Hivi huyu dada Joyce Kiria ana shida gani?

Hivi huyu dada Joyce Kiria ana shida gani?

Ndo maana wanaume tukiizwa tunaoa lini majibu huwa ni Bado Bado sana, mwanamke hana akili kabisa ameshindwa kuongea na familia zao yy analeta kwenye mitandao sasa sjui inasaidia nn
 
Ndo maana wanaume tukiizwa tunaoa lini majibu huwa ni Bado Bado sana, mwanamke hana akili kabisa ameshindwa kuongea na familia zao yy analeta kwenye mitandao sasa sjui inasaidia nn


Ndio mumjue huyu muongo muongo tu.
 
Joy Pole Sana.......!!! Inaumiza kufanya kitu kwa ajili ya familia alafu mtu anatake advantage....i feel your pain....!!!!!!! Japo mitandao ni mibaya.. Ungetafuta njia mbadala ya kusolve hili tatizo..
 
kupata mtu ambae mna lengo moja nayo changamoto mkuu.kuna watu wabinafsi sana . hv mtu unakuwaje mchoyo hadi kwa damu yako eti.japo tunamuona joyce mbaya ila na huyu kamanda sio kabisa aaah
Tumesikia upande mmoja wa taarifa
Mume yupo kimya huoni ni busara ya Hali ya juu pia Huyu anajambo analoficha mume naye akiamua kumwaga mboga Kuna mengi huta amini
 
hata sisi wachaga tunakanywa sana kuolewa na wahaya tunaambiwa wanaowana wao kwawao tena tunaambiwa wao ukisikia anamuita mtu dada ujue ni mlupo wake tumekanywa kabisa kuwa wahaya sio watu wa kuowana nao kwahiyo mi nikisikia tu mtu ni muhaya wala simuangalii mara ya pili
Kumekuchaaaa
 
kupata mtu ambae mna lengo moja nayo changamoto mkuu.kuna watu wabinafsi sana . hv mtu unakuwaje mchoyo hadi kwa damu yako eti.japo tunamuona joyce mbaya ila na huyu kamanda sio kabisa aaah
hupaswi kutoa hukumu kabisa...umesikia upande mmoja wa mashtka ...MWANAUME ANA BUSARA MNOOO NDIO MAANA YUPO KIMYA ..KWA SABABU ANAJUA KUWA NDOA YAO HAIKUFNGWA INSTA ..KWA VYOVYOTE VILE MATATIZO YA NDOA YAO HAYA WEZI KUISHA AMA KUFARIJIWI NA INSTA..ZAIDI ATAKUWA ANADHIDI KUJIDHALILISHA NA KUJIVUA UTU WAKE ENDAPO AKIAMUA KUYAWEKA MATATIZO YA NDOA YAO MITANDAONI..

HUYO SUPER WOMAN WENU NI EMPTY SET ..WA MWISHO KABISAAA
 
Jamaa kauzu balaa na mapigo yote ya upande wa pili hajajibu chochote tu?
hivyo ndivyo mwanaume anavyopaswa kuwa ..
nikipimo tosha kabisa..kinachoweka dhahiri kuwa Jamaa kakomaa kiakili
 
le

Mimi pia nimeelewa nadhani ndoa yao imefikia ukingoni na BI JOYCE alijiaminisha kwamba KILEWO hawezi kuondoka au kumwacha. hapa nionacho ni kwmaba ameondoka for good, ss bibie anaanza kutapa tapa asijui kwamba hiyo ndio niondolee... kwa maana hiyo alivyolipa kodi ya nyumba ndipo akajua mambo ni kwisha kabisa analisema imaging now nalipia nyumba... kumbe shida haiko kwa KILEWO kwamba hana pesa no shida ni kwamba ushirika umepotea,.... analalamika hataweza kuzaa kwa style hiyo hapo hakuna mapenzi tena labda miugiza itokee sidhani wa hapa kuna ndoa tena.


Na sidhani kama Joyce akimwomba kwa unyenyekevu Kileo aje asign kwa ajili ya kutoa pesa kama atakataa.. ushauri mwingine aende bank kuchange signatories ni kitu kinachowezekana
nilivyosoma hiyo content yake nilipokuja kusoma pale aliposema kuwa nilipoona umefungua acount yako peke yako nikawa namashaka..basii nikapata pictr kuwa ugomvi wao mkubwa ni maslahi hakuna kingine ..yale yote aliyokuwa anayaongea alikuwa anauzunguka mbuyu ymtu
 
Nimeelewa vitu viwili..hii ndoa ilikua ishafeli sasa jamaa alichokifanya ni kuacha kila kitu na kuhama nyumbani...sasa kinachotokea ni frustration za aina nyingi kwa mwanamke maana baba hayupo, gharama zimekua kubwa na jamaa si kuwa hayupo ila pia yupo kimya...ndio maana Joyce anaongea kila mahali maana anahitaji msaada ila hajui aupate wapi, na anaomba aachiwe biashara zake kama biashara nizake kwann aombe aachiwe? Hii ina maana kwamba hizo biashara kafunguliwa na mumewe...kwasasa sina cha kumshauri maana hataelewa...huyo kileo atakua anakaa lodge na hela si anayo ...atatafuta katoto kadogo kakutumbua nae..watoto wake watakua wanateseka mno ila kila akimkumbuka mke atakua anaenda mbali zaidi...natamani ningepata nafasi ya kuwashauri wote...tatizo kileo yupo kimya..hujui na yeye yamemsibu yapi...wanaume wana koromeo...poleni watoto poleni sana...nakaribisha PM kwa ushauri zaidi
Umeelewa alikuwa analalamikia kitu gani Joy....? Anasema ni signatory kwenye kampuni so awezi toa pesa bila sign ya mmewe ...hata kama mke kakosea basi mme at least afanye kwa ajili ya watoto.... Na ulishawahi sikia wapi mme anakimbia nyumba yake yenye watoto na kumwachia mke, ujue alikuwa analelewa sanaa na huyo mwanamke.... Mara nyingi mke ndio anaondoka matatizo yakizidi, japo sijafurahishwa na Joy hili swala kulileta mitandaoni kama hawana wazazi au ndugu na jamaa....umejishushia usuperwomen
 
Hata mimi nawashangaa hawa wanaoangalia upande mmoja tu! Joyce na Kilewo inaonesha wana joint account na hela hazitoki bila saini ya wote, mume kauchuna haweki saini watoto wana njaa!
Mkuu ni heresay tuu hata enexture hamna
 
Umeelewa alikuwa analalamikia kitu gani Joy....? Anasema ni signatory kwenye kampuni so awezi toa pesa bila sign ya mmewe ...hata kama mke kakosea basi mme at least afanye kwa ajili ya watoto.... Na ulishawahi sikia wapi mme anakimbia nyumba yake yenye watoto na kumwachia mke, ujue alikuwa analelewa sanaa na huyo mwanamke.... Mara nyingi mke ndio anaondoka matatizo yakizidi, japo sijafurahishwa na Joy hili swala kulileta mitandaoni kama hawana wazazi au ndugu na jamaa....umejishushia usuperwomen
Umeongea vizuri ila mwishoni imeconclude kwa kumlaumu..alishasema Alisha washirikisha ndugu na jamaa
 
Yaani ni kwamba una malalamiko ya msingi sana ... Ila njia uliotumia sio sahihi na haitatatua tatizo lako... Umetudhalikisha kwa kweli
 
Huyu mwanamke ni mpumbafu aliyekosa staha.

Pumbafu kabisa
 
Hivi huyu dada ni kabila gani? Kama ni wa kutoka Kaskazini tusimlaumu sana hasa kama ni Mpare au Mchaga! Tatizo ninalo liona hapa ni "mtonyo ". Wanawake sijui wanataka nini hasa!
Nmmchaga uyu... Mpuuzi sana yani
 
Back
Top Bottom