Hivi ili uwe muokota makopo lazima kichwani ziwe zimepungua?

Hivi ili uwe muokota makopo lazima kichwani ziwe zimepungua?

Shooter Again

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2022
Posts
5,603
Reaction score
9,263
Hivi hii kazi ukitaka kuifanya lazima uwe chizi kidogo maana naonaga waokota makopo kwa asilimia 100% ni kama wamevurugwa akili zao kama hamnazo je ndio mfumo wenyewe wa hizi mishe au ndio kutingwa na maisha magumu nakaribisha maoni yenu waokota makopo na msio waokota makopo ila hii sio kazi ya kufanya Kwa mtu unaejielewa
 
Hao wanaokota makopo sio vichaa au chizi Ila wameathirika na uraibu wa. Pombe , Madawa n.k

Kabla ya kuanza kuokota makopo walikuwa wanafanya kazi ya kupiga debe.

Baadhi yao huwa waapata bahati ya kuokolewa na kurudi kawaida japo hawawezi kuwa productive tena.

Ndo hata mzazi au familia ndugu yenu akianza kunywa Pombe , Bangi n.k mumuombee Sana.
 
As long as mwaka 2090 wote tutakua tushakua crude oil,haina tabu.
 
Hao wanaokota makopo sio vichaa au chizi Ila wameathirika na uraibu wa. Pombe , Madawa n.k

Kabla ya kuanza kuokota makopo walikuwa wanafanya kazi ya kupiga debe.

Baadhi yao huwa waapata bahati ya kuokolewa na kurudi kawaida japo hawawezi kuwa productive tena.

Ndo hata mzazi au familia ndugu yenu akianza kunywa Pombe , Bangi n.k mumuombee Sana.
Nakazia hapa🛠
 
Matako yenu nyie watu wote tukirundikana kwa maofisi na biashara nani ataokota kopo au kuzibua vyoo vyenu mnaokunya mavi makubwa makubwa ya bugger mixer na henken nyau nyie.mshukuruni mungu kuwaweka hapo mlipo other waizi mngekua mashoga
 
Back
Top Bottom