Hivi huyu pichani sio Ali Remtullah?

Nchi za wenzetu watu wengi wa fashion, modelling, saloon wengi ni mashoga na siyo jambo la ajabu. Tutachukua muda kukubali hii hali ila yawezekana wachangiaji wengine wana vinasaba hivyo ila hawakubali ukweli otherwise tusingekuwa na neno Tigo.
;
sio kweli nchi za wenzetu wanajiheshim usidanganye watu ila tz mashoga kibao kwenye kitengo hicho
 
Hao mashoga "wanaowachelewesha" kuijaza dunia wako wangapi??

Tena nadhani wao ndio wanasaidia ku balance nature.
 

Kumbe ukiona hiyo alama ujue kufanya usafi ruksa???
 
Nakazia hapo
 
sitashangaa km huyu nae anakaa Kino!
 
ID yako inaonyesha ww ni ke,ikitokea kwenye familia yako akatokea mtt mwenye hivyo vinasaba vya ushoga utaona poa tuu si ndio?...
 
JAMAN MBONA HAPA JF KUNA MEMBER NI SHOGA NA YUPO VERIFIED KABISAAAA NA NI SMART ANAVAA VIZURI NA NI MTU MAARUFU.......ngoja ninyamaze nisije kulaa ban....!!!
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…