Media uangalia sokoBongo media zinashadadia ujinga mtu unampaje interview zumaridi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Media uangalia sokoBongo media zinashadadia ujinga mtu unampaje interview zumaridi?
Sio mkorogo ni putiKeshapaka mkorogo sasa Kawa Binti kigori
Hata huyo Millard ayo anayemrusha hewani kila siku Kwa sababu ya visenti vya kishetani anaendekezA upuuzi tuNimetizama mahojiano ya huyu anayejiita mfalme Zumaridi na Mtangazaji wa Clouds, Millard Ayo na nimebaki na maswali mengi sana lakini kubwa ni kwamba ANATUCHUKULIAJE WATANZANIA?
Bongo media zinashadadia ujinga mtu unampaje interview zumaridi?
Ilifutwa haina ushahidi, alikuwa na bifu na police na sio bifu na mahakamaHivi KESI yake Ilikuwaje?! Vinega wa kike kama hawa ni kuwawekea sumu tu wafie mbali.
Nimetizama mahojiano ya huyu anayejiita mfalme Zumaridi na Mtangazaji wa Clouds, Millard Ayo na nimebaki na maswali mengi sana lakini kubwa ni kwamba ANATUCHUKULIAJE WATANZANIA?
Zumaridi anasema akiwa darasa la 3 alitokewa na MUNGU akiwa na umbo la JUA lakini USIKU (Kwa hiyo yeye aliweza kuangalia JUA tena lililotokea Usiku)
Anasema yeye ameshaenda Mbinguni mara nyingi sana na mbinguni kuna nyumba za ghorofa na alipoenda motoni alikuta watu wanamlilia awaokoe wengine wanaongea KISUKUMA.
Zaidi anasema ameshakutana na Ibrahimu ambaye alimtambulisha kwa Eliya na Yakobo, na eti ALIINGIA KWENYE OFISI YA MUNGU.
Ningehoji Wasukuma mnatukuliaje sisi lakini nitaonekana mkabila, naacha tu
Mwenye muda akatazame kwa Millard.
View attachment 2549515
Millard anaenda na upepo, anajua waTZ WENGI tunapenda nini.Bongo media zinashadadia ujinga mtu unampaje interview zumaridi?
Exactly mkuu watanzania ni mazuzu na wapigaji wameshaona tumia dini upige pesa, makanisa yote ya kiwokovu ni upigaji wa pesa,kuna unaye bisha hapa?Taifa limejaa wajing
Mambo ya kijing yaanachiwa tu
Ova
Yesu pia amtambui Zumaridi.Ieleweki mfalme sio Mkristo yeye amtambui Yesu