Hahah hio ndio gia ya mashoga/wasagaji wakihojiwa hua wanajaribu kupunguza kuhojiwa kwa kutupia tuhuma za mixed genes.Amini unachotaka naishi kivyako. Watu kama wewe ni mixed genes ila mnajikataa. Mtu ambaye ni straight hana hata time ya kupinga hivi vitu. Nenda tena kwenye vitabu vya saikolojia ujitafakari. Bye tusiongee tena.
Mkuu kumbe nahitaji Elimu eh? Hongera umenifungua akilakiliRafiki yetu nani?
Utakuwa na matatizo ya ubongo wewe!!
Mimi nazungumza kuhusu uhalisia, na wala sihitaji niwe rafiki yake ili nimtetee au niwe adui yake ili nimponde.
Popote pale penye uhalisia nazungumza tu bila kujali muhusika ni adui au rafiki yangu.
Hilo kwako ni gumu sana kuelewa maana kichwani umejaza uji mzito.
Ndio ninyi vijana wa bavicha mnaodhani kila anayemsifu magufuli ni CCM, au kila anayemponda ni Chadema.
Ukweli ni ukweli tu bila kujali mlengwa ni rafiki au adui.
Haha wakuu hebu mrudisheni kwenye mada husika maana anakimbia uhalisia wake leo atueleze siri nzito afunguke wanavyofaidiiiiiMkuu umehamia siasa tena.
God forbid... But wanaume wengi walio kwenye hii industry kama sio kabisa basi wana viashiria
Manii huwa zinaathiri mfumo dumeSijawahi pia kujua ni kwanini hata ongea yao ina ladha ya kike na mapozi ya kike kwani fashion si me na ke kwa nini wanapenda kuwa na muonekano wa kike?na si kiume?au basi tuseme kwanini wanapenda kufanya na kuwa na vitabia vya kike?Naomba kufahamishwa na mafashionist.
JAMAN MBONA HAPA JF KUNA MEMBER NI SHOGA NA YUPO VERIFIED KABISAAAA NA NI SMART ANAVAA VIZURI NA NI MTU MAARUFU.......ngoja ninyamaze nisije kulaa ban....!!!
Ndo ufirauni huoJifunze kusoma na kuelewa maudhui badala ya kurukia watu vichwani kwa mihemko.
Sitetei ufirauni, natetea uhalisia.
Lahaula lakwata......[emoji15] [emoji15] [emoji15]Mbona huyo ni mke wa mtu
Sure???Oo Mwenyenzi Mungu okoa watoto wetuManii huwa zinaathiri mfumo dume
Asante ingawa umepotea maboya kwangu.Hahah hio ndio gia ya mashoga/wasagaji wakihojiwa hua wanajaribu kupunguza kuhojiwa kwa kutupia tuhuma za mixed genes.
Endeleeni kufirw.a/kufir.a/kusagani kwa ujinga wenu ila msisingizie genes za wazazi wenu.
Nakusoma mstari baada ya mstari...nagundua kitu kizito sana nyuma ya maandishi yako....pole sana mkuuKama wewe ni straight pita tu, wale wenye kujijua ni gays au ni both wanaojificha ndo wanapiga sana kelele. Kama ukifuatilia watu walioua mashoga au kujiua ni wale ambao wamezaliwa hivyo ila hawajikubali. Genes zikiwa corrupted siyo kazi yako ni maumbile. Tusiwalaumu. Mimi ni straight, mama/bibi ila nimetembea duniani nimeishi na hawa watu nimewasikiliza na najua machungu yao ila watu wanawa judge tu. Wakulaumu ni wazazi waliowazaa na genes hizo.
Wewe wa wapi?......watu wa mjini wanajua maana yake...
hapahapa...Wewe wa wapi?
Hahaahhh... DahMbona huyo ni mke wa mtu
Shoga hilo mkuu usijisumbue naloMkuu kumbe nahitaji Elimu eh? Hongera umenifungua akilakili
Kwa nini pole? Mimi sina tatizo ila nimeishi na hawa watu mateso wanayopitia huwezi jua ndo maana wanaishia kuwa drug addicts because they do not who they are! Walio na bahati wakawa wasanii wazuri wameishi, wameoana wenyewe kwa wenyewe lakini ukiangalia wamepitia mikiki ya madawa na ulevi sababu hawakujua wao ni akina nani.Nakusoma mstari baada ya mstari...nagundua kitu kizito sana nyuma ya maandishi yako....pole sana mkuu