Hivi huyu jamaa anajiita Chief Godlove kwani hakuna sheria inayokataza kutukana mitandaoni? Yeye Kila siku Ni kutukana watu wasio matajiri

Hivi mtu maskini ndo anafananaje, kama unatimiza basic needs za kila siku we tayari sio maskini, afu hawa bongo watu wengi ni malimbukeni wa pesa wanapambana kwa nguvu mixer kuroga na dili haramu ilimradi wawe RICH but they ain't WEALTHY, wanatamba lakini anguko lao lipo miguuni mwao na huwa hawatoboi hata 5 yrs, watu wa design hii utawaskia wanasema 'tafuta hela kijana' kauli ya kipumbavu ambayo huwezi kuiskia kwa mtu anayejitambua
 
Jamaa nimeona clip zake aisee kama una njaa haifai kumsikiliza maana ni full maneno ya shombo.

Amemnunulia Mbwa wake Crown na pia mbwa wake wanakula kuku wa KFC na Maziwa ya ASAS.

Sasa kwa Madharau hayo kweli watu watatnunua nguo zake? Maana anawatusi na kuwaambia kama Masikini usivae nguo zake ,brand yake ni kwa matajiri tu.
 

Alaaaaa! Yeye mwenyewe anakula nini sasa
 
Alaaaaa! Yeye mwenyewe anakula nini sasa

Ndiyo ujiulize ,kama mbwa anakula makuku ya KFC je yeye? Kwa Biashara ya nguo tu hawezi kuwa na jeuri hiyo usikute wameuza mashamba ya urithi huko anakuja kuwachetua watu mitandaoni.

Kutwa kushika pesa ambazo hazizidi hata 10m na kuzionyesha onyesha , nyumba anayokaa akirecord ni makelele ya vyura sijui anakaa karibu ya bwawa au vyura wa masharti hahaaa.
 
Huyo jamaa anapatikana wapi..?
 
Mwambieni hakuna jipya chini ya jua.
Atakuwa ametoka familia yenye background ya ufukara kwa hiyo yeye kupata vijisenti makalio yanamuwasha kila kukicha.
Acha kututusi tuliokulia kwwnye ufukara wewe.
 
Duh ndo namsikia hapa natafuta threads zake mbona sioni🤔🤔🤔
 
Kumbe haya majamaa y
a tuma kwa namba hii wanapata hela yakieleweka?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…