Hivi huwa unajihisi vipi ukilala katika kitanda chenye kunguni?

Hivi huwa unajihisi vipi ukilala katika kitanda chenye kunguni?

Kipindi hicho nakaa sinza kumekucha geto , asee walinivamia wale current generation ambao hadi wazazi wao walikua wamehimili mikiki mikiki ya dawa. Basi walinitia bite za kutosha hadi geto sikulitamani. Nilishauriwa nipige rangi nyumba nzima na kufua kila kitu... wapii. Basi akatokea mama mmoja mtu mzima akanisikia nikilalamika. Akanimbia ninunue mafuta ya taa lita mbili nichanganye na sabuni ya unga . Nikoroge vyema then nipige. Asee nilikuta wamekauka kabisa.
Hongera mkuru...
 
Mdogo wangu alienda bush karudi na kunguni akaropoka nilikokua kuna kunguni hukoo nkamwambia kabla hatujaingia ndani begi lako acha nje kesho fuaa we mwenyewe oga kwanza ndo uingie ndani[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]!!!

Hizo nguo nilihakikishwa mpk zinanyooshwa!!!
aiseee[emoji3][emoji3][emoji3] kunguni kiboko ya mabishoooo!!
 
Mwie mwenyewe ilikuwa msibani jamani acha nilikuwa na makovu mwilini
utazani kambale aliyepitishwa motoni wiki 2 tu sina hamu
[emoji22][emoji22][emoji22]pole sana...
 
Kama umelala kitandani ukishuka chini na wao wanashuka kukufuata [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hawana mda wa kupoteza...[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Hawa wadudu kuna kipindi walinyanyasa kwenye Mahoteli huko mbele, New York City. Nasikia Ilikuwa balaa, hawana adabu hawa na si kwa ajili ya uchafu, na bado ni tatizo mpaka leo! [emoji23][emoji23][emoji23]

Bedbugs in New York City - TripSavvy
TripSavvy › ... › Essentials
bed bugs in new york city from www.tripsavvy.com
Feb 26, 2019 · Tiny bloodsucking bedbugs have become an epidemic in New York City over the last decade. The little pests have invaded even the cleanest and most expensive apartments in neighborhoods around Manhattan. Here's everything you need to know about bedbugs in NYC.
Kumbe na wadhungu wanaliwa, afadhari aiseee[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Daa hawa wadudu wametoka kuniaibisha leo...Nimekaa nasikiliza hotuba ya Mei Mosi ghafla nikamuona mmoja amechomoza ndani ya T-shirt yangu anahahaha tuu...Nikamdaka faster na Kumbinya Kimya kimyaa
Na Hawa jamaa waliletwa na madogo zangu flani kutoka ghetoni kwao...
Wamenifanya Hadi Kochi langu pendwa niilikimbie maana ukikaaa tuu unapigwaa bite za kutosha hata iwe mchana!
Hapa ndo napanga plan za kuwaangamiza kabla hawajazaliana vya kutosha.
Picha ya Leo hiyo ya Yule alietaka kuniaibisha mbele za kadamnasi(Hapo alishanyonya damu za kutosha)View attachment 1085563
Damu yako hiyo eeeeh[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Matema Beach High School

Nilikua mvivu sana lakini hawa jamaa walinifanya nikeshe prepo, au niseme tuu walinifanya niwe nalala darasani wakat wengine wanapiga msuli!

Tulipuliza sana dawa lakini ndo kwanza wakawa wanaongezeka, tukawa na program kila jmos tunatoa magodoro nje kuyaanika juani halafu kila bweni madom leader wanasimamia kuhakikisha kila mtu anamwagia maji ya moto ya kutosha kwene vitanda na chaga, kiukwl ukimwagia maji baadhi walikua wanakufa..lakin mziki wake baadae utafikiri yale maji ndo yametotolesha mayai yao mana usiku hamlali tenaa

Halafu upuuzi wa hawa wadudu wakikukaa mwilin hawapendi utulie, ukitulia tuu nao wanaanza purukushani, A level tulikua Boys na ndo tulokua tunakaa bwenin ila O level walikua mchanganyiko kwahyo videm vyetu vilikua olevel huko..jioni navyo vinakuja kusoma prep so unaeza kuta umekaa na manzi wako wadudu wanaanza kukushughulikia, dem anashangaa tu mbona mwamba hatulii daah yale maisha konyo sana
[emoji3][emoji3][emoji3]unakuwa unajikunja kunja kama mwendo wa nyoka!
 
KTC kwa mwiga hatare m nliwajulia chuo bhn tulikua tunalala nje aiseee ila baada ya hapo ckuwah kuwaona tena mpk nmewaona leo hapa jf mmenikumbusha mbal xana ila ilifika kipind yan unawazoea tu unalala nao mpk axubuh ila kabla yabkuingia class unahakikisha umepiga pas kila utakachokivaa yan had beg maana wanajua kujificha hao unaeza fungua daftr clas af unakukutana na huyo mkataumeme yan hatar tupu
 
Nakumbuka wakati nipo secondary bwenini kwa wavulana kulikuwa na balaa la chawa huku wasichana ni kunguni....sijawah ku experience hawa viumbe wengine[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ila sekeseke la chawa nalijua vilivyo...hebu waliokumbwa na adhma zote mbili watupe uzoefu...Maana chawa yuko na wewe 24/7 asubiri ulale yeye anagawa dozi muda wote...kauli mbiu yake ni Kama ya #Chadema "ULIPO TUPO"...KUNGUNI VS CHAWA...Nani zaidi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kipindi hicho nakaa sinza kumekucha geto , asee walinivamia wale current generation ambao hadi wazazi wao walikua wamehimili mikiki mikiki ya dawa. Basi walinitia bite za kutosha hadi geto sikulitamani. Nilishauriwa nipige rangi nyumba nzima na kufua kila kitu... wapii. Basi akatokea mama mmoja mtu mzima akanisikia nikilalamika. Akanimbia ninunue mafuta ya taa lita mbili nichanganye na sabuni ya unga . Nikoroge vyema then nipige. Asee nilikuta wamekauka kabisa.
Kumbe wapo mpaka town Kabisa katikati ya jiji [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2]
 
Back
Top Bottom