Hivi idara ya usalama wa taifa wa Tanzania inahusika na kila kitu hadi uuzaji wa nyanya na vitunguu magengeni?

Hivi idara ya usalama wa taifa wa Tanzania inahusika na kila kitu hadi uuzaji wa nyanya na vitunguu magengeni?

Siyo mjuzi sana wa habari za idara ya usalama wa taifa, Tanzania.

Lakini katika pitapita zangu humu JF, nimekutana na mada kadhaa zilizonishangaza kidogo.

Mtu akienda dukani akikuta bidhaa ambayo haipendi, lawama anabebeshwa usalama wa taifa.

Msanii Diamond umaarufu wake ukianza kupungua, lawama zinaenda kwa usalama wa taifa!

Timu za mpira za Tanzania zisipofanya vizuri kwenye mashindano ya kimataifa, lawama kwa usalama wa taifa!

Ni mimi tu ambaye sielewi dhima nzima ya usalama wa taifa au inakuwaje?

Kwa mfano, usalama wa taifa wanahusikaje na uwepo wa bidhaa za Kenya kwenye maduka ya Tanzania?

Kwa akili zangu hizi za panzi, waamuzi wa mafanikio ya bidhaa ni wateja/ wanunuzi.

Kama wateja/ wanunuzi wanaona bidhaa fulani ni bora kuliko bidhaa ingine, basi wataendelea kuiunga mkono kwa kuinunua.

Na ubora wa bidhaa sidhani kama unahusiana chochote na idara ya usalama wa taifa.

Ubora wa bidhaa unatokana na ubunifu wa mzalishaji. Mzalishaji anapotengeneza bidhaa iliyo bora halafu akaitangaza kwa umma, umma huo ndo utaamua mafanikio ya hiyo bidhaa.

Sasa kama makampuni ya Tanzania hayatengenezi bidhaa zilizo bora kutokana na kushindwa kuwa wabunifu, lawama kwa usalama wa taifa zinahusikaje?

Hmm…..yawezekana ni mimi tu na hizi akili zangu za panzi ndo maana labda sielewi.

Wajuvi na wajuzi wa mambo nijuzeni, tafadhali.
Tatizo usalama wa Taifa umeingiliwa na CCM. Tatizo sio usalama wa Taifa. Tatizo no CCM

Leo CCM kupitia kwa mwenezi wao wanetangaza Derby ya Mzizima, kila goli wanalinunua kwa ng'ombe mmoja..


Sasa huu sio Ukauzu?
 
Hao jamaa wana control kila kitu unachofanya na unachotaka kukifanya na humu ndani afisa vipenyo Aka makachero wapo humu ukitaka kujua zaidi tafuta series inaitwa person of interest utajua mengi zaidi
Tuko watanzania 60m ....Hao wako wangapi waweze kutumudu masaa 24 x 365?
 
Hoja no usalama wa Taifa, hayo ya mengine anzisha hoja take.
Usalama wa taifa ilisha-prove sifuri Tena wakati wa Magufuli ndio kabisa iliji-expose zero kabisa.


Tatizo la wabongo wakisikia Usalama wanadhani, Wana uwezo extraordinary, wanajua kila kitu, wanaingia kila sehemu na wanaweza kufanya kila kitu.
 
Usalama umegawanyika katika nyanga 3

Mambo yote ya kijamii (tamaduni za kitaifa)

Uchumi

Maasi (terrorist)
 
Wao siyo kila kitu nchini.

Walio kila kitu nchini ni wananchi.

Bila wananchi, hakuna nchi.
Kweli kabisa, wananchi wakiwa wa hovyo, vivyo hivyo taasisi zote zikiwemo za usalama zinakuwa hovyo.
Wananchi wakiwa matajiri na nchi huwa tajiri.
Tuna changamoto kubwa ya fikra za kijinga kuwa nchi yaweza kuwa tajiri wakati asilimia kubwa ya wananchi ni masikini.
 
Tuko watanzania 60m ....Hao wako wangapi waweze kutumudu masaa 24 x 365?
Swali murua kabisa hilo Komredi!

Ungekuwepo hapa nilipo ningemwbia weita akusogezee kindoo cha ‘henken’ [Heineken].
 
Jamaa zamani walikuwa na nguvu sana ,

Mfano wakimshauri Rais mtengue fulani wananchi wanampigia kelele hawana imani nae kuwatimikia walikuwa wanasikilizwa,

Ushauri wao ilikuwa kama amri.

Siku hizi sijui kama bado hiyo nguvu bado ipo?!
 
Siyo mjuzi sana wa habari za idara ya usalama wa taifa, Tanzania.

Lakini katika pitapita zangu humu JF, nimekutana na mada kadhaa zilizonishangaza kidogo.

Mtu akienda dukani akikuta bidhaa ambayo haipendi, lawama anabebeshwa usalama wa taifa.

Msanii Diamond umaarufu wake ukianza kupungua, lawama zinaenda kwa usalama wa taifa!

Timu za mpira za Tanzania zisipofanya vizuri kwenye mashindano ya kimataifa, lawama kwa usalama wa taifa!

Ni mimi tu ambaye sielewi dhima nzima ya usalama wa taifa au inakuwaje?

Kwa mfano, usalama wa taifa wanahusikaje na uwepo wa bidhaa za Kenya kwenye maduka ya Tanzania?

Kwa akili zangu hizi za panzi, waamuzi wa mafanikio ya bidhaa ni wateja/ wanunuzi.

Kama wateja/ wanunuzi wanaona bidhaa fulani ni bora kuliko bidhaa ingine, basi wataendelea kuiunga mkono kwa kuinunua.

Na ubora wa bidhaa sidhani kama unahusiana chochote na idara ya usalama wa taifa.

Ubora wa bidhaa unatokana na ubunifu wa mzalishaji. Mzalishaji anapotengeneza bidhaa iliyo bora halafu akaitangaza kwa umma, umma huo ndo utaamua mafanikio ya hiyo bidhaa.

Sasa kama makampuni ya Tanzania hayatengenezi bidhaa zilizo bora kutokana na kushindwa kuwa wabunifu, lawama kwa usalama wa taifa zinahusikaje?

Hmm…..yawezekana ni mimi tu na hizi akili zangu za panzi ndo maana labda sielewi.

Wajuvi na wajuzi wa mambo nijuzeni, tafadhali.
Usalama wa Taifa haupaswi kupuuza kitu chochote chenye kugusa jamii kiuchumi, kisiasa, kijamii n.k.

Nakumbuka kero ya unga ilichangia sana kumngoa Raisi Kaunda Zambia.

Though I agree with you that not every thing is of importance
 
Hao jamaa wana control kila kitu unachofanya na unachotaka kukifanya na humu ndani afisa vipenyo Aka makachero wapo humu ukitaka kujua zaidi tafuta series inaitwa person of interest utajua mengi zaidi

Person of interest ni way beyond intelligence zetu. Tz hatuna Super AI au such kind of deep intel systems kama “the machine”

Only the america with similar project kama code name : prism

Labda general intelligence yes, they are everywhere, whatching,monitoring,reporting
 
Mimi hiko hakinishangazi.....kinachonishangaza ni Kadhia ya Wizi na Ufisadi, matumizi mabaya ya madaraka na uhujumu Uchumi wa Taifa unaofanywa na baadhi ya Viongozi huku tukiaminishwa kuwa hawa jamaa wako kila kona kila ofisi?
Dhima yao hasa ni nini?

Usalama wa Taifa si pamoja na Uchumi wa Taifa?

Naamini Taifa lenye uchumi dhaifu si taifa salama hata kidogo.

Hawa jamaa kazi wanafanya ,probably huo ufisaid huwa wanaujua. Lakin wafanya maamuzi ndio hao hao mafisaid, basdhi ya watunga sheria nao,

Utafanya nn if unapo report ndio wahusika?
 
Sasa naanza kuelewa kwa nini Tanzania ni banana Republic!

Ni kwa sababu ya ujinga kama huu.

Kudhani kuwa usalama wa taifa ndo watengeneza sera za kiuchumi.

Kudhani kuwa usalama wa taifa ni wataalamu wa uchumi na maendeleo!

Hapa tulipo kiuchumi si bahati mbaya wala si ajali.

Ni matokeo ya kutojua cha kufanya.
Ngoja tukuache na uelewa wako kiwa Usalama wa Taifa ni kulinda nchi iwe salama isivamiwe na usalama wa viongozi wa Taifa. Ndio maana unavyojua ni wale wanavaa suti na silaha kiunoni.
Kama mwananchi muelewa wa Pineapple Republican
 
Siyo mjuzi sana wa habari za idara ya usalama wa taifa, Tanzania.

Lakini katika pitapita zangu humu JF, nimekutana na mada kadhaa zilizonishangaza kidogo.

Mtu akienda dukani akikuta bidhaa ambayo haipendi, lawama anabebeshwa usalama wa taifa.

Msanii Diamond umaarufu wake ukianza kupungua, lawama zinaenda kwa usalama wa taifa!

Timu za mpira za Tanzania zisipofanya vizuri kwenye mashindano ya kimataifa, lawama kwa usalama wa taifa!

Ni mimi tu ambaye sielewi dhima nzima ya usalama wa taifa au inakuwaje?

Kwa mfano, usalama wa taifa wanahusikaje na uwepo wa bidhaa za Kenya kwenye maduka ya Tanzania?

Kwa akili zangu hizi za panzi, waamuzi wa mafanikio ya bidhaa ni wateja/ wanunuzi.

Kama wateja/ wanunuzi wanaona bidhaa fulani ni bora kuliko bidhaa ingine, basi wataendelea kuiunga mkono kwa kuinunua.

Na ubora wa bidhaa sidhani kama unahusiana chochote na idara ya usalama wa taifa.

Ubora wa bidhaa unatokana na ubunifu wa mzalishaji. Mzalishaji anapotengeneza bidhaa iliyo bora halafu akaitangaza kwa umma, umma huo ndo utaamua mafanikio ya hiyo bidhaa.

Sasa kama makampuni ya Tanzania hayatengenezi bidhaa zilizo bora kutokana na kushindwa kuwa wabunifu, lawama kwa usalama wa taifa zinahusikaje?

Hmm…..yawezekana ni mimi tu na hizi akili zangu za panzi ndo maana labda sielewi.

Wajuvi na wajuzi wa mambo nijuzeni, tafadhali.
Mkuu Nyani Ngabu

Usalama wa taifa halisi na kwa mjibu wa majukumu ya maslahi ya taifa wanahusika katika bidhaa zinazotengezwa ndani na zinazotoka nje. Kwa maana hiyo idara inatakiwa kuchomeka watu wao katika maeneo tofauti ya uzalishaji, usambaji na matumizi kukidhi usalama wa wananchi ambao ndio wanunuzi na watumiaji wake.

:...To be precise economic intelligence should endeavor to focus on the production, distribution, and consumption of goods and services, as well as labor, finance, taxation, and other aspects of a nation's economy or of the international economic system. Economic intelligence allows a nation to proactively estimate the magnitude of possible military violations. It is therefore any intelligence that helps a competitive economy. Financial and commercial information, the government, and the company information can be evaluated as the information that will affect the investment decisions and risk the relations among the states....."

Espionage is the process of obtaining military, political, commercial, or other secret information by means of spies, secret agents, or illegal monitoring devices. Espionage is sometimes distinguished from the broader category of intelligence gathering by its aggressive nature and its illegality. This is always facilitated by individuals from the host state (Local spies are hired from among the people of a locality. Inside spies are hired from among enemy officials. Reverse spies are hired from among enemy spies. Dead spies transmit false intelligence to enemy spies-undercover or double agent)
 
Nadhani ni kwa sababu Watanzania tumekuwa na mentality ya kuamini kuwa Usalama wa Taifa ni Malaika wanaojua kila kitu,kiasi kwamba cho chote ambacho hakipendezi kikitokea katika Taifa letu tunaamini ni uzembe wao.
Hiyo sasa ni uelewa wako
 
Nchi hii ina wananchi wajinga sana kwa kupitia comment za humu Jamii forums
 
Back
Top Bottom