Hivi ilikuaje hadi urafiki wa baba na jirani yake tolu kuvunjika?

Hivi ilikuaje hadi urafiki wa baba na jirani yake tolu kuvunjika?

Mchochezi

JF-Expert Member
Joined
Feb 29, 2012
Posts
10,962
Reaction score
7,830
Wakati wa uhai wake, marehemu baba aliwahi kuwa na urafiki na majirani zake, mmoja wapo ni tolu. Hata pale baba alipopata uongozi wa kijiji ushauri mwingi aliutoa kwa jirani tolu.

lakini katika siku za mwisho za uhai wake hapa duniani, baba alikosana mno na jirani yake tolu, wakawa hata hawajumuiki pamoja kama ilivyokuwa zamani. Nini hasa kilitokea mpaka ujirani huo ukafikia kikomo?
 
Wakati wa uhai wake, marehemu baba aliwahi kuwa na urafiki na majirani zake, mmoja wapo ni tolu. Hata pale baba alipopata uongozi wa kijiji ushauri mwingi aliutoa kwa jirani tolu.

lakini katika siku za mwisho za uhai wake hapa duniani, baba alikosana mno na jirani yake tolu, wakawa hata hawajumuiki pamoja kama ilivyokuwa zamani. Nini hasa kilitokea mpaka ujirani huo ukafikia kikomo?
nasikia baba alimpa tolu hela atumie jina lake kununua kunguru ,miongoni wa wale kunguru, baada kunguru kudakwa kisa deni, tolu akasepa na hela
 
Wakati wa uhai wake, marehemu baba aliwahi kuwa na urafiki na majirani zake, mmoja wapo ni tolu. Hata pale baba alipopata uongozi wa kijiji ushauri mwingi aliutoa kwa jirani tolu.

lakini katika siku za mwisho za uhai wake hapa duniani, baba alikosana mno na jirani yake tolu, wakawa hata hawajumuiki pamoja kama ilivyokuwa zamani. Nini hasa kilitokea mpaka ujirani huo ukafikia kikomo?
Ila mkuu kweli wewe ni mchochezi kha!
 
Tolu kamponza Baba, Baba naye ya kuambiwa hajaongeza na zake.

Kila kitu kwenye maisha kina asili yake, kutokea kwenye familia,mfano ukiwa mfugaji wa kuhamahama tulia uendeleze ufugaji utaishi muda mrefu.

Kuliko ukafosi kuwa Gorvenor matokeo yake utaogopa kupanda hata meli,ndege maana asili inakukataa.

Utashindwa kushirikiana na wenzio Dunia ya leo ni kutegemeana, maana kiasili wewe ni mfugaji unatakiwa kuongoza wanyama.
 
Inasemekana ugomvi wao ni njiwa baba aliingizwa choo cha kike,

Tolu ni mtu hatari saana roho mbaya anaiweza na akili anazo, aliyemuweza upande wetu ni mjomba aliyekuwa kapanga gorofa la nne
Mjomba wa gorofa la nne aliandaa mpaka fimbo za kumchapa Tolu akizingua. Tolu akawa mpole kama paka wa dukani.
Ila Tolu naye kama Kigogo tu maana hata msiba ulipotokea alijisahaulisha kama hajui mpaka juzi alipomtuma kitukuu chake kuja kutoa pole.
 
Tolu hanaga urafiki wa kudumu.ni opportunist na mjanja mjanja.mr tabasamu anaeishi mtaa wa nne alimshtukia mapema sana. ugonvi wao haukuanzia kwenye ushauri kama walivyodai.tatizo mwendazake alikua na kaushamba flani ndo maana aliingia miguu miwili kwa tolu.
 
Back
Top Bottom