawakumbusha hawa vijana wa humu wanaopiga mechi za mchangani!.
Ushawahi kuachwa na hamu na ulichukua hatua gani?
 
Nadhani umesema kusema Ilove mbele ya mzee au sijakuelewa vizuri? hapo hakuna jambo la privacy sijui kwa wengine lakini kumwambia mumewangu i love u Habibi sio tatizo ungesema labda nime fanya kitu cha ajabu lakini kusema ilove u sio neno..
Yapo maneno ya chumbani kuongea na mpenzi wako, sasa kwenye kadamnasi ya watu unataka kuwahubiria ili wajue kwamba unampenda? What for?
 
Akuu kwann nikuchokoze, mm nawakumbusha hawa vijana wa humu wanaopiga mechi za mchangani!.
Ushawahi kuachwa na hamu na ulichukua hatua gani?
mimi naachwaje na hamu sasa? lol ninae mtaalamu bhana usinichokoze nimesema lol
 
Njoo unihadithie piem kama waogopa hapa, Anafanyaje ili asikuache na hamu?
muulize kama unataka kujua. Wanaume mtaelezana siri nahisi, yeye mwenyewe anajua so siwezi elezea hapa. huwezi vumbua chimbo la dhahabu halafu uje ulianike hadharan.
 
Hahahah mzee uliuepuka vp huo msala? Au ulikata simu
Aisee kuna manzi balaa kuna manzi angu alinipigia simu nipo, kwa watu nikawa najikanyaga kujibu, manzi akafura balaa huku akiuliza yeye ni nani kwangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…