lucky lefty
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 491
- 454
Ndo maana wanaume tukiizwa tunaoa lini majibu huwa ni Bado Bado sana, mwanamke hana akili kabisa ameshindwa kuongea na familia zao yy analeta kwenye mitandao sasa sjui inasaidia nn
Tumesikia upande mmoja wa taarifakupata mtu ambae mna lengo moja nayo changamoto mkuu.kuna watu wabinafsi sana . hv mtu unakuwaje mchoyo hadi kwa damu yako eti.japo tunamuona joyce mbaya ila na huyu kamanda sio kabisa aaah
Kumekuchaaaahata sisi wachaga tunakanywa sana kuolewa na wahaya tunaambiwa wanaowana wao kwawao tena tunaambiwa wao ukisikia anamuita mtu dada ujue ni mlupo wake tumekanywa kabisa kuwa wahaya sio watu wa kuowana nao kwahiyo mi nikisikia tu mtu ni muhaya wala simuangalii mara ya pili
hupaswi kutoa hukumu kabisa...umesikia upande mmoja wa mashtka ...MWANAUME ANA BUSARA MNOOO NDIO MAANA YUPO KIMYA ..KWA SABABU ANAJUA KUWA NDOA YAO HAIKUFNGWA INSTA ..KWA VYOVYOTE VILE MATATIZO YA NDOA YAO HAYA WEZI KUISHA AMA KUFARIJIWI NA INSTA..ZAIDI ATAKUWA ANADHIDI KUJIDHALILISHA NA KUJIVUA UTU WAKE ENDAPO AKIAMUA KUYAWEKA MATATIZO YA NDOA YAO MITANDAONI..kupata mtu ambae mna lengo moja nayo changamoto mkuu.kuna watu wabinafsi sana . hv mtu unakuwaje mchoyo hadi kwa damu yako eti.japo tunamuona joyce mbaya ila na huyu kamanda sio kabisa aaah
Hili swali hutokaa ujibiwe na ukijibiwa najipiga ban mwezi mzima.Huyo Superwoman anafanya biashara gani kwani
hivyo ndivyo mwanaume anavyopaswa kuwa ..Jamaa kauzu balaa na mapigo yote ya upande wa pili hajajibu chochote tu?
nilivyosoma hiyo content yake nilipokuja kusoma pale aliposema kuwa nilipoona umefungua acount yako peke yako nikawa namashaka..basii nikapata pictr kuwa ugomvi wao mkubwa ni maslahi hakuna kingine ..yale yote aliyokuwa anayaongea alikuwa anauzunguka mbuyu ymtule
Mimi pia nimeelewa nadhani ndoa yao imefikia ukingoni na BI JOYCE alijiaminisha kwamba KILEWO hawezi kuondoka au kumwacha. hapa nionacho ni kwmaba ameondoka for good, ss bibie anaanza kutapa tapa asijui kwamba hiyo ndio niondolee... kwa maana hiyo alivyolipa kodi ya nyumba ndipo akajua mambo ni kwisha kabisa analisema imaging now nalipia nyumba... kumbe shida haiko kwa KILEWO kwamba hana pesa no shida ni kwamba ushirika umepotea,.... analalamika hataweza kuzaa kwa style hiyo hapo hakuna mapenzi tena labda miugiza itokee sidhani wa hapa kuna ndoa tena.
Na sidhani kama Joyce akimwomba kwa unyenyekevu Kileo aje asign kwa ajili ya kutoa pesa kama atakataa.. ushauri mwingine aende bank kuchange signatories ni kitu kinachowezekana
Umeelewa alikuwa analalamikia kitu gani Joy....? Anasema ni signatory kwenye kampuni so awezi toa pesa bila sign ya mmewe ...hata kama mke kakosea basi mme at least afanye kwa ajili ya watoto.... Na ulishawahi sikia wapi mme anakimbia nyumba yake yenye watoto na kumwachia mke, ujue alikuwa analelewa sanaa na huyo mwanamke.... Mara nyingi mke ndio anaondoka matatizo yakizidi, japo sijafurahishwa na Joy hili swala kulileta mitandaoni kama hawana wazazi au ndugu na jamaa....umejishushia usuperwomenNimeelewa vitu viwili..hii ndoa ilikua ishafeli sasa jamaa alichokifanya ni kuacha kila kitu na kuhama nyumbani...sasa kinachotokea ni frustration za aina nyingi kwa mwanamke maana baba hayupo, gharama zimekua kubwa na jamaa si kuwa hayupo ila pia yupo kimya...ndio maana Joyce anaongea kila mahali maana anahitaji msaada ila hajui aupate wapi, na anaomba aachiwe biashara zake kama biashara nizake kwann aombe aachiwe? Hii ina maana kwamba hizo biashara kafunguliwa na mumewe...kwasasa sina cha kumshauri maana hataelewa...huyo kileo atakua anakaa lodge na hela si anayo ...atatafuta katoto kadogo kakutumbua nae..watoto wake watakua wanateseka mno ila kila akimkumbuka mke atakua anaenda mbali zaidi...natamani ningepata nafasi ya kuwashauri wote...tatizo kileo yupo kimya..hujui na yeye yamemsibu yapi...wanaume wana koromeo...poleni watoto poleni sana...nakaribisha PM kwa ushauri zaidi
Mkuu ni heresay tuu hata enexture hamnaHata mimi nawashangaa hawa wanaoangalia upande mmoja tu! Joyce na Kilewo inaonesha wana joint account na hela hazitoki bila saini ya wote, mume kauchuna haweki saini watoto wana njaa!
Umeongea vizuri ila mwishoni imeconclude kwa kumlaumu..alishasema Alisha washirikisha ndugu na jamaaUmeelewa alikuwa analalamikia kitu gani Joy....? Anasema ni signatory kwenye kampuni so awezi toa pesa bila sign ya mmewe ...hata kama mke kakosea basi mme at least afanye kwa ajili ya watoto.... Na ulishawahi sikia wapi mme anakimbia nyumba yake yenye watoto na kumwachia mke, ujue alikuwa analelewa sanaa na huyo mwanamke.... Mara nyingi mke ndio anaondoka matatizo yakizidi, japo sijafurahishwa na Joy hili swala kulileta mitandaoni kama hawana wazazi au ndugu na jamaa....umejishushia usuperwomen
"Masingo Maza" utawajua tuWaambie hao vyasaka, Kwanzaa wengi hawana uwezo kuoa wachaga
Nmmchaga uyu... Mpuuzi sana yaniHivi huyu dada ni kabila gani? Kama ni wa kutoka Kaskazini tusimlaumu sana hasa kama ni Mpare au Mchaga! Tatizo ninalo liona hapa ni "mtonyo ". Wanawake sijui wanataka nini hasa!