Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Mfalme some text missing.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawasawa..Mjasiliamali tu
🤣🤣Ujio mpya wa mfalme ni tishio KWA mitume na manabii,
Hivi mume wa mfalme nae anakua mfalme? Au yeye ndio malkia?Hana mume jimbo lipo Wazi
Wengine tunatoa stress humu acha tu
Huo sio ujasiriamali, tafuta neno jingine.Mjasiliamali tu
Unamaanisha anapiga miguu yote kama ZizzouDejane unakiwasha mama Kila Kona upo
Na ujasirimali unahitaji ubunifu ,Mjasiliamali tu
ooooh.... sasa nimeelewa. njoo nikutoe zingine huku
Malipo mazuri.Bongo media zinashadadia ujinga mtu unampaje interview zumaridi?
ameleta tena episode? ina uongo uongo? nitag sijui hata naipataje hiyo threadUnanivuruga bure twende kule kwa story za steve tukapambane kule
Millard ayo nae vipi!??Nimetizama mahojiano ya huyu anayejiita mfalme Zumaridi na Mtangazaji wa Clouds, Millard Ayo na nimebaki na maswali mengi sana lakini kubwa ni kwamba ANATUCHUKULIAJE WATANZANIA?
Zumaridi anasema akiwa darasa la 3 alitokewa na Mungu akiwa na umbo la jua lakini usiku, kwa hiyo yeye aliweza kuangalia jua tena lililotokea Usiku.
Anasema yeye ameshaenda Mbinguni mara nyingi sana na mbinguni kuna nyumba za ghorofa na alipoenda motoni alikuta watu wanamlilia awaokoe wengine wanaongea kisukuma.
Zaidi anasema ameshakutana na Ibrahimu ambaye alimtambulisha kwa Eliya na Yakobo, na eti aliingia kwenye ofisi ya Mungu. Ningehoji Wasukuma mnatukuliaje sisi lakini nitaonekana mkabila, naacha tu.
Mwenye muda akatazame kwa Millard.
View attachment 2549515[/B]
ameleta tena episode? ina uongo uongo? nitag sijui hata naipataje hiyo thread
Huyu dada hana shida yoyote ya akili nakwambia, wenye shida ya akili ni waumini wakeDada ana shida ya akili au Ndio biashara kuwateka waumini wake maana kuna watz uelewa ni sifuri
Huyu dada hana shida yoyote ya akili nakwambia, wenye shida ya akili ni waumini wake
Alinichefua tu alivyomkumbusha Mama Kanumba kuhusu mwanae kwa kiki za kipuuzi.Aturudishie kanumba wetu aje aifufue bongo muvi