Magu hakukaa nae Ikulu 6 yrs, no, Petro alikuwa Makao Makuu ya CCM Dodoma, muda wote alikuwa pale, Magu baada ya kuchaguliwa second term ndio akamchukua kuwa Ikulu, ila hakutangazwa ana nafasi gani pale Ikulu, wala hajawahi pewa barua eti ni mshauri wa Rais siasa etc, alikuwepo kwa kazi wanazojua wao…Magu miaka 6, Samia 3 yupo sawa nawe!
MKUUU WAKATI WA MUNGU UKIFIKA HATA HAKUNA AWEZAYE PINGANimeshangaa kusikia Magoti ndiye alikuwa anamshauri Rais kuhusu siasa. Nikimuangalia ni kama ana umri wa miaka thelasini hivi, yaani mtoto tu, na ndio maana mwanzo nilidhani ni mhudumu au afisa wa kawaida tu pale ikulu.
Hivi katika "msitu" wa wazee waliokomaa kisiasa kama Steven Wasira, Mizengo Pinda, Sumaye, Mzee Makamba, Paul Kimiti na wengine wengi kweli Rais anachaguliwa Magoti ambaye hajawahi kugombea hata uenyekiti wa mtaa au kijiji ili akaifahamu siasa kuanzia saiti?
Rais Samia awe anawakataa wasaidizi wengine, asikae nao kwa sababu ya hali zao na huruma tu. Hawa akina Magoti ndio wale wanageuka kuwa madalali wa kumkutanisha Rais na watu.
Nilisikia hata muuza madafu anasema alilipwa na Magoti fedha nyingi ambazo hajawahi kuziona kwa kuuza baskeli chache tu za madafu, sasa hizo nyingi ni nfapi, na kwa nini muuza madafu azione nyingi kuliko mzigo aliouza, na wangapi wanalipwa nyingi, na kwa nini.
Kwa hesabu zozote zile, Magoti is too juniour kumshauri Rais kuhusu siasa, badala yake Rais ndiye anaweza kumshauri Magoti kuhusu siasa. Samia ameogelea katika bahari kuu ya siasa na anagajua mapapa na nyangumi yanayoishi latika bahari kuu ya siasa.
Mh. Rais, usiishie kwa Magoti tu, piga chini wengine wengi ambao "hawajaiva" kumshauri Rais
Live and direct kutoka ikulu! Ww lazma ni wa ikulu.Magu hakukaa nae Ikulu 6 yrs, no, Petro alikuwa Makao Makuu ya CCM Dodoma, muda wote alikuwa pale, Magu baada ya kuchaguliwa second term ndio akamchukua kuwa Ikulu, ila hakutangazwa ana nafasi gani pale Ikulu, wala hajawahi pewa barua eti ni mshauri wa Rais siasa etc, alikuwepo kwa kazi wanazojua wao…
So hakukaa 6 yrs na JPM Ikulu, ni kama mwaka hivi or less alikaa Ikulu na JPM
Vyema sana!Magu hakukaa nae Ikulu 6 yrs, no, Petro alikuwa Makao Makuu ya CCM Dodoma, muda wote alikuwa pale, Magu baada ya kuchaguliwa second term ndio akamchukua kuwa Ikulu, ila hakutangazwa ana nafasi gani pale Ikulu, wala hajawahi pewa barua eti ni mshauri wa Rais siasa etc, alikuwepo kwa kazi wanazojua wao…
So hakukaa 6 yrs na JPM Ikulu, ni kama mwaka hivi or less alikaa Ikulu na JPM
Naona magoti umeamua kuja kumjibu chiembe 😊😊Sidhani kama wewe ni mfatiliaji mzury wa haya mambo magoti si wa Leo au Jana pale ikulu ni WA MDA mrefu pia amefanya kazi na mwanakwenda , kiufupi tunaitaji watu tofauti kuleta na kuchochea mambo tofauti tofauti na siasa Ina mambo mengine hujui alikuwa ana mshauri katika eneo gani mkuu kuwa kiongozi katika eneo flani haitegemei hapo awali ulikuwa na cheo gani kama ulivyo sema hakuna ana mwenyekiti wa shina nk
Kwa hiyo bora Magoti anayetafuta wauza madafu mitaani, a presidential advisor
Hana uzoefu wa kushauri ngazi kuu ya taasisi ya Urais.Unafikiri kutumia masaburi na roho mbaya , Magoti ni mtu makini na uelewa mkubwa zaidi ya unavyomjua,
Sasa hao uliowataja kuwa wamekomaa kisiasa wameshatusaidia nn?Nimeshangaa kusikia Magoti ndiye alikuwa anamshauri Rais kuhusu siasa. Nikimuangalia ni kama ana umri wa miaka thelasini hivi, yaani mtoto tu, na ndio maana mwanzo nilidhani ni mhudumu au afisa wa kawaida tu pale ikulu.
Hivi katika "msitu" wa wazee waliokomaa kisiasa kama Steven Wasira, Mizengo Pinda, Sumaye, Mzee Makamba, Paul Kimiti na wengine wengi kweli Rais anachaguliwa Magoti ambaye hajawahi kugombea hata uenyekiti wa mtaa au kijiji ili akaifahamu siasa kuanzia saiti?
Rais Samia awe anawakataa wasaidizi wengine, asikae nao kwa sababu ya hali zao na huruma tu. Hawa akina Magoti ndio wale wanageuka kuwa madalali wa kumkutanisha Rais na watu.
Nilisikia hata muuza madafu anasema alilipwa na Magoti fedha nyingi ambazo hajawahi kuziona kwa kuuza baskeli chache tu za madafu, sasa hizo nyingi ni nfapi, na kwa nini muuza madafu azione nyingi kuliko mzigo aliouza, na wangapi wanalipwa nyingi, na kwa nini.
Kwa hesabu zozote zile, Magoti is too juniour kumshauri Rais kuhusu siasa, badala yake Rais ndiye anaweza kumshauri Magoti kuhusu siasa. Samia ameogelea katika bahari kuu ya siasa na anagajua mapapa na nyangumi yanayoishi latika bahari kuu ya siasa.
Mh. Rais, usiishie kwa Magoti tu, piga chini wengine wengi ambao "hawajaiva" kumshauri Rais
Tambua hii;Nimeshangaa kusikia Magoti ndiye alikuwa anamshauri Rais kuhusu siasa. Nikimuangalia ni kama ana umri wa miaka thelasini hivi, yaani mtoto tu, na ndio maana mwanzo nilidhani ni mhudumu au afisa wa kawaida tu pale ikulu.
Hivi katika "msitu" wa wazee waliokomaa kisiasa kama Steven Wasira, Mizengo Pinda, Sumaye, Mzee Makamba, Paul Kimiti na wengine wengi kweli Rais anachaguliwa Magoti ambaye hajawahi kugombea hata uenyekiti wa mtaa au kijiji ili akaifahamu siasa kuanzia saiti?
Rais Samia awe anawakataa wasaidizi wengine, asikae nao kwa sababu ya hali zao na huruma tu. Hawa akina Magoti ndio wale wanageuka kuwa madalali wa kumkutanisha Rais na watu.
Nilisikia hata muuza madafu anasema alilipwa na Magoti fedha nyingi ambazo hajawahi kuziona kwa kuuza baskeli chache tu za madafu, sasa hizo nyingi ni nfapi, na kwa nini muuza madafu azione nyingi kuliko mzigo aliouza, na wangapi wanalipwa nyingi, na kwa nini.
Kwa hesabu zozote zile, Magoti is too juniour kumshauri Rais kuhusu siasa, badala yake Rais ndiye anaweza kumshauri Magoti kuhusu siasa. Samia ameogelea katika bahari kuu ya siasa na anagajua mapapa na nyangumi yanayoishi latika bahari kuu ya siasa.
Mh. Rais, usiishie kwa Magoti tu, piga chini wengine wengi ambao "hawajaiva" kumshauri Rais
Petro alikuwa anakuzwa kisiasa na hiyo nafasi aliyopewa ndio anastahili , kiufupi pale ikulu na makao makuu wapo wengi sana wanakuzwa ili kuja kupewa nafasi .Magu hakukaa nae Ikulu 6 yrs, no, Petro alikuwa Makao Makuu ya CCM Dodoma, muda wote alikuwa pale, Magu baada ya kuchaguliwa second term ndio akamchukua kuwa Ikulu, ila hakutangazwa ana nafasi gani pale Ikulu, wala hajawahi pewa barua eti ni mshauri wa Rais siasa etc, alikuwepo kwa kazi wanazojua wao…
So hakukaa 6 yrs na JPM Ikulu, ni kama mwaka hivi or less alikaa Ikulu na JPM
Ana uzi wake huyu magoti unamuelezeq vzr sanaHuyu Magotti ana undugu na Hosea Magotti? Yule mtoto wa mzee Magotti wa Tazara?
Kwani he was the only one?Nimeshangaa kusikia Magoti ndiye alikuwa anamshauri Rais kuhusu siasa. Nikimuangalia ni kama ana umri wa miaka thelasini hivi, yaani mtoto tu, na ndio maana mwanzo nilidhani ni mhudumu au afisa wa kawaida tu pale ikulu.
Hivi katika "msitu" wa wazee waliokomaa kisiasa kama Steven Wasira, Mizengo Pinda, Sumaye, Mzee Makamba, Paul Kimiti na wengine wengi kweli Rais anachaguliwa Magoti ambaye hajawahi kugombea hata uenyekiti wa mtaa au kijiji ili akaifahamu siasa kuanzia saiti?
Rais Samia awe anawakataa wasaidizi wengine, asikae nao kwa sababu ya hali zao na huruma tu. Hawa akina Magoti ndio wale wanageuka kuwa madalali wa kumkutanisha Rais na watu.
Nilisikia hata muuza madafu anasema alilipwa na Magoti fedha nyingi ambazo hajawahi kuziona kwa kuuza baskeli chache tu za madafu, sasa hizo nyingi ni nfapi, na kwa nini muuza madafu azione nyingi kuliko mzigo aliouza, na wangapi wanalipwa nyingi, na kwa nini.
Kwa hesabu zozote zile, Magoti is too juniour kumshauri Rais kuhusu siasa, badala yake Rais ndiye anaweza kumshauri Magoti kuhusu siasa. Samia ameogelea katika bahari kuu ya siasa na anagajua mapapa na nyangumi yanayoishi latika bahari kuu ya siasa.
Mh. Rais, usiishie kwa Magoti tu, piga chini wengine wengi ambao "hawajaiva" kumshauri Rais
Kwa hiyo madhara hujayaona!Muulize aliyekuwa akishauriwa ndani ya miaka 3!