Hivi huyu pichani sio Ali Remtullah?

Hivi huyu pichani sio Ali Remtullah?

View attachment 737619 Wadau,hii picha nimeingalia mara tano nakujikuta kana macho yangu yananiambia huyu ni gwiji la Fashiooonnn(kwa sauti ya Deo Kitama) Ali Remtulla...nimejikuta nashangazwa na hilo pozi lake mbaya zaidi hapo mguuni kwenye nyekundu kapiga kikuku Daah hii ni dalili ya kuwa watu wanafukua mtaro hapo asee dunia hii.
Naomba kusahihishwa kama niliyemtaja na anayeonekana kwenye picha sio..
mwaka flan nakumbuka kijana wangu alikuwa kidato cha tatu akaniambia kuwa kikundi chao cha mitindo pale school kwao(dar sec) wamepata mualiko sehem!dah hii siku nilishtuka utadhani nimepokea habar ya msiba na nlimkata kijana jicho na matusi yote nahisi nilimpa maana mwisho wake nilijua utakuwa kuvaa vikuku
tu!toka hiyo siku sikuwah kumsikia na hizo mambo na nilimshukuru mungu,alipomaliza kidato cha nne nakumbuka nilimwomba msamaha kwa ile siku na kijana akasema nisijali maana nilimwokoa na mwisho waliokutana nao wenzake
 
We utakua punga huwezi kutetea mwanaume mzima avae kikuku kama wewe sio mmoja wao
Wewe mtoto wa shule ya kata na brain yako butu yenye ugaga hata nikikueleza nini utaelewa????

Hebu kojoa ulale huenda ujinga utakutoka!!
 
Walengwa mmeanza kuumia baada ya rafiki yenu kunaswa na camera
Rafiki yetu nani?

Utakuwa na matatizo ya ubongo wewe!!

Mimi nazungumza kuhusu uhalisia, na wala sihitaji niwe rafiki yake ili nimtetee au niwe adui yake ili nimponde.

Popote pale penye uhalisia nazungumza tu bila kujali muhusika ni adui au rafiki yangu.

Hilo kwako ni gumu sana kuelewa maana kichwani umejaza uji mzito.

Ndio ninyi vijana wa bavicha mnaodhani kila anayemsifu magufuli ni CCM, au kila anayemponda ni Chadema.

Ukweli ni ukweli tu bila kujali mlengwa ni rafiki au adui.
 
We jamaa unatetea nini wewe? We utakua mmoja wao tu nasoma comments zako zinabase katika kuwafanya watu wanyamaze tu kisa mtu anaishi ndani ya standards zake hata km anafanya ucho.ko....hilo halipo tutapiga kelele...au huko kwa baba ako na mama ako wamewaruhus nyie kuwa mashoga?
Hebu andika taratibu nikuelewe.

Unatapa tapa tu.

Haya sasa, unasemaje???
 
Kuvaa kikuu sio tiketi au ishara ya moja kwa moja ya ushoga.

Anaweza kuvaa kikuku akawa shoga au asiwe shoga, na hata kama angekuwa shoga au asingekuwa shoga hiyo hainuhusu mimi wala yeyote.

So, what's the big deal here??

Are you hurt or something??
kwa hizi comments zako hakuna shaka we ni ch.oko kabiisaa
 
We jamaa ina maana hujui km kuvaa kikuu mwanaume ni upunga na unatetea kabisa km sio punga wewe cjui
Kwahiyo kama nikijua kuwa kuvaa kikuku ni upunga ndio napata mamlaka ya kukemea?

Mimi sina mamlaka ya kukemea nani avae nini.


Hayo ni mamlaka ya majuha kama wewe ambao wanaona personal privacy ni masuala yanayotakiwa kujadiliwa na taifa.
 
Nchi za wenzetu watu wengi wa fashion, modelling, saloon wengi ni mashoga na siyo jambo la ajabu. Tutachukua muda kukubali hii hali ila yawezekana wachangiaji wengine wana vinasaba hivyo ila hawakubali ukweli otherwise tusingekuwa na neno Tigo.
;
ulichosema ni kweli. Me mashogha wapo sana kwenye fashion industry. Ukienda maduka ya nguo, me wanaofanya kazi humo wengi ni gays. Hata kwenye massage parlour, kutengeneza kucha, karibu wote ni mashogha.
 
Kuvaa kikuu sio tiketi au ishara ya moja kwa moja ya ushoga.

Anaweza kuvaa kikuku akawa shoga au asiwe shoga, na hata kama angekuwa shoga au asingekuwa shoga hiyo hainuhusu mimi wala yeyote.

So, what's the big deal here??

Are you hurt or something??
Unaongelea Tanzania au? Plz, kikwetukwetu, kiasilia yetu kiTZ, Me wa ukweli hawavai vikuku. Unless hujazaliwa TZ
 
Rafiki yetu nani?

Utakuwa na matatizo ya ubongo wewe!!

Mimi nazungumza kuhusu uhalisia, na wala sihitaji niwe rafiki yake ili nimtetee au niwe adui yake ili nimponde.

Popote pale penye uhalisia nazungumza tu bila kujali muhusika ni adui au rafiki yangu.

Hilo kwako ni gumu sana kuelewa maana kichwani umejaza uji mzito.

Ndio ninyi vijana wa bavicha mnaodhani kila anayemsifu magufuli ni CCM, au kila anayemponda ni Chadema.

Ukweli ni ukweli tu bila kujali mlengwa ni rafiki au adui.
Mkuu umehamia siasa tena.
 
Back
Top Bottom