Mwalwiba
JF-Expert Member
- Dec 1, 2017
- 235
- 92
Kaulize LamuFunguka zaidi mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaulize LamuFunguka zaidi mkuu
Henry yupi Mkuu!Yule henry aliyekua na tatizo kwenye utumbo!wanasema bwana wake alimzidishia dozi ndo akafwarikii[emoji26]
mwaka flan nakumbuka kijana wangu alikuwa kidato cha tatu akaniambia kuwa kikundi chao cha mitindo pale school kwao(dar sec) wamepata mualiko sehem!dah hii siku nilishtuka utadhani nimepokea habar ya msiba na nlimkata kijana jicho na matusi yote nahisi nilimpa maana mwisho wake nilijua utakuwa kuvaa vikukuView attachment 737619 Wadau,hii picha nimeingalia mara tano nakujikuta kana macho yangu yananiambia huyu ni gwiji la Fashiooonnn(kwa sauti ya Deo Kitama) Ali Remtulla...nimejikuta nashangazwa na hilo pozi lake mbaya zaidi hapo mguuni kwenye nyekundu kapiga kikuku Daah hii ni dalili ya kuwa watu wanafukua mtaro hapo asee dunia hii.
Naomba kusahihishwa kama niliyemtaja na anayeonekana kwenye picha sio..
Wewe mtoto wa shule ya kata na brain yako butu yenye ugaga hata nikikueleza nini utaelewa????We utakua punga huwezi kutetea mwanaume mzima avae kikuku kama wewe sio mmoja wao
Rafiki yetu nani?Walengwa mmeanza kuumia baada ya rafiki yenu kunaswa na camera
Hebu andika taratibu nikuelewe.We jamaa unatetea nini wewe? We utakua mmoja wao tu nasoma comments zako zinabase katika kuwafanya watu wanyamaze tu kisa mtu anaishi ndani ya standards zake hata km anafanya ucho.ko....hilo halipo tutapiga kelele...au huko kwa baba ako na mama ako wamewaruhus nyie kuwa mashoga?
Jifunze kusoma na kuelewa maudhui badala ya kurukia watu vichwani kwa mihemko.
Sitetei ufirauni, natetea uhalisia.
We jamaa ina maana hujui km kuvaa kikuu mwanaume ni upunga na unatetea kabisa km sio punga wewe cjuiNdio tafsiri yako uliyofundishwa huko kwenye shule za kata???
Hebu andika taratibu nikuelewe.
Unatapa tapa tu.
Haya sasa, unasemaje???
kwa hizi comments zako hakuna shaka we ni ch.oko kabiisaaKuvaa kikuu sio tiketi au ishara ya moja kwa moja ya ushoga.
Anaweza kuvaa kikuku akawa shoga au asiwe shoga, na hata kama angekuwa shoga au asingekuwa shoga hiyo hainuhusu mimi wala yeyote.
So, what's the big deal here??
Are you hurt or something??
oneni hili lijamaa hahahaaa vaa wewe hicho kikuku upite mtaani uone kama hujashika ta,ko pung.a weweNdio tafsiri yako uliyofundishwa huko kwenye shule za kata???
Sawa nimekusikia dada.kwa hizi comments zako hakuna shaka we ni ch.oko kabiisaa
Punga wewe!!!oneni hili lijamaa hahahaaa vaa wewe hicho kikuku upite mtaani uone kama hujashika ta,ko pung.a wewe
Zila the G.ayPunga wewe!!!
Zila the G.aySawa nimekusikia dada.
Kwahiyo kama nikijua kuwa kuvaa kikuku ni upunga ndio napata mamlaka ya kukemea?We jamaa ina maana hujui km kuvaa kikuu mwanaume ni upunga na unatetea kabisa km sio punga wewe cjui
ulichosema ni kweli. Me mashogha wapo sana kwenye fashion industry. Ukienda maduka ya nguo, me wanaofanya kazi humo wengi ni gays. Hata kwenye massage parlour, kutengeneza kucha, karibu wote ni mashogha.Nchi za wenzetu watu wengi wa fashion, modelling, saloon wengi ni mashoga na siyo jambo la ajabu. Tutachukua muda kukubali hii hali ila yawezekana wachangiaji wengine wana vinasaba hivyo ila hawakubali ukweli otherwise tusingekuwa na neno Tigo.
;
Unaongelea Tanzania au? Plz, kikwetukwetu, kiasilia yetu kiTZ, Me wa ukweli hawavai vikuku. Unless hujazaliwa TZKuvaa kikuu sio tiketi au ishara ya moja kwa moja ya ushoga.
Anaweza kuvaa kikuku akawa shoga au asiwe shoga, na hata kama angekuwa shoga au asingekuwa shoga hiyo hainuhusu mimi wala yeyote.
So, what's the big deal here??
Are you hurt or something??
Mkuu umehamia siasa tena.Rafiki yetu nani?
Utakuwa na matatizo ya ubongo wewe!!
Mimi nazungumza kuhusu uhalisia, na wala sihitaji niwe rafiki yake ili nimtetee au niwe adui yake ili nimponde.
Popote pale penye uhalisia nazungumza tu bila kujali muhusika ni adui au rafiki yangu.
Hilo kwako ni gumu sana kuelewa maana kichwani umejaza uji mzito.
Ndio ninyi vijana wa bavicha mnaodhani kila anayemsifu magufuli ni CCM, au kila anayemponda ni Chadema.
Ukweli ni ukweli tu bila kujali mlengwa ni rafiki au adui.