Hivi huyo Magoti, mshauri wa Rais kuhusu siasa, alikuwa na uzoefu upi wa mambo ya siasa? Mbona CCM ina manguli wa siasa jamani?

Magoti anehitimu pspa 2014 na akina tema tema. Ni mwanafunzi makini wa Dr bashiru.

Alikuwa mwanaccm. Angevaa kijani pekeake coet kwenye foleni ya msosi.

Magoti ni kichwa hasa, Kwa kuwa wengi humu hatuwapendi CCM basi na magoti mwanaccm.

Alikuwa kiongiz tawi la ambiance na seneti.

Aliyemuingiza CCM makao atakuwa nape na makamba kipindi Cha 2011 akiwa chuo na kipindi hicho jalalani ilikuwa chadema yote isipokuwa wachache viongozi wa daruso wengi wao ni viongozi nk.

Alikuwa depo lililofanyiwa usaili TEW April.
 
Mkuu umeanza kumjua magoti lini? Pale ikulu yupo muda mrefu...ni very humble guy...labda umemjudge kwa kuangalia physical appearance...Ni mtu muhimu sana kwa Taifa hili...na popote alipo yupo tu kimkakati...
Hii " ni very humble guy" sijui ndio nini sasa.
 
Acha uongo wako huyo magoti alikuwa mwajiriwa wa ccm idara ya uenezi makao makuu.
Jiwe alipoingia na kuwa mwenyekiti akawa haivi na mangula sasa akamtumia huyo jamaa kumuondoa mangula ambapo huyo jamaa akamwekea sumu kwenye maji mzee mangula walipokuwa kwenye vikao vyao bahati nzuri mzee mangula hakufariki.
Baadae Magu akampa kama zawadi ya ajira ikulu kwenye ofisi yake binafsi (private office) alikuwa kama chawa hakuwa na cheo chochote pale Ikulu zaidi ya uchawa nashangaa hata mimi alivyoondolewa pale ikulu eti cheo chake ni mshauri wa rais siasa
 
Hum
Kumbe humfahamu Magoti aisee
 
Nitarudi
 
Huyo ni zao la jiwe alikuwa akitumika kwenye ile timu ya Makonda na Kipilimba.
 
Kwa akili yako unafikiria magoti pekee ndio mshauri? Wapo washauri kibao pale Lumumba inawezekana hao wa ikulu ni geresha tu , wapo weny nguvu kuliko unawaona wanazunguka .
Wakuelewe kwa hili acha wakae wakijiaminisha wanavyohisi.
 
Exactly..
 
Kwa akili yako unafikiria magoti pekee ndio mshauri? Wapo washauri kibao pale Lumumba inawezekana hao wa ikulu ni geresha tu , wapo weny nguvu kuliko unawaona wanazunguka .
Hatamimi nilikuwa sikuzote nafahamu mshauri wa Mambo ya Siasa wa Rais ni Mzee Bulembo huyo Magoti ndio nimejua juzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…