Hivi huyu mtu anayejiita Mfalme Zumaridi anatuchukuliaje?

Hivi huyu mtu anayejiita Mfalme Zumaridi anatuchukuliaje?

Nimetizama mahojiano ya huyu anayejiita mfalme Zumaridi na Mtangazaji wa Clouds, Millard Ayo na nimebaki na maswali mengi sana lakini kubwa ni kwamba ANATUCHUKULIAJE WATANZANIA?

Zumaridi anasema akiwa darasa la 3 alitokewa na Mungu akiwa na umbo la jua lakini usiku, kwa hiyo yeye aliweza kuangalia jua tena lililotokea Usiku.

Anasema yeye ameshaenda Mbinguni mara nyingi sana na mbinguni kuna nyumba za ghorofa na alipoenda motoni alikuta watu wanamlilia awaokoe wengine wanaongea kisukuma.

Zaidi anasema ameshakutana na Ibrahimu ambaye alimtambulisha kwa Eliya na Yakobo, na eti aliingia kwenye ofisi ya Mungu. Ningehoji Wasukuma mnatukuliaje sisi lakini nitaonekana mkabila, naacha tu.

Mwenye muda akatazame kwa Millard.

View attachment 2549515[/B]
Na ana wafuasi huyu
Tena wanaume wenye uchebe wa kutosha 🤣🤣
 
Zumaridi si wa kulaumiwa,bali watu wenyewe kwa sababu ya ujinga wao.
Screenshot_20230212-212215_Chrome.jpg
 
Zumaridi si wa kulaumiwa,bali watu wenyewe kwa sababu ya ujinga wao.View attachment 2549593
Huyu jamaa alipitia huko alikuwa hadi na Phd ya uchawi,aliweza wafikia hadi wale majemedari 6 wa serikali ya shetani, alikuwa na nguvu kuzidi hadi majini, keshafika hadi sayari zingine tusizozijua kichawi akiwasiliana na viumbe vya huko.

Akaacha yote akaamua kurudi kwa Mungu leo ni mtumishi Mkubwa na anajua siri nyingi Sana za Shetani anafundisha youtube na media zingine
 
Nimetizama mahojiano ya huyu anayejiita mfalme Zumaridi na Mtangazaji wa Clouds, Millard Ayo na nimebaki na maswali mengi sana lakini kubwa ni kwamba ANATUCHUKULIAJE WATANZANIA?

Zumaridi anasema akiwa darasa la 3 alitokewa na Mungu akiwa na umbo la jua lakini usiku, kwa hiyo yeye aliweza kuangalia jua tena lililotokea Usiku.

Anasema yeye ameshaenda Mbinguni mara nyingi sana na mbinguni kuna nyumba za ghorofa na alipoenda motoni alikuta watu wanamlilia awaokoe wengine wanaongea kisukuma.

Zaidi anasema ameshakutana na Ibrahimu ambaye alimtambulisha kwa Eliya na Yakobo, na eti aliingia kwenye ofisi ya Mungu. Ningehoji Wasukuma mnatukuliaje sisi lakini nitaonekana mkabila, naacha tu.

Mwenye muda akatazame kwa Millard.

View attachment 2549515[/B]
Huyo ni chizi iko siku atasema alikutana na Nyerere buhongwa
 
Bongo ukitaka kupiga hela jifanye punguani

Sijui Ayo nae aliingiwa na nini mpaka kufanya interview na huyu mtu tena alisafiri yeye mwenyewe Millard
 
Hawa manabii wa uongo wote huwa wanaanza kiukweli na Mungu wakiwa na roho Mtakatifu, Mungu akiwainua tu wanaingiwa tamaa na kwenda kumezeshwa Biblia nzima kichwani na waganga wa kienyeji ikiwemo kuwapa upako.

Then wanakuwa na nguvu za giza ( white magic) ya kuwapumbaza na kuwapotosha watu kama alivyokuwa TB joshua, bushiri, Hubert Angel, Ben hinn, Alpha Lukaku,list ni ndefu plus hawa wakubwa wa hapa nyumbani tza.

Nana Bonsam Kwaku huyu ni mganga wa kimataifa anatokea Ghana, anatoa utajiri, upako, hadi sasa keshawamezesha biblia mitume na manabii elf 2 duniani pote.

Wanamezeshwa vipi biblia nzima

Inachukuliwa ukurasa wa Mwanzo kitabu cha Mwanzo na ukurusa wa mwisho wa kitabu cha ufunuo, kisha vinachanganywa na dawa za kichawi zenye nguvu za kipepo kisha unakunywa bible yote inakaa kichwani.
Hizi ni siku za hatari sana wengi ni manabii wa uongo usivutike Sana kirahisi.

Hawa wote uanza na Mungu umaliza na shetani.

Sio kila kanisa ni la kuingia mengi ni makanisa ya mashetani, KWA muonekano wa nje wa Kikristo
 
Huyu jamaa alipitia huko alikuwa hadi na Phd ya uchawi,aliweza wafikia hadi wale majemedari 6 wa serikali ya shetani, alikuwa na nguvu kuzidi hadi majini, keshafika hadi sayari zingine tusizozijua kichawi akiwasiliana na viumbe vya huko.
Akaacha yote akaamua kurudi kwa Mungu leo ni mtumishi Mkubwa na anajua siri nyingi Sana za Shetani anafundisha youtube na media zingine
Hongera km na wewe ni mfuasi wa huyu mwamba mimi ni mmoja wao haswaaa!!
 
Nimetizama mahojiano ya huyu anayejiita mfalme Zumaridi na Mtangazaji wa Clouds, Millard Ayo na nimebaki na maswali mengi sana lakini kubwa ni kwamba ANATUCHUKULIAJE WATANZANIA?

Zumaridi anasema akiwa darasa la 3 alitokewa na Mungu akiwa na umbo la jua lakini usiku, kwa hiyo yeye aliweza kuangalia jua tena lililotokea Usiku.

Anasema yeye ameshaenda Mbinguni mara nyingi sana na mbinguni kuna nyumba za ghorofa na alipoenda motoni alikuta watu wanamlilia awaokoe wengine wanaongea kisukuma.

Zaidi anasema ameshakutana na Ibrahimu ambaye alimtambulisha kwa Eliya na Yakobo, na eti aliingia kwenye ofisi ya Mungu. Ningehoji Wasukuma mnatukuliaje sisi lakini nitaonekana mkabila, naacha tu.

Mwenye muda akatazame kwa Millard.

View attachment 2549515[/B]
Eeeh kazi ipo
 
Hawa wahubiri wa kisasa wanaoishi wenye makanisani yao na ukwasi mkubwa wana mambo mawili. Baadhi yao ni vichaa na baadhi yao ni matapeli.

1. Vichaa: Hawa wanakuwa na zile mambo kuwa wameongea na Mungu. Wamefika kuzima na mambo mengine yanayoonyesha matatizo ya akili. Hapa utamkuta Mfalme Zumaridi, Babu wa Loliondo, Nabii Tito nk.


2. Kundi la pili ni matapeli ambao wanafanya kazi hii kwaajili ya kupata pesa. Hili ndiyo wengi. Hawa hata wakisema wanaponya, wanatoa mapepo au wamefanya miujiza fulani huwa wanafahamu kuwa wanadanganya. Hawaamini wanachokisema. Hapa utawakuta watu kama Mwamposa, Gwajima, Rwakatare, Bushiri, Mzee wa upako, Pilipili, Masanja, Geodavie nk nk.
Hawa utawakuta wanaishi maisha ya kifahari sana na matendo yao hayaendani kabisa na watumishi wa Mungu.

Wahubiri wa kisasa karibu wote wanaangukia kwenye hizo categories mbili.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hii dunia ina machizi mengi sana ...mbona wengi tu wanasema wameongea na Mungu.Msamehe bure tu kuna kitufe cha mawasiliano kichwani kwake kilinyofoka[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom