Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo naniNaona "unikumbuke" tayari keshasajiliwa kwa nabii mkuu kalamba milioni 10
Hata chombo Cha habari kinachomhoji nacho ni Cha ajabu!Nimetizama mahojiano ya huyu anayejiita mfalme Zumaridi na Mtangazaji wa Clouds, Millard Ayo na nimebaki na maswali mengi sana lakini kubwa ni kwamba ANATUCHUKULIAJE WATANZANIA?
Zumaridi anasema akiwa darasa la 3 alitokewa na Mungu akiwa na umbo la jua lakini usiku, kwa hiyo yeye aliweza kuangalia jua tena lililotokea Usiku.
Anasema yeye ameshaenda Mbinguni mara nyingi sana na mbinguni kuna nyumba za ghorofa na alipoenda motoni alikuta watu wanamlilia awaokoe wengine wanaongea kisukuma.
Zaidi anasema ameshakutana na Ibrahimu ambaye alimtambulisha kwa Eliya na Yakobo, na eti aliingia kwenye ofisi ya Mungu. Ningehoji Wasukuma mnatukuliaje sisi lakini nitaonekana mkabila, naacha tu.
Mwenye muda akatazame kwa Millard.
View attachment 2549515
Hili shankupe,Wacha lipige pesa,hii nchi inayoona ni Sawa kijana kasoma shahada ya udakitari,anaendesha bodaboda!!imejaa wajinga wengi sana.Nimetizama mahojiano ya huyu anayejiita mfalme Zumaridi na Mtangazaji wa Clouds, Millard Ayo na nimebaki na maswali mengi sana lakini kubwa ni kwamba ANATUCHUKULIAJE WATANZANIA?
Zumaridi anasema akiwa darasa la 3 alitokewa na Mungu akiwa na umbo la jua lakini usiku, kwa hiyo yeye aliweza kuangalia jua tena lililotokea Usiku.
Anasema yeye ameshaenda Mbinguni mara nyingi sana na mbinguni kuna nyumba za ghorofa na alipoenda motoni alikuta watu wanamlilia awaokoe wengine wanaongea kisukuma.
Zaidi anasema ameshakutana na Ibrahimu ambaye alimtambulisha kwa Eliya na Yakobo, na eti aliingia kwenye ofisi ya Mungu. Ningehoji Wasukuma mnatukuliaje sisi lakini nitaonekana mkabila, naacha tu.
Mwenye muda akatazame kwa Millard.
View attachment 2549515
Kuingia ofisini kwa Mungu.Je,aliondoka na vipeperushi?Ana uhakika haikuwa Gamboshi?Hoja YAKO nini sasa
Pesa mkuuHata chombo Cha habari kinachomhoji nacho ni Cha ajabu!
. Hata anayemuhoji hana akiliNimetizama mahojiano ya huyu anayejiita mfalme Zumaridi na Mtangazaji wa Clouds, Millard Ayo na nimebaki na maswali mengi sana lakini kubwa ni kwamba ANATUCHUKULIAJE WATANZANIA?
Zumaridi anasema akiwa darasa la 3 alitokewa na Mungu akiwa na umbo la jua lakini usiku, kwa hiyo yeye aliweza kuangalia jua tena lililotokea Usiku.
Anasema yeye ameshaenda Mbinguni mara nyingi sana na mbinguni kuna nyumba za ghorofa na alipoenda motoni alikuta watu wanamlilia awaokoe wengine wanaongea kisukuma.
Zaidi anasema ameshakutana na Ibrahimu ambaye alimtambulisha kwa Eliya na Yakobo, na eti aliingia kwenye ofisi ya Mungu. Ningehoji Wasukuma mnatukuliaje sisi lakini nitaonekana mkabila, naacha tu.
Mwenye muda akatazame kwa Millard.
View attachment 2549515
Tushasema kama haumuelewi Mfalume zumaridi ujue wewe ni mfuasi wa shetani😅
Ilifutwa haina ushahidi, alikuwa na bifu na police na sio bifu na mahakama
Kupitia huyu dada ndio utabaini watanzania wengi ni wajinga. Especially waumini wake. They lack reasoning. Ndio utegemee akili kama hizo ziwatoe fisiemu madarakani!!??Dada ana shida ya akili au Ndio biashara kuwateka waumini wake maana kuna watz uelewa ni sifuri
Bongo pa kingese sana. Ujinga ujinga ndio unapewa media kwasababu wtz wengi wanapenda ujinga ujingaBongo media zinashadadia ujinga mtu unampaje interview zumaridi?
Kosa lipiAlioatikana na hatia kwenye kosa moja. Wakamhukumu kifungo Cha miezi Saba, lakini akatumikia Mwezi mmoja kwasasababu alikuwa amekaa ndani miezi sita.