Kyambamasimbi
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 762
- 1,597
Huyu jamaa mda wote ni kutukana watu wote wasio na kipato kama yeye. Kazi ni kupost magari na nyumba anazopigia picha. Anakera sana. Sio uungwana kama ni fedha ni zako sie zinatuhusu nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakubaliana na we%Mwambieni hakuna jipya chini ya jua.
Atakuwa ametoka familia yenye background ya ufukara kwa hiyo yeye kupata vijisenti makalio yanamuwasha kila kukicha.
OGOPA SANA MTU ANAYE SEMA, "TAFUTA PESA KIJANA"Huyu jamaa mda wote Ni kutukana watu wote wasio na kipato Kama yeye. Kazi Ni kupost magari na nyumba anazopigia picha. Anakera Sana. Sio uungwana Kama Ni fedha Ni zako sie zinatuhusu Nini?
Kakuagiza wewe Chawa wake uje umpigie Promo huku..... SawaHuyu jamaa mda wote Ni kutukana watu wote wasio na kipato Kama yeye. Kazi Ni kupost magari na nyumba anazopigia picha. Anakera Sana. Sio uungwana Kama Ni fedha Ni zako sie zinatuhusu Nini?
Malizia na ushogaOGOPA SANA MTU ANAYE SEMA, "TAFUTA PESA KIJANA"
WAKATI YEYE HUJUI ANA FANYA NINI/KAZI GANI YA KUMUINGIZA KIPATO.
KUNA UTAJIRI WA HARAKA HARAKA KWNENYE MADAWA YA KULEVYA,BIASHARA ZA KUUZA SILAHA, BIASHARA YA VIUNGO VYA BINADAMU, UCHAWI,UJAMBAZI & UTAPELI NA KUJITOA SADAKA.
Hii dunia utavuna ulicho stahiliKuna jamaa huku mtaani alikuwa kama huyu jina sito mtaja alikuwa maarufu sana...
Mipesa ya gafla gafla mara kavuta gari mala
Kashusha jengo alikuwa na sifa za kukera.
Ana dharau watu yani alikuwa ni fullllll...
Kuvimba sasa mwaka juzi simnaukumbuka
Ule msako ulioanzishwa wa kuwasaka wale
Wa tuma kwenye namba hii mwaka jana hapa
Jamaa kabainika nae yupo kwenye lile crew..
Saiv inaenda mwaka jamaa yupo segerea sifa
Sio nzuri hao huyo jamaa ni tiktoker ana sifa.
Pesa zenyewe anazipata kwa kujipanua na mikono yake miwili huku anarukaruka, utajiri ni Siri ngumu ukiambiwa anapata pesa kwa masharti ya kulala na maiti usishangaeYani , Kuna watu katika maisha wakishapata pesa wanaona wenzao wazembe hivi.
Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
Hashi Puppi yuko jela miaka 11, huyo subiri siku zake zinahesabika itajulikana tu ipi mbichi ipi mbivuKuna jamaa huku mtaani alikuwa kama huyu jina sito mtaja alikuwa maarufu sana...
Mipesa ya gafla gafla mara kavuta gari mala
Kashusha jengo alikuwa na sifa za kukera.
Ana dharau watu yani alikuwa ni fullllll...
Kuvimba sasa mwaka juzi simnaukumbuka
Ule msako ulioanzishwa wa kuwasaka wale
Wa tuma kwenye namba hii mwaka jana hapa
Jamaa kabainika nae yupo kwenye lile crew..
Saiv inaenda mwaka jamaa yupo segerea sifa
Sio nzuri hao huyo jamaa ni tiktoker ana sifa.
Kwamba asipoongea umasikini ndio unaishaHuyu jamaa mda wote Ni kutukana watu wote wasio na kipato Kama yeye. Kazi Ni kupost magari na nyumba anazopigia picha. Anakera Sana. Sio uungwana Kama Ni fedha Ni zako sie zinatuhusu Nini?
Picha ipo wapiSent by Iphone 14 pro