Hongera mkuru...Kipindi hicho nakaa sinza kumekucha geto , asee walinivamia wale current generation ambao hadi wazazi wao walikua wamehimili mikiki mikiki ya dawa. Basi walinitia bite za kutosha hadi geto sikulitamani. Nilishauriwa nipige rangi nyumba nzima na kufua kila kitu... wapii. Basi akatokea mama mmoja mtu mzima akanisikia nikilalamika. Akanimbia ninunue mafuta ya taa lita mbili nichanganye na sabuni ya unga . Nikoroge vyema then nipige. Asee nilikuta wamekauka kabisa.
aiseee[emoji3][emoji3][emoji3] kunguni kiboko ya mabishoooo!!Mdogo wangu alienda bush karudi na kunguni akaropoka nilikokua kuna kunguni hukoo nkamwambia kabla hatujaingia ndani begi lako acha nje kesho fuaa we mwenyewe oga kwanza ndo uingie ndani[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]!!!
Hizo nguo nilihakikishwa mpk zinanyooshwa!!!
Kumbe na wadhungu wanaliwa, afadhari aiseee[emoji3][emoji3][emoji3]Hawa wadudu kuna kipindi walinyanyasa kwenye Mahoteli huko mbele, New York City. Nasikia Ilikuwa balaa, hawana adabu hawa na si kwa ajili ya uchafu, na bado ni tatizo mpaka leo! [emoji23][emoji23][emoji23]
Bedbugs in New York City - TripSavvy
TripSavvy › ... › Essentials
bed bugs in new york city from www.tripsavvy.com
Feb 26, 2019 · Tiny bloodsucking bedbugs have become an epidemic in New York City over the last decade. The little pests have invaded even the cleanest and most expensive apartments in neighborhoods around Manhattan. Here's everything you need to know about bedbugs in NYC.
Damu yako hiyo eeeeh[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Daa hawa wadudu wametoka kuniaibisha leo...Nimekaa nasikiliza hotuba ya Mei Mosi ghafla nikamuona mmoja amechomoza ndani ya T-shirt yangu anahahaha tuu...Nikamdaka faster na Kumbinya Kimya kimyaa
Na Hawa jamaa waliletwa na madogo zangu flani kutoka ghetoni kwao...
Wamenifanya Hadi Kochi langu pendwa niilikimbie maana ukikaaa tuu unapigwaa bite za kutosha hata iwe mchana!
Hapa ndo napanga plan za kuwaangamiza kabla hawajazaliana vya kutosha.
Picha ya Leo hiyo ya Yule alietaka kuniaibisha mbele za kadamnasi(Hapo alishanyonya damu za kutosha)View attachment 1085563
[emoji3][emoji3][emoji3]unakuwa unajikunja kunja kama mwendo wa nyoka!Matema Beach High School
Nilikua mvivu sana lakini hawa jamaa walinifanya nikeshe prepo, au niseme tuu walinifanya niwe nalala darasani wakat wengine wanapiga msuli!
Tulipuliza sana dawa lakini ndo kwanza wakawa wanaongezeka, tukawa na program kila jmos tunatoa magodoro nje kuyaanika juani halafu kila bweni madom leader wanasimamia kuhakikisha kila mtu anamwagia maji ya moto ya kutosha kwene vitanda na chaga, kiukwl ukimwagia maji baadhi walikua wanakufa..lakin mziki wake baadae utafikiri yale maji ndo yametotolesha mayai yao mana usiku hamlali tenaa
Halafu upuuzi wa hawa wadudu wakikukaa mwilin hawapendi utulie, ukitulia tuu nao wanaanza purukushani, A level tulikua Boys na ndo tulokua tunakaa bwenin ila O level walikua mchanganyiko kwahyo videm vyetu vilikua olevel huko..jioni navyo vinakuja kusoma prep so unaeza kuta umekaa na manzi wako wadudu wanaanza kukushughulikia, dem anashangaa tu mbona mwamba hatulii daah yale maisha konyo sana
Nilivyo sikiaacha kujidanganya!
Kumbe wapo mpaka town Kabisa katikati ya jiji [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2]Kipindi hicho nakaa sinza kumekucha geto , asee walinivamia wale current generation ambao hadi wazazi wao walikua wamehimili mikiki mikiki ya dawa. Basi walinitia bite za kutosha hadi geto sikulitamani. Nilishauriwa nipige rangi nyumba nzima na kufua kila kitu... wapii. Basi akatokea mama mmoja mtu mzima akanisikia nikilalamika. Akanimbia ninunue mafuta ya taa lita mbili nichanganye na sabuni ya unga . Nikoroge vyema then nipige. Asee nilikuta wamekauka kabisa.
Kumbe wapo mpaka town Kabisa katikati ya jiji [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2]
Mgeni akija home utamfukuzaarafu mmemwangalia tu[emoji57][emoji57][emoji57]