Hivi huyo Magoti, mshauri wa Rais kuhusu siasa, alikuwa na uzoefu upi wa mambo ya siasa? Mbona CCM ina manguli wa siasa jamani?

Muuaji namba moja kipindi cha magu! usione hicho kibiongo jamaa ni mubaya hatari! |Dracula mnyonya damu
 
Mkuu kwani huyu Waziri fedha wa fedha ana uzoefu gani uliotukuka kuweza kuwa Waziri wa fedha.
 
Hivi Waziri wa Habari sijui bwana Nape ana uzoefu gani huyu na exposure yakuwa pale kwenye ile wizara.?
 
Uko sahihi kwa ulichokiongea, nafasi ni kubwa kuliko uwezo wa mhusika, mshauri wa siasa wa Rais hasa kwa nchi kama Tanzania unahitaji mbobezi hasa aliyekomaa.

Kiuhalisi HAPO NDIO KWENYE FAILURE HASA YA HII NCHI - INCOMPETENCY AND INEXPERIENCE ambavyo vinasababishwa na undugu, ujamaa, ukada, uhawara, udini, ukabila nk
 
Vyeo vinapatikana Kwa connection halafu mnataka mpate positive results, mitaani huku wapo watu wengi sana serious shida ni mifumo.
 
Siyo kila aliyepo nyumba nyeupe ni mshauri wa mambo ya wazi wengine ni washauri upande wa ushirikina na mazindiko.
 
Vyeo vinapatikana Kwa connection halafu mnataka mpate positive results, mitaani huku wapo watu wengi sana serious shida ni mifumo.
Wengine wanapelekwa pale kwa ushirikina na rushwa kusaidia mambo ya wafanyabiashara wakwepa kodi na mafisadi
 

Huku Foreigner affair unamkuta January Makamba, CV yake kafanya kazi Ikulu, kawa Mbunge then Waziri. Halafu eti anakuwa foreigner affair minister.

Mwingine yule Waziri wa fedha, CV yake muajiliwa BOT, Mbunge, Waziri wizara kadhaa then Waziri wa fedha.

Huyu naye ukisoma hapa utaona katika UDSM, UVCCM, IKULU.
Tunachekesha sana.
 
CV inasema kasoma UDSM, then CCM then IKULU, then Uteuzi.

Labda pale Ikulu alikuwa apprentice.
 
Yule Magoti ni miongoni mwa takataka alizoziacha jiwe. Mama imemchukuwa muda kubaini kuwa hii taka ipo ikulu na inakula posho kama mshauri. Alipoibaini kaifagilia mbali, akahangaike na vyoo vya wanafunzi huko
Mwenye macho ambiwi tazama
 
Yule Magoti ni miongoni mwa takataka alizoziacha jiwe. Mama imemchukuwa muda kubaini kuwa hii taka ipo ikulu na inakula posho kama mshauri. Alipoibaini kaifagilia mbali, akahangaike na vyoo vya wanafunzi huko
Mwenye macho ambiwi tazama
 
Mkuu umeanza kumjua magoti lini? Pale ikulu yupo muda mrefu...ni very humble guy...labda umemjudge kwa kuangalia physical appearance...Ni mtu muhimu sana kwa Taifa hili...na popote alipo yupo tu kimkakati...
Naam!
 
Magoti zaidi ya haya ulivyosema mkuu.

Kupanga foleni kwenye misosi alikuwa anawachora tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…