absamb
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 544
- 450
Kesho tusikie akitetea mwanaume kuvaa shanga kiunoni ni fashiiiiion.We jamaa ina maana hujui km kuvaa kikuu mwanaume ni upunga na unatetea kabisa km sio punga wewe cjui
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kesho tusikie akitetea mwanaume kuvaa shanga kiunoni ni fashiiiiion.We jamaa ina maana hujui km kuvaa kikuu mwanaume ni upunga na unatetea kabisa km sio punga wewe cjui
Mimi sijui na sijali kama wanaovaa vikuku ni ME wa ukweli au vinginevyo.Unaongelea Tanzania au? Plz, kikwetukwetu, kiasilia yetu kiTZ, Me wa ukweli hawavai vikuku. Unless hujazaliwa TZ
She looks good..oooh sorry he looks goodView attachment 737619 Wadau,hii picha nimeingalia mara tano nakujikuta kana macho yangu yananiambia huyu ni gwiji la Fashiooonnn(kwa sauti ya Deo Kitama) Ali Remtulla...nimejikuta nashangazwa na hilo pozi lake mbaya zaidi hapo mguuni kwenye nyekundu kapiga kikuku Daah hii ni dalili ya kuwa watu wanafukua mtaro hapo asee dunia hii.
Naomba kusahihishwa kama niliyemtaja na anayeonekana kwenye picha sio..
Kwani siruhusiwi kufanya hivyo??Mkuu umehamia siasa tena.
Nimeshaelewa unasimamia wapi. Ila kibongo bongo, haikubaliki. Bado saaana kukubali vijana wetu kuwa mashoga.Mimi sijui na sijali kama wanaovaa vikuku ni ME wa ukweli au vinginevyo.
Ninachojua na ninachojali ni kuwa, kuvaa kikuku au kutovaa kikuku au kuwa shoga au kutokuwa shoga ni mambo binafsi ambayo sina mamlaka ya kumuelekeza au kumkemea yeyote, na hivyo hakuna mwenye mamlaka ya kufanya hivyo pia.
Jaman jaman zaman ndo nilijuaa haya mambo ni siri yesterday nilikuwepo club mojaa baada ya kutoka harusini niliishiaa kufungaa macho .....ushoga umekuwaa kawaidaaa wanaume wanaganyaa mambo ambayo hayafai jamani Mungu atunusu mpkaa nikaona kama ndo duniaa inakaribia kuishaaNimeshaelewa unasimamia wapi. Ila kibongo bongo, haikubaliki. Bado saaana kukubali vijana wetu kuwa mashoga.
What difference does it make??Nimeshaelewa unasimamia wapi. Ila kibongo bongo, haikubaliki. Bado saaana kukubali vijana wetu kuwa mashoga.
Yes bt sio sanaaa though mwili umemuanzaaaaFIDERINE IRANGA KAWA BONGE TENA?
Yawezekana na wewe ni mmoja wao. Kama haikuhusu kwanini uishikie bendera. Jitafakari na amua.Kwa hiyo unataka na sisi tukubali Kama nchi zingine peleka umaandazi huko
Kama wewe ni straight pita tu, wale wenye kujijua ni gays au ni both wanaojificha ndo wanapiga sana kelele. Kama ukifuatilia watu walioua mashoga au kujiua ni wale ambao wamezaliwa hivyo ila hawajikubali. Genes zikiwa corrupted siyo kazi yako ni maumbile. Tusiwalaumu. Mimi ni straight, mama/bibi ila nimetembea duniani nimeishi na hawa watu nimewasikiliza na najua machungu yao ila watu wanawa judge tu. Wakulaumu ni wazazi waliowazaa na genes hizo.Kwa hiyo unataka kusemaje mkuu?
So una support waendelee kufirwa/kutolewa puru sio?Kama wewe ni straight pita tu, wale wenye kujijua ni gays au ni both wanaojificha ndo wanapiga sana kelele. Kama ukifuatilia watu walioua mashoga au kujiua ni wale ambao wamezaliwa hivyo ila hawajikubali. Genes zikiwa corrupted siyo kazi yako ni maumbile. Tusiwalaumu. Mimi ni straight, mama/bibi ila nimetembea duniani nimeishi na hawa watu nimewasikiliza na najua machungu yao ila watu wanawa judge tu. Wakulaumu ni wazazi waliowazaa na genes hizo.
Mimi hainihusu watakavyofanya sababu ndivyo walivyo. Unapowalaumu, anza kwa wazazi wao waliotoa hizo genes corrupted. Wameuawa sana duniani lakini haijawamaliza. Socrates alikuwaje?So una support waendelee ku*****/kutolewa puru sio?
Mtoto mdogo kapelekwa boarding akiwa mzima kakutana na mafirauni wakamzoesha usenge afu usingizie wazazi wao?Mimi hainihusu watakavyofanya sababu ndivyo walivyo. Unapowalaumu, anza kwa wazazi wao waliotoa hizo genes corrupted. Wameuawa sana duniani lakini haijawamaliza. Socrates alikuwaje?
Shindwa...Jaman jaman zaman ndo nilijuaa haya mambo ni siri yesterday nilikuwepo club mojaa baada ya kutoka harusini niliishiaa kufungaa macho .....ushoga umekuwaa kawaidaaa wanaume wanaganyaa mambo ambayo hayafai jamani Mungu atunusu mpkaa nikaona kama ndo duniaa inakaribia kuishaa
.
.
.ila wanasema ukionaa mwanaume ana upingaa saana ushoga kwa nguvu zake esp kwenye mitandao naye ndo hao hao
Soma historia watu walipolazimishwa kusema dunia ni flat si walikataa wakauawa? Acha watu waishi wanavyoamua mradi hawaingilii kwenye maisha yako. Kama wewe ni straight basi jali maisha yako. What does it to do with others? Mnawalaumu mnawasema lakini wakimwaga misaada mnapokea. Kumbuka misaada mnayopokea watoaji wakubwa ni ma gay.Mtoto mdogo kapelekwa boarding akiwa mzima kakutana na mafirauni wakamzoesha usenge afu usingizie wazazi wao?
Rais Museveni aliajiri ma Dr. Kuchunguza chanzo kikubwa cha ushoga na report ikatoka ni vijana kujienddkeza tu.
Town hapa wanaume kibao wanapigwa miti kisa wanapenda magari;nyumba nzuri afu uje useme eti mambo ya wazazi,Maajabu sana aisee.
Naunga mkono hoja na hao ndo wengi walioanzisha msemo wa Tigo.Jaman jaman zaman ndo nilijuaa haya mambo ni siri yesterday nilikuwepo club mojaa baada ya kutoka harusini niliishiaa kufungaa macho .....ushoga umekuwaa kawaidaaa wanaume wanaganyaa mambo ambayo hayafai jamani Mungu atunusu mpkaa nikaona kama ndo duniaa inakaribia kuishaa
.
.
.ila wanasema ukionaa mwanaume ana upingaa saana ushoga kwa nguvu zake esp kwenye mitandao naye ndo hao hao
Wapokee misaada kutoka kwa Mapunga/wasagaji au popte pale hai change facts kwamba hilo ni tatizo la kujitakia.Soma historia watu walipolazimishwa kusema dunia ni flat si walikataa wakauawa? Acha watu waishi wanavyoamua mradi hawaingilii kwenye maisha yako. Kama wewe ni straight basi jali maisha yako. What does it to do with others? Mnawalaumu mnawasema lakini wakimwaga misaada mnapokea. Kumbuka misaada mnayopokea watoaji wakubwa ni ma gay.
Amini unachotaka naishi kivyako. Watu kama wewe ni mixed genes ila mnajikataa. Mtu ambaye ni straight hana hata time ya kupinga hivi vitu. Nenda tena kwenye vitabu vya saikolojia ujitafakari. Bye tusiongee tena.Wapokee misaada kutoka kwa Mapunga/wasagaji au popte pale hai change facts kwamba hilo ni tatizo la kujitakia.
Taasisi za kidini/ma hospital zinapokea pesa nyingi tu kutoka rotary na taasisi kibao zinazofungamana na secret societies kwani hii inawafanya wapokea misaada kuwa sehemu ya hizo societies?