Hivi huyu pichani sio Ali Remtullah?

Hivi huyu pichani sio Ali Remtullah?

Nchi za wenzetu watu wengi wa fashion, modelling, saloon wengi ni mashoga na siyo jambo la ajabu. Tutachukua muda kukubali hii hali ila yawezekana wachangiaji wengine wana vinasaba hivyo ila hawakubali ukweli otherwise tusingekuwa na neno Tigo.
;
sio kweli nchi za wenzetu wanajiheshim usidanganye watu ila tz mashoga kibao kwenye kitengo hicho
 
Basi wewe ni mmimi!

Ukiona nduguyo anakosea unanuonya au unamuacha akosee?!

Ukiona mtoto usiyemfahamu anafanya mzaha barabarani unamuacha acheze na Barbara au unamvusha na kumuonya?!

Kama unawajali wengine, haupaswi kugeneralize vitu kwa maneno rahisi hivyo.

Hakuna mtu anaonea wivu ujinga.. Hatukuumbwa tufanye mapenzi kwa starehe tu.. Kubwa ni kuzaana pia.

Faida za sisi kuzaana ndio zimeifanya Leo unaiona Tanzania.. Wanaume wamefanya lazo ilipaswa kufanyika.. Ushoga unatuchelewesha kuijaza dunia..

Natamani wasiwepo kabisa mashoga. Na wala tusiige norms za mataifa mengine..haitufanyi kuwa wa maana hata kidogo.. Sana tunaonekana ni Bender's fuata upepo. Tusifanganyike hili sio kawaida..no matter how hard they are trying to paint it as normal.
Hao mashoga "wanaowachelewesha" kuijaza dunia wako wangapi??

Tena nadhani wao ndio wanasaidia ku balance nature.
 
Wadau,hii picha nimeingalia mara tano nakujikuta kana macho yangu yananiambia huyu ni gwiji la Fashiooonnn(kwa sauti ya Deo Kitama) Ali Remtulla...nimejikuta nashangazwa na hilo pozi lake mbaya zaidi hapo mguuni kwenye nyekundu kapiga kikuku Daah hii ni dalili ya kuwa watu wanafukua mtaro hapo asee dunia hii.
Naomba kusahihishwa kama niliyemtaja na anayeonekana kwenye picha sio..

Kumbe ukiona hiyo alama ujue kufanya usafi ruksa???
 
Mkuu hi kitu haipo.. Nakuahidi any amount of money ukiweza kuhusisha genes na sex orientation. Any Amount.

Don't fall for propaganda. Hakuna na haijawahi tokea. Sex orientation ni zao la mazoea na kujifunza/Mazingira.

Nataka tumtafute Huyo mwenye corrupted genes.. Kisayansi tuone anavyokuwa agoga naturally!

TV shows, Celebrities kutumika kuwapamba mashoga ..vimewabrainwash vijana wengi wanajikuta wanaamini hivo vitu.. Haomastaa wanapitia manipulation za ajabu just to become who they are.. Kifupi hakuna DNA wala nn ni akili.

Its all in mind. Hakuna uhusiano wowote Wa genes na sex orientation..
Nakazia hapo
 
Soma historia watu walipolazimishwa kusema dunia ni flat si walikataa wakauawa? Acha watu waishi wanavyoamua mradi hawaingilii kwenye maisha yako. Kama wewe ni straight basi jali maisha yako. What does it to do with others? Mnawalaumu mnawasema lakini wakimwaga misaada mnapokea. Kumbuka misaada mnayopokea watoaji wakubwa ni ma gay.
ID yako inaonyesha ww ni ke,ikitokea kwenye familia yako akatokea mtt mwenye hivyo vinasaba vya ushoga utaona poa tuu si ndio?...
 
JAMAN MBONA HAPA JF KUNA MEMBER NI SHOGA NA YUPO VERIFIED KABISAAAA NA NI SMART ANAVAA VIZURI NA NI MTU MAARUFU.......ngoja ninyamaze nisije kulaa ban....!!!
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
Back
Top Bottom