Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,378
- 56,047
Hawa wadudu noma kabisaMwie mwenyewe ilikuwa msibani jamani acha nilikuwa na makovu mwilini
utazani kambale aliyepitishwa motoni wiki 2 tu sina hamu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa wadudu noma kabisaMwie mwenyewe ilikuwa msibani jamani acha nilikuwa na makovu mwilini
utazani kambale aliyepitishwa motoni wiki 2 tu sina hamu
Hahaaa...siye tulikua tunawaita alshabab!!![emoji3][emoji16][emoji16][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Hawa jamaa tulikua tunawaita difenda
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji11][emoji11][emoji11][emoji11]duh!mpk huko mamtoni wamooo!!!aseehhh!!hii Kali kuliko zote bwanaaHawa wadudu kuna kipindi walinyanyasa kwenye Mahoteli huko mbele, New York City. Nasikia Ilikuwa balaa, hawana adabu hawa na si kwa ajili ya uchafu, na bado ni tatizo mpaka leo! [emoji23][emoji23][emoji23]
Bedbugs in New York City - TripSavvy
TripSavvy › ... › Essentials
bed bugs in new york city from www.tripsavvy.com
Feb 26, 2019 · Tiny bloodsucking bedbugs have become an epidemic in New York City over the last decade. The little pests have invaded even the cleanest and most expensive apartments in neighborhoods around Manhattan. Here's everything you need to know about bedbugs in NYC.
Soma hii....[emoji115][emoji115][emoji115][emoji115]changanya na mafuta na chumvi wasipoisha ila hata rungu inawaua piaSabuni za unga zinawamaliza sana
na ukichemsha godoro na mashuka je? hawafi
Soma hii....[emoji115][emoji115][emoji115][emoji115]changanya na mafuta na chumvi wasipoisha ila hata rungu inawaua piaSabuni za unga zinawamaliza sana
na ukichemsha godoro na mashuka je? hawafi
Haaahahaa humuui chura kwa kumtupa ndani ya majiyaan nakumbuka nilikiwa nafanya juu chini nisilare ndani ili wafwe njaaa kumbe ndio kwanza wanatunza maumivu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]siku ya kulala nachezeshwa show kama ile ya TP mazembe kwa simba..
Haaahahaa humuui chura kwa kumtupa ndani ya majiyaan nakumbuka nilikiwa nafanya juu chini nisilare ndani ili wafwe njaaa kumbe ndio kwanza wanatunza maumivu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]siku ya kulala nachezeshwa show kama ile ya TP mazembe kwa simba..
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kwa ajili ya uchafu basi chawa hawakumuacha kama mtu anatembea na kunguni si wa mchezo kama utitiri [emoji23] [emoji23]No yule alikuwa mchafu nywele ndefu kuoga mtihani alikuwa anatoka nao kwao.
Wenye mji nikiuliza hii nini wananishangaa tu siku nyingine ile nyumba nikienda katu silali muleHawa wadudu noma kabisa
Chawa tena usipime yaani kuna siku nilichukia usiku tulipigana mbaya nimestuka usingizini nakuta kanifunika nywele zake kwenye uso wangu uso wote kuna vidudu vinatambaa nilipiga ngumi tatu za haraka mwilini mwake 😀😀😀😀[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kwa ajili ya uchafu basi chawa hawakumuacha kama mtu anatembea na kunguni si wa mchezo kama utitiri [emoji23] [emoji23]
Hahahahaa Wanakimbia kupoteza ushahidiArafu na mbio za hatari hao![emoji3][emoji3][emoji3]
Haaaa [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] duu wale minywele yao ile sijui hawaioshi vizuri, ngumi zikawaka usiku umenichekesha kweliChawa tena usipime yaani kuna siku nilichukia usiku tulipigana mbaya nimestuka usingizini nakuta kanifunika nywele zake kwenye uso wangu uso wote kuna vidudu vinatambaa nilipiga ngumi tatu za haraka mwilini mwake [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
😀😀😀😀Enzi zangu age ya 16 kuludi nyuma yaani nikichukia kupigana ni lazima haijalishi ni mda gani na wapi naliamsha tu.Haaaa [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] duu wale minywele yao ile sijui hawaioshi vizuri, ngumi zikawaka usiku umenichekesha kweli
[emoji3][emoji3][emoji3]Hahaaa.....hatari na nusuu!!!hawa wadudu sina hamu nao Jana nimeenda kunnua dawa ya mbu ananiulizia ya kunguni na mbaya huchukui nkamuambia nyumba yangu haina hizo mambo alishangaaa...sanaa[emoji3][emoji3][emoji16]nkamuambia kweli tena,hajaamini