Hivi huyu dada Joyce Kiria ana shida gani?

My advise is "don't be too nice to niggas" thou kakosea kuweka mitandaoni..
 
Mwanamke awe Mtii kwa Mme na Mme awe na Akili
 
ce d


Hoyce Temu kamfunda Joyce kimtindo kila mtu anamwonea huruma... Hakuna mwanaume anayetaka kero. yaelekea huyo alishakuwa keroo sana kwa mmewe.

Mnakumbuka kuna kipindi alidhubutu kusema Kamanda Mbowe sijui nini... mke wa Mbowe alimfuata akamwambia your too young stay away with my family... aliufyata haswa... jinga la mwisho hilo. anadhani ndoa ni matangazo kanikera sana
 
Mimi nseme tu kwamba mambo ya ndoa tusichekane kabisa lolote laweza tokea hata kama. Yy ni super woman ndo akomae tu kisabuni mpaka afe bora kuweka hadharani asaidiwe
 
kweli mkuu sku hizi ndoa bhana bora kua singo hayo ni mambo ya ndani sana sio ya kuandika mitandaoni ndoa za siku hizi bana zimekosa muelekeo kabisa inatia kinyaa bora nibaki kua singo duuu
[emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23]
 
[emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Wahaya wanawezana wenyewe kwa wenyewe maana kwa ngono hawajambo.Hata akiwa profesa tabia zake kwenye hio sekta hua ni zile zile kama za ambae hajasoma.

Endeleeni kuoana tu nyie kwa nyie mkuu.
Hahahah [emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23]
 
Umesikiliza upande wa pili weka mizani ndipo utoe hukumu pengine kaamua tu kumzalilisha mwenza kisa kahama nymbn huyu mwanamke sio wa kuolewa hawezi kutunza siri za nymba anatisha kuliko ukoma huyu
Hii move ni kali sana sjui stelling atauwa ama vp
 
MKATOE HELA WAKATI HAKUNA! MLIANZA MITANDAONI NA NI LAZIMA MMALIZE MITANDAONI.Superwoman KIRIA.Bado IYOBO na ANTY wake
Hao nao kimeshabumburuka mbona hujaskia yale ya shirawadu kugongwa na gari ya ant na iyobo
 
Hongera sana ndugu kwa fact za maana nmesoma michangk ming ya memba humu cjaona aliekufikia naishia hapa kusoma maoni ya watu najua sintakutana na maoni mazuri zaidi ya haya big up bro.
 
Hahhahaa mkuu we nouma sana nimecheka sana daa,ila kweli huyu dada ana shida ya kimaadilii hasa kwenye eneo la mke na mume,hujafundishwa hekima ya kuishi kwenye agano hasa zinapo tokea changomoto kama hii ya sasa aliyo nayo
 
Ume andika vizuri mkuu kama ata soma hapa nadhani itamsaidia kama ana shaurika,hongera sana kwa andiko lako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…