Hivi huyu pichani sio Ali Remtullah?

Hivi huyu pichani sio Ali Remtullah?

Hii ndio ilikuwa cake yake siku ya birthday mwaka 2014,na alianza kuinyonya kwenye hio cake
tapatalk_1523435729339.jpeg
 
Mkuu hi kitu haipo.. Nakuahidi any amount of money ukiweza kuhusisha genes na sex orientation. Any Amount.

Don't fall for propaganda. Hakuna na haijawahi tokea. Sex orientation ni zao la mazoea na kujifunza/Mazingira.

Nataka tumtafute Huyo mwenye corrupted genes.. Kisayansi tuone anavyokuwa agoga naturally!

TV shows, Celebrities kutumika kuwapamba mashoga ..vimewabrainwash vijana wengi wanajikuta wanaamini hivo vitu.. Haomastaa wanapitia manipulation za ajabu just to become who they are.. Kifupi hakuna DNA wala nn ni akili.

Its all in mind. Hakuna uhusiano wowote Wa genes na sex orientation..
No comment.
 
ID yako inaonyesha ww ni ke,ikitokea kwenye familia yako akatokea mtt mwenye hivyo vinasaba vya ushoga utaona poa tuu si ndio?...
Ndiyo na nitampenda kama wanangu au wajukuu wangu wengine. Point. I know what I am talking about.
 
Jamaa mbona ni shoga from longtime. jirani yangu hapa Kunduchi alikuwa anapiga, sijui bado anapiga. ngoja nitaamuliza
 
Jamaa chafu sana hili hadi kinyaa.. Nahisi kuchefuka sana nikimuona, bwabwa hili ptuuuuhh
 
Back
Top Bottom