Hivi huyu pichani sio Ali Remtullah?

Hivi huyu pichani sio Ali Remtullah?

Nchi za wenzetu watu wengi wa fashion, modelling, saloon wengi ni mashoga na siyo jambo la ajabu. Tutachukua muda kukubali hii hali ila yawezekana wachangiaji wengine wana vinasaba hivyo ila hawakubali ukweli otherwise tusingekuwa na neno Tigo.
;
Kwa hiyo unataka na sisi tukubali Kama nchi zingine peleka umaandazi huko
 
Hahahhhh spring chicken uwiiiii JF pazurijeeeee
Huyu mwenye nyeusi anafanana na dada mmoja hivi enzii zileeeeee alikuwa kibongeee akaja akapungua ghafla tena alipungua sanaaaa amerudi amekuwa na kilo zote hizi tena?? Kweli Mungu anajua kuumba
Fideline Iranga
 
Huwezi kupanga nani ampende nani, na nani avae kipi.

Kama hiyo ndio tafsiri yako ya kukemea mabaya utakuwa na matatizo makubwa ya kisaikolojia kuliko ujinga niliodhani unao.

Mimi sina uwezo wa kukemea au kumuelekeze nani ampende nani.

Sina nafasi ya kupanga jema na baya ni lipi. (Kwa mfano kuvaa kikuku)

I have my own standards for my own life, not others' .

Hivyo, yeye naye anazo standards zake ambazo hazipaswi kuingiliwa.
Walengwa mmeanza kuumia baada ya rafiki yenu kunaswa na camera
 
Ndio tafsiri yako uliyofundishwa huko kwenye shule za kata???
We jamaa unatetea nini wewe? We utakua mmoja wao tu nasoma comments zako zinabase katika kuwafanya watu wanyamaze tu kisa mtu anaishi ndani ya standards zake hata km anafanya ucho.ko....hilo halipo tutapiga kelele...au huko kwa baba ako na mama ako wamewaruhus nyie kuwa mashoga?
 
Huyo dogo naona anatetea tangu mwanzo,bila shaka na huyu ni mmojawao
We jamaa unatetea nini wewe? We utakua mmoja wao tu nasoma comments zako zinabase katika kuwafanya watu wanyamaze tu kisa mtu anaishi ndani ya standards zake hata km anafanya ucho.ko....hilo halipo tutapiga kelele...au huko kwa baba ako na mama ako wamewaruhus nyie kuwa mashoga?
Jamaa lazima anapumuliwa huyu,kuna uzi huko anatetea watoto wa kiume Uk kuvaa sketi.Yaani kwake ni kawaida
 
Back
Top Bottom