Ivan Stepanov
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 6,799
- 22,209
Nafikir anachoongea mleta mada hapa ni kikubwa zaid ya hiti.Bahati ya mtu usiilalie mlango wazi!
Bahati ya mtu versus maslahi ya taifa obviously bahat ya mtu haipaswi hata kufikiriwa mara 2.
Huyu magoti hata kuwa mshauri wa mwenyekiti wa mtaa tu hana vigezo hivyo