Hivi huyu dada Joyce Kiria ana shida gani?

Ukiyasoma haya Maelezo, yanaonesha ka Joyce kaanaonewa,halafu LiKilewo ni Janaume janja janja lenye mabavu ambalo,linakajanjika haka KaJoyce kenye upendo wa dhati na wala hakana kosa lolote,Hivyo kanaomba kasaidiwe kuzirudisha biashara na Mali zote,ambazo kimsingi ni za Kwake,Litokee Dubwana lenye miguvu likasaidie haka kadada kapole na kanako onewa namna hii, nimejaribu kufanya muhutasari tu,
 
wachaga wamekutana ....kazi ipo l!!!! by the way kamanda kilewo nae anazingua mambo gani hya anafanya ya kitoto .ahudumie watoto aachane na drama za hyo mwanamke atunze familia
 
Ukweli mchungu,tatizo wabongo hampendi kuambiwa ukweli.

Kwa nini aambiwe leo baada ya kulelewa 8yrs? Hata punda huchoka mazee,ni fedheha kujiita kamanda halafu kumbe unalelewa na mwanamke.
 
Kwa haya majibu nimepata identity ya wewe ni mtu wa design gani. Enjoy the brezee
 
Kama unahela zako na bado unalelewa wewe ni mario tu.
 

Una haki ya kuongea chochote lakini amini nakuambia sijawai kuwa domo zege katika maisha yangu sababu wanawake nimekuwa nikiwapenda tokea nabarehe pia I was like a movie star in my teenage

Suala la kupitia magumu sio jepesi kama ulivyosema coz kila mtu anapitia magumu katika muktadha wake

Mimi sijajibu upupu bali nimetoa tathmini yangu kwa kuhusisha tukio zima na social behavior ya kabila husika (sijalahumu) bali nimesema "they have been raised that way"

You're betting that 90% who comments negatively are in troubled relationships and you forgot that this is a open forum hahahaha
 
Mbona mwanzo dada joi alisema alikuwa anasimamia show zote hata matunzo ya jamaa leo imekuwaje kileo amekuwa mbahili na pesa katoa wapi wakati mtunzaji ni supawumeni?
 
Kiongozi weka heshima mbele ..
Unaweza kuongea bila kuleta maneno ya uchochoroni na ukaeleweka.

Kwa kifupi hatujui. Neither you nor me or anybody else has all the facts.. Its pre mature and crazy to think am stupid .kwasababu tu Nina mtazamo tofauti..

My kids will eat shit.ikiwa nadhani the money I have today if invested will benefit them a great deal tomorrow.. Na ndio maana tunakaa nao nyumba za kawaida ili waende shule nzuri.. Wanakula kawaida Ili wapate matibabu yauhakika.. Yote in sacrifice..ili kesho yao iwe bora.

Kama unadhani malezi nikutoa then go back ..talk to your parents again. You missed the whole point ya uzazi na ulezi.

Narudia hakuna mwanaume mjinga..that much. Angekuwa mtwara watoto wapo dar ningesema maybe.. .anawaona kila Siku?! Halafu wabakuwa hawali!!! Na yeye anapesa?!

Au ndio mama wqtoti kutaka makubwa watoto wapelekwe Shopping mliman city just because she think we have money!!? Ningekuwa mie mbona na kesi inarindima na matanga tushaanua muda huu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…