Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Hapana kaka ni fashion tuDada kwani na Wewe unapenda ' Kutambaliziwa ' kama Yeye?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana kaka ni fashion tuDada kwani na Wewe unapenda ' Kutambaliziwa ' kama Yeye?
Hapana kaka ni fashion tu
Asante kaka/rafiki na mimi nilitaka ku fit in na wadada wa mjiniHapana Mimi kama Kaka yako na Rafiki yako sitaki na siruhusu ufanye hivyo na endapo utathubutu kufanya hivyo basi Mimi na Wewe Urafiki wetu ndiyo utakuwa umefikia Kigoma / Mwisho. Wapo Wanawake wa kufanya huo ' Upuuzi ' ila siyo kwa Mwanamke Wewe wa Heshima yako na mwenye thamani kubwa iliyotukuka. Waachie Wanawake na Wanaume ' wanaotambaliziwa ' ndiyo wafanye huo ' Ushenzi ' tafadhali Dada.
Asante kaka/rafiki na mimi nilitaka ku fit in na wadada wa mjini
Wewe mbona unasikiliza Taarabu ?Hapana Mimi kama Kaka yako na Rafiki yako sitaki na siruhusu ufanye hivyo na endapo utathubutu kufanya hivyo basi Mimi na Wewe Urafiki wetu ndiyo utakuwa umefikia Kigoma / Mwisho. Wapo Wanawake wa kufanya huo ' Upuuzi ' ila siyo kwa Mwanamke Wewe wa Heshima yako na mwenye thamani kubwa iliyotukuka. Waachie Wanawake na Wanaume ' wanaotambaliziwa ' ndiyo wafanye huo ' Ushenzi ' tafadhali Dada.
Dah....kikuku tena?..toka lini?....dah😱Kamani Yule mwana mitindo wa mjini amenikosha na kikuku chake. Hapa nilipo na mimi niko mbioni kununua cha kwangu m
Mkuu mbona una maswali kama uko DW?Dada kwani na Wewe unapenda ' Kutambaliziwa ' kama Yeye?
Tobba......Mbona huyo ni mke wa mtu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]God forbid... But wanaume wengi walio kwenye hii industry kama sio kabisa basi wana viashiria
njoo zanzibar nikununulie na nikuvalisheJamani Yule mwana mitindo wa mjini amenikosha na kikuku chake. Hapa nilipo na mimi niko mbioni kununua cha kwangu m